Wacha maneno mengi, weka demand hapa, kama imeshinda ya Kenya nafunga hii account.unafkiri kwann tunazalisha umeme mwingi zaidi kuliko nchi yoyote east africa unajua sababu?? 😂😂😂😂😂
Wacha maneno mengi, weka demand hapa, kama imeshinda ya Kenya nafunga hii account.unafkiri kwann tunazalisha umeme mwingi zaidi kuliko nchi yoyote east africa unajua sababu?? 😂😂😂😂😂
Hahaha unauimia sana kuona berths zote tatu za Lamu Port ziko busy zinahudumia meli kubwa kubwa. 🤣
ikiwa tanzania ni kubwa mara mbili zaidi ya kenya na still nchi nzima umeme umefika heheh na bado tunasambaza umeme kila kijiji kila kona ya nchi hiiiWacha maneno mengi, weka demand hapa, kama imeshinda ya Kenya nafunga hii account.
Kwa Kuna cha maana umeandika ama ni wivu tu ume express, meli tatu ziko Lamu Port lakini bado unasema ni propaganda.Kwani umeelewa nilicho andika?
Kumbe hutaki nifunge account. 🤣🤣 Your demand is less than Kenya's, Sasa ulikua unaropokwa nini nikikuambia Kenya ina higher demand na inaendelea kuongezeka.ikiwa tanzania ni kubwa mara mbili zaidi ya kenya na still nchi nzima umeme umefika heheh na bado tunasambaza umeme kila kijiji kila kona ya nchi hiii
mpaka nov 2024 tulikua matumizi ya 1900MW
View attachment 3445663
less with what ikiwa demand ya kenya 2025 ni 2100MW na mm nimekupa demand ya 2024 what about mpaka sasa itakua ngapi na sisi ndio tunaongoza africa kwa kusambaza umeme vijijini 😂😂 unategemea demand itakua ni ile ile au???Kumbe hutaki nifunge account. 🤣🤣 Your demand is less than Kenya's, Sasa ulikua unaropokwa nini nikikuambia Kenya ina higher demand na inaendelea kuongezeka.
Bado unalialia tu, umeshindwa kuprove mukona a higher demand than Kenya. 🤣🤣less with what ikiwa demand ya kenya 2025 ni 2100MW na mm nimekupa demand ya 2024 what about mpaka sasa itakua ngapi na sisi ndio tunaongoza africa kwa kusambaza umeme vijijini 😂😂 unategemea demand itakua ni ile ile au???
sisi hua hatu fake data mzeee
Tunanunua ju tuna pesa due to higher demand.
Unafikiria kama pumbavu. Our demand imepita supply just a while ago. Customers wamekua wengi than projections.Hehe kwanini msijenge zenu
Wehu hao,juzi tu hapo kuna bolt driver akawa anamdanganya ben kilimanjaro ipo kunyaland,alivyomuona ile rangi akajua mhindi sijui kumbe ben mbongo wa buza 😀
Your demand with whom maku,hapo hata ksh 10 hauna halafu unajimwambify hapa,kocho wwUnafikiria kama pumbavu. Our demand imepita supply just a while ago. Customers wamekua wengi than projections.
Then jengeni sasa kwanini mnashindwa Jenga kama mnahela ?Unafikiria kama pumbavu. Our demand imepita supply just a while ago. Customers wamekua wengi than projections.
Ati mnaongoza Africa ?… 🤣🤣🤣🤣🤣… don’t quit ur day job, ur comedy sucks!..😁😁😁less with what ikiwa demand ya kenya 2025 ni 2100MW na mm nimekupa demand ya 2024 what about mpaka sasa itakua ngapi na sisi ndio tunaongoza africa kwa kusambaza umeme vijijini 😂😂 unategemea demand itakua ni ile ile au???
sisi hua hatu fake data mzeee
Haha anajifariji tu , hakuna Kijiji Tanzania Leo hii kisochopitiwa na grid ya taifaYour demand with whom maku,hapo hata ksh 10 hauna halafu unajimwambify hapa,kocho ww
REA hawaijui hao kunyanHaha anajifariji tu , hakuna Kijiji Tanzania Leo hii kisochopitiwa na grid ya taifa
Kusambazwa na kuwa connected ni vitu viwili, hakuna Kijiji Tanzania kisichokuwa na umeme kwa sasa ila imebaki ni kazi ya individual personels kwenda kujiunga na grid ya taifa.Ati mnaongoza Africa ?… 🤣🤣🤣🤣🤣… don’t quit ur day job, ur comedy sucks!..😁😁😁
Ati mnaongoza Africa ?… 🤣🤣🤣🤣🤣… don’t quit ur day job, ur comedy sucks!..😁😁😁
Tunajenga ama unadhani lazima tukuambie, your demand is very low than supply, that's why mulizima 5 hydropower plants to prevent idle power.Then jengeni sasa kwanini mnashindwa Jenga kama mnahela ?
Unahisi Tanzania kuwa na electricity production ya over 4000 hakuna demand ? Hapo bado tunaongeza Tena na kinyerezi iii 600mw .
Hamna uwezo wa kutujenga ndo maaana mnaopt kununua . Mnaproject kibao za umeme mme- stag🤣🤣🤣🤣