Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sioni FUTURE.

Wameshaanza kwenda kuomba pesa China, wakati wanapiigwa mkwara na Marekani wanasema hawataki kuchaguliwa rafiki.
Wanashtuka leo kukataa kuchaguliwa marafiki 🤣🤣🤣🤣 sisi tuliwaambia kitambo wakatumind ila sasa wameshakubali wanajua msimamo wetu kuwa sio nchi ya kulamba matako ya makapitalisti
 
Jana Marais wa Afrika wameitwa huko Japan. TZ kaenda Waziri mambo ya nje.

Ruto amesikia Japan wamesema wanataka Mchele.

Amesema atawapelekea.

Sasa huo mchele wa kwenda kuuza Japan atautoa wapi?

Jamaa ni matapeli Juu mpaka chini.
Wao wenyewe mchele Wana import na bado Wana uhaba wa mchele,sasa huo mchele watautoa wapi aiseee!?😂😂😂😂😂
 
Isiolo international Airport👇👇
20250821_131653.jpg
 
Back
Top Bottom