ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,245
Kijana anatumia ICBM badala ya sabasaba tuu kupiga 30Km dah ni matumizi mabaya ya resources hii ya Tazara ingetosha tuu.
Hiyo ni kuhujumu uchumi wa taifa kabisaKijana anatumia ICBM badala ya sabasaba tuu kupiga 30Km dah ni matumizi mabaya ya resources hii ya Tazara ingetosha tuu.
Ichoboy nov ukienda kunyaland nishtue nitakua bongo 😀nawakumbusha hii ni nairobi CBD 😂😂
View attachment 3444921View attachment 3444922View attachment 3444923
This is a township my friend. Dodoma DC is on another level.
Sasa hii ina tofauti gani na SinoTan Industrial Park??
Hivi wewe ulirogwa au ndio uchizi umekupanda kichwani.? 🤣🤣🤣🤣🤣 kweli ullingannishe the entire city of dodoma na hii street..?
Bana hapo karibu Nextgen, hata sikua nimeona. 🤣🤣🤣Hapo si ni Nairobi?
Yani anakuringia na picha za Nairobi anasema ni za kwao. 🤣🤣🤣Bana hapo karibu Nextgen, hata sikua nimeona. 🤣🤣🤣
mwambie atuoneshe hio airbus inayobeba 600 paseengers 😂😂😂😂
Huyo farmers ni mtanzania pure mgogo wa huko Dodoma
Kwa nini mnapenda Uongo na kujidanganya.
Tanzania fully Documentary YouTube hapa.
Kwanza mara ya kwanza citizen tv walidanganya ati grape farming in kenya lakin video anaonyesha central Tanzania.
View: https://youtu.be/CQdlC5gbKK8?si=cG45i7fA5BGN4K3k
Baada ya engagement na watu kumshtukia basi wakabadilisha title. Imagine media kubwa kama citizen. Ndo maana Magufuli alilambisha matako kipindi fulani.
Kenyas mnaitamani sana Tanzania basi tu hamna namna.
View: https://youtu.be/rCgahHyXTS0?si=Q926ie03sp1pFv2V
where is that 3b usd to be seen? 😂😂😂