Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1755516980390.png
makomboroa
Badala ya fataki hii ilikuwa inatosha tu
View attachment 3445194View attachment 3445194
Kijana anatumia ICBM badala ya sabasaba tuu kupiga 30Km dah ni matumizi mabaya ya resources hii ya Tazara ingetosha tuu.
 
Huyo farmers ni mtanzania pure mgogo wa huko Dodoma
Kwa nini mnapenda Uongo na kujidanganya.
Tanzania fully Documentary YouTube hapa.
Kwanza mara ya kwanza citizen tv walidanganya ati grape farming in kenya lakin video anaonyesha central Tanzania.

View: https://youtu.be/CQdlC5gbKK8?si=cG45i7fA5BGN4K3k

Baada ya engagement na watu kumshtukia basi wakabadilisha title. Imagine media kubwa kama citizen. Ndo maana Magufuli alilambisha matako kipindi fulani.
Kenyas mnaitamani sana Tanzania basi tu hamna namna.

View: https://youtu.be/rCgahHyXTS0?si=Q926ie03sp1pFv2V

Halafu nyang'au Teargass asivyokuwa na akili akarukia kabisa ha ha ha😂

Cc: Mimi Wewe Yule
 
Back
Top Bottom