Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaka. CCM haishuki iwe leo au Kesho. Upo na choice ya kuchagua chama kingine cha siasa.

Badala ya vyama vyenu kujenga Taasisi kama ilivyo ya CCM, mmewekeza kwenye activism na chama cha matukio.

Vyama vinavyosubiri wanaoachwa na CCM waende wakagombee Urais, Ubunge na Udiwani!!!! Hamuwezi kufanya recruitment ya wanachama wenu?

Hakuna opposition hapa TZ. Tulikuwa tunategemea ACT lakini nao wapi.

Walimuweka Membe kutoka CCM
Sasa hivi Mpina tena aligombea ubunge na akakatwa CCM leo hii anagombea urais ACT.

Je, wakulaumiwa ni CCM au oppositions.

Mnajuaje kama mpina siyo pandikizi wa CCM kuua ACT?
Wewe una uhakika gani kama mpina ni pandikizi wa CCM!?
Achilia mbali na huyo Mpina,tutoleeni Tundu Lissu wetu.
Achia mbali na Tundu Lissu,umeona watu mnaowapitisha kwenye chama chenu ili waje wawe Madiwani na wabunge? Ni uharo mtupu.
Hata nikikuorodheshea hapa baadhi kwa wilaya ya Temeke na Kigamboni utacheka ufe.
Ilimradi mtu CCM ndio mtawale mnaingiza watu wa hovyo.
Mara tu tangia hapo rais mwenyewe wa hovyo.
 

View: https://youtu.be/rKr6INgTVG8 huyu mamdogo wa kiganda video yake imenifurahisha,imeonyesha gates zote za mkapa,na namna watu wanavyoingia kwa scan,kunyan wanakuambia washanunua tiketi zote za taifa stars na morocco,kunyan maskini hawajui TZ huwezi kununua tiketi bila ya kua na n card na namba ya simu ya TZ,kingine kunyan angalieni hapo karibu na mkapa kama kuna makazi ya watu kama mnajidanganya

So far so good Kasarani stadium 🤣🤣🤣jua kali typa shit 💩
IMG_0604.jpeg
 
Ewaa,hii amsha amsha ndio inafanya ccm na wenyewe wasijisahau,kikubwa na kizuri muasisi


wa taifa letu akutufanya maboya kama kunyan,kunyan politician hata akiwa mwizi ila ni wa kabila lake atamuunga mkono,nasikia toll ya express way 50% anachukua mtoto wa mama ngina,mazuzu yametawaliwq na familia 1 hadi jina la nchi imetoka kwenye familia ya mama ngina,kunyan ni wangese
Kenya ni DRC iliyochangamka
 
DRC pale walipo ni program ya mataifa ya western,kunyaland program yao imesetiwa na kenyata family,ile familia hadi nchi imeipa jina lao then wakawatengenezea na ukabila,nchi inayomilikiwa na familia
Kuna settlers wengi Kenya.

Kuna kipande cha wakoloni, kilichobaki wakachukua wanasiasa wakiongozwa na Kenyatta
 
Back
Top Bottom