Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,653
Na bado, wataumia zaidi kadri ya siku zinavyokwenda😂...Hizi few years vitu vizuri vya Tz vimewaumiza sana...
Cc: Mimi Wewe Yule
Na bado, wataumia zaidi kadri ya siku zinavyokwenda😂...Hizi few years vitu vizuri vya Tz vimewaumiza sana...
Mwenye tarifa hii atujuze
View: https://x.com/bedjosessien/status/1958220243714654528?t=7MFJjUKu35EiUyjT6NBT0A&s=19
chantz.kimtandao.co.tz
Mwenye tarifa hii atujuze
View: https://x.com/bedjosessien/status/1958220243714654528?t=7MFJjUKu35EiUyjT6NBT0A&s=19
Ewaa,hii amsha amsha ndio inafanya ccm na wenyewe wasijisahau,kikubwa na kizuri muasisiWaTZ wengi hawana vyama. Na si kwamba watu siyo waelewa.
Wanasiasa waachwe wawe huru, wazungumze wananchi waamue.
Ukiruhusu kelele zinasaidia kuponya nchi na kulinda amani na usalama.
Inasaidia CCM kutafuta wagombea bora.
Lakini pia inasadia watu kujua madaraka yanapatikana kwa njia ya kura ili waheshimu wananchi..
Congo hawaamini Kura, wanapigana msituni.
West Afrika hawaamini kira, mapinduzi kila siku.
Sisi tunaamini kura, mazungumzo, na mahakama kulinda amani.
Ukiziba kila chocho, unakaribisha wahuni.
Mfano, Mwanasiasa mmoja kaamua kuingia msituni, maadui wote wa nchi kama Kenya, Rwanda, na wazungu wakampa nguvu??
Hata hayo madini na gesi utachimba???
Utaanza kutoa bure ili upewe silaha upigane.
Haya mambo ni kwaajili ya usalama wa nchi. Hakuna mantiki yoyote ya CCM kulazimisha ushindi wa 100%
View: https://youtu.be/rKr6INgTVG8 huyu mamdogo wa kiganda video yake imenifurahisha,imeonyesha gates zote za mkapa,na namna watu wanavyoingia kwa scan,kunyan wanakuambia washanunua tiketi zote za taifa stars na morocco,kunyan maskini hawajui TZ huwezi kununua tiketi bila ya kua na n card na namba ya simu ya TZ,kingine kunyan angalieni hapo karibu na mkapa kama kuna makazi ya watu kama mnajidanganya
Wewe una uhakika gani kama mpina ni pandikizi wa CCM!?Kaka. CCM haishuki iwe leo au Kesho. Upo na choice ya kuchagua chama kingine cha siasa.
Badala ya vyama vyenu kujenga Taasisi kama ilivyo ya CCM, mmewekeza kwenye activism na chama cha matukio.
Vyama vinavyosubiri wanaoachwa na CCM waende wakagombee Urais, Ubunge na Udiwani!!!! Hamuwezi kufanya recruitment ya wanachama wenu?
Hakuna opposition hapa TZ. Tulikuwa tunategemea ACT lakini nao wapi.
Walimuweka Membe kutoka CCM
Sasa hivi Mpina tena aligombea ubunge na akakatwa CCM leo hii anagombea urais ACT.
Je, wakulaumiwa ni CCM au oppositions.
Mnajuaje kama mpina siyo pandikizi wa CCM kuua ACT?
Kwenye comments waganda wako fair kabisa,wanakuambia kisirani na mandela azifikii ubora wa mkapa stadium,kunyan sasaWamezoea kudanganyana na kutafuta Trend kwenye mitandao. Kenya ilishakufa
Kaka sijakuelewa hapa. Unaongelea kitu gani?Hamna mtu anaweza kuweka CRM system ikawa loose namna hiyo! WAcheni kuwasingizia Wakundustani!
View: https://youtu.be/rKr6INgTVG8 huyu mamdogo wa kiganda video yake imenifurahisha,imeonyesha gates zote za mkapa,na namna watu wanavyoingia kwa scan,kunyan wanakuambia washanunua tiketi zote za taifa stars na morocco,kunyan maskini hawajui TZ huwezi kununua tiketi bila ya kua na n card na namba ya simu ya TZ,kingine kunyan angalieni hapo karibu na mkapa kama kuna makazi ya watu kama mnajidanganya
Fedha yoote ile cladding ilishindikana!So far so good Kasarani stadium 🤣🤣🤣jua kali typa shit 💩 View attachment 3447537