ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,355
- 88,444
Ukiunga mkono jambo lolote zuri la serikali wewe ni chawa wa mama 🤪🤪Shida ya siasa za TZ,yan ili uwe mpinzani we pinga kila kitu 😀
Excuses.Shida ya siasa za TZ,yan ili uwe mpinzani we pinga kila kitu 😀
WaTZ wengi hawana vyama. Na si kwamba watu siyo waelewa.Shida ya siasa za TZ,yan ili uwe mpinzani we pinga kila kitu 😀
Bora umeongea.WaTZ wengi hawana vyama. Na si kwamba watu siyo waelewa.
Wanasiasa waachwe wawe huru, wazungumze wananchi waamue.
Ukiruhusu kelele zinasaidia kuponya nchi na kulinda amani na usalama.
Inasaidia CCM kutafuta wagombea bora.
Lakini pia inasadia watu kujua madaraka yanapatikana kwa njia ya kura ili waheshimu wananchi..
Congo hawaamini Kura, wanapigana msituni.
West Afrika hawaamini kira, mapinduzi kila siku.
Sisi tunaamini kura, mazungumzo, na mahakama kulinda amani.
Ukiziba kila chocho, unakaribisha wahuni.
Mfano, Mwanasiasa mmoja kaamua kuingia msituni, maadui wote wa nchi kama Kenya, Rwanda, na wazungu wakampa nguvu??
Hata hayo madini na gesi utachimba???
Utaanza kutoa bure ili upewe silaha upigane.
Haya mambo ni kwaajili ya usalama wa nchi. Hakuna mantiki yoyote ya CCM kulazimisha ushindi wa 100%
The same response applies to him and you. It's not as far as you are trying to put it.You didn't get his point. Literature in use here. He didn't mean that Arusha stadium is in the Serengeti. He simply meant that you are building that stadium in the middle of the bush where people will have a difficult time attending matches if your attendance of CHAN matches in the middle of your major cities is anything to go by.
Kaka. CCM haishuki iwe leo au Kesho. Upo na choice ya kuchagua chama kingine cha siasa.Bora umeongea.
CCM ilitakiwa ibadili sera zake kama sio kuzibadili basi washuke hapo juu waruhusu wengine watawale kwa sera mpya jengefu.
Sera za CCM outdated na za kipuuzi na bado wanazidi kuruhusu viongozi wapuuzi waingie madarakani.
Viongozi wapuuzi wakiongezeka zitaendelea kutungwa sera za kipuuzi na nchi itaendeshwa kipuuzi puuzi.
Unakumbuka sera ya Salma Kikwete kusema kuwa wanandoa wa viongozi wastaafu nao wapewe mafao ama walipwe mafao ya kustaafia ambayo itakua 25% ya mshahara wa kiongozi husika!?
Nambie kaka huu upuuzi gani huu!?
Halafu bado kuna watu wanaitetea CCM kifala fala.
Leo wanaingia kwenye website ya kununua tickets na kuweka idadi ya tickets wanazonunua then wana screenshot lakini hawazinunui halafu na tickets walizo nunua hazionekani kwa sababu ni uongo hawajazinunua, media zao zinaripoti na kujadili huu ongo.Same the response applies to him and you. It's not as far as you are trying to put it.
So you think people do not attend matches because of distance? Not poverty again? Few pages back I tried to explain the real reason of poor attendance. Simply put football politics.
Mwenye tarifa hii atujuze
View: https://x.com/bedjosessien/status/1958220243714654528?t=7MFJjUKu35EiUyjT6NBT0A&s=19
Leo wanaingia kwenye website ya kununua tickets na kuweka idadi ya tickets wanazonunua then wana screenshot lakini hawazinunui halafu na tickets walizo nunua hazionekani kwa sababu ni uongo hawajazinunua, media zao zinaripoti na kujadili huu ongo.
Siku ya mechi Ijumaa watasema Watanzania hawajaudhuria uwanjani kuangalia mpira kwa sababu wao wamenunua tickets zote.
Waoneeni huruma. Hawa watu wana roho ya kutu sana. Hizi few years vitu vizuri vya Tz vimewaumiza sana ndio maana wanasubiri kitu kiende vibaya washangilie.Leo wanaingia kwenye website ya kununua tickets na kuweka idadi ya tickets wanazonunua then wana screenshot lakini hawazinunui halafu na tickets walizo nunua hazionekani kwa sababu ni uongo hawajazinunua, media zao zinaripoti na kujadili huu ongo.
Siku ya mechi Ijumaa watasema Watanzania hawajaudhuria uwanjani kuangalia mpira kwa sababu wao wamenunua tickets zote.
Na bado, wataumia zaidi kadri ya siku zinavyokwenda😂...Hizi few years vitu vizuri vya Tz vimewaumiza sana...
Mwenye tarifa hii atujuze
View: https://x.com/bedjosessien/status/1958220243714654528?t=7MFJjUKu35EiUyjT6NBT0A&s=19
chantz.kimtandao.co.tz
Mwenye tarifa hii atujuze
View: https://x.com/bedjosessien/status/1958220243714654528?t=7MFJjUKu35EiUyjT6NBT0A&s=19
Ewaa,hii amsha amsha ndio inafanya ccm na wenyewe wasijisahau,kikubwa na kizuri muasisiWaTZ wengi hawana vyama. Na si kwamba watu siyo waelewa.
Wanasiasa waachwe wawe huru, wazungumze wananchi waamue.
Ukiruhusu kelele zinasaidia kuponya nchi na kulinda amani na usalama.
Inasaidia CCM kutafuta wagombea bora.
Lakini pia inasadia watu kujua madaraka yanapatikana kwa njia ya kura ili waheshimu wananchi..
Congo hawaamini Kura, wanapigana msituni.
West Afrika hawaamini kira, mapinduzi kila siku.
Sisi tunaamini kura, mazungumzo, na mahakama kulinda amani.
Ukiziba kila chocho, unakaribisha wahuni.
Mfano, Mwanasiasa mmoja kaamua kuingia msituni, maadui wote wa nchi kama Kenya, Rwanda, na wazungu wakampa nguvu??
Hata hayo madini na gesi utachimba???
Utaanza kutoa bure ili upewe silaha upigane.
Haya mambo ni kwaajili ya usalama wa nchi. Hakuna mantiki yoyote ya CCM kulazimisha ushindi wa 100%
View: https://youtu.be/rKr6INgTVG8 huyu mamdogo wa kiganda video yake imenifurahisha,imeonyesha gates zote za mkapa,na namna watu wanavyoingia kwa scan,kunyan wanakuambia washanunua tiketi zote za taifa stars na morocco,kunyan maskini hawajui TZ huwezi kununua tiketi bila ya kua na n card na namba ya simu ya TZ,kingine kunyan angalieni hapo karibu na mkapa kama kuna makazi ya watu kama mnajidanganya