Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Hakuna kitu kama hicho kaka. NI ile tabia ya wakenya kujipa umuhimu kwa vitu visivyowahusu. Wakenya ni jobless wanatafuta namna ya ku trend kwenye mitandao. Nchi hiyo ilisha kufa kaka.

Hakuna mtu mwenye uwezo wa kununu tiketi ovyo ovyo kwenye mifumo ya Tanzania.

1. Kama ni foreigner kutoka nchi nyingine lazima atumie passport.
2. Kuna dedicated ticket chache kama 1000 kwa foreigners.
3. Tiketi zingine zote zilizobaki ni kwaajili ya watanzania.
Hii hapa ni Ticket System ya Tanzania is Available:

1755718881527.png


Hii hapa ni Ticket System ya Kenya Not Available:

1755718946902.png


NB: Wakenya wanapiga kelele ili kuwahamisha wananchi wao wasishughulike na madhaifu yao.
Kwenye ICT kenya ipo nyuma sana.
 
WaTZ wengi hawana vyama. Na si kwamba watu siyo waelewa.

Wanasiasa waachwe wawe huru, wazungumze wananchi waamue.

Ukiruhusu kelele zinasaidia kuponya nchi na kulinda amani na usalama.

Inasaidia CCM kutafuta wagombea bora.

Lakini pia inasadia watu kujua madaraka yanapatikana kwa njia ya kura ili waheshimu wananchi..

Congo hawaamini Kura, wanapigana msituni.

West Afrika hawaamini kira, mapinduzi kila siku.

Sisi tunaamini kura, mazungumzo, na mahakama kulinda amani.

Ukiziba kila chocho, unakaribisha wahuni.

Mfano, Mwanasiasa mmoja kaamua kuingia msituni, maadui wote wa nchi kama Kenya, Rwanda, na wazungu wakampa nguvu??

Hata hayo madini na gesi utachimba???

Utaanza kutoa bure ili upewe silaha upigane.

Haya mambo ni kwaajili ya usalama wa nchi. Hakuna mantiki yoyote ya CCM kulazimisha ushindi wa 100%
Ewaa,hii amsha amsha ndio inafanya ccm na wenyewe wasijisahau,kikubwa na kizuri muasisi


wa taifa letu akutufanya maboya kama kunyan,kunyan politician hata akiwa mwizi ila ni wa kabila lake atamuunga mkono,nasikia toll ya express way 50% anachukua mtoto wa mama ngina,mazuzu yametawaliwq na familia 1 hadi jina la nchi imetoka kwenye familia ya mama ngina,kunyan ni wangese
 

View: https://youtu.be/rKr6INgTVG8 huyu mamdogo wa kiganda video yake imenifurahisha,imeonyesha gates zote za mkapa,na namna watu wanavyoingia kwa scan,kunyan wanakuambia washanunua tiketi zote za taifa stars na morocco,kunyan maskini hawajui TZ huwezi kununua tiketi bila ya kua na n card na namba ya simu ya TZ,kingine kunyan angalieni hapo karibu na mkapa kama kuna makazi ya watu kama mnajidanganya
 

View: https://youtu.be/rKr6INgTVG8 huyu mamdogo wa kiganda video yake imenifurahisha,imeonyesha gates zote za mkapa,na namna watu wanavyoingia kwa scan,kunyan wanakuambia washanunua tiketi zote za taifa stars na morocco,kunyan maskini hawajui TZ huwezi kununua tiketi bila ya kua na n card na namba ya simu ya TZ,kingine kunyan angalieni hapo karibu na mkapa kama kuna makazi ya watu kama mnajidanganya

Wamezoea kudanganyana na kutafuta Trend kwenye mitandao. Kenya ilishakufa
 
Kaka. CCM haishuki iwe leo au Kesho. Upo na choice ya kuchagua chama kingine cha siasa.

Badala ya vyama vyenu kujenga Taasisi kama ilivyo ya CCM, mmewekeza kwenye activism na chama cha matukio.

Vyama vinavyosubiri wanaoachwa na CCM waende wakagombee Urais, Ubunge na Udiwani!!!! Hamuwezi kufanya recruitment ya wanachama wenu?

Hakuna opposition hapa TZ. Tulikuwa tunategemea ACT lakini nao wapi.

Walimuweka Membe kutoka CCM
Sasa hivi Mpina tena aligombea ubunge na akakatwa CCM leo hii anagombea urais ACT.

Je, wakulaumiwa ni CCM au oppositions.

Mnajuaje kama mpina siyo pandikizi wa CCM kuua ACT?
Wewe una uhakika gani kama mpina ni pandikizi wa CCM!?
Achilia mbali na huyo Mpina,tutoleeni Tundu Lissu wetu.
Achia mbali na Tundu Lissu,umeona watu mnaowapitisha kwenye chama chenu ili waje wawe Madiwani na wabunge? Ni uharo mtupu.
Hata nikikuorodheshea hapa baadhi kwa wilaya ya Temeke na Kigamboni utacheka ufe.
Ilimradi mtu CCM ndio mtawale mnaingiza watu wa hovyo.
Mara tu tangia hapo rais mwenyewe wa hovyo.
 

View: https://youtu.be/rKr6INgTVG8 huyu mamdogo wa kiganda video yake imenifurahisha,imeonyesha gates zote za mkapa,na namna watu wanavyoingia kwa scan,kunyan wanakuambia washanunua tiketi zote za taifa stars na morocco,kunyan maskini hawajui TZ huwezi kununua tiketi bila ya kua na n card na namba ya simu ya TZ,kingine kunyan angalieni hapo karibu na mkapa kama kuna makazi ya watu kama mnajidanganya

So far so good Kasarani stadium 🤣🤣🤣jua kali typa shit 💩
IMG_0604.jpeg
 
Back
Top Bottom