So hiyo inaprove nini bongolala? Mbna hatuwaoni hao followers wengi kwa uwanja angalau muache kuaibiasha EAView attachment 3444886View attachment 3444887wapenda mpira wanaosubiria ticket za bure kutoka kwa politicians na wavunja mageti 😂😂😂😂😂😂
ticket zinauzwa kisiasa 😂😂😂😂
yani mtu mmoja ananunua ticket zote alaf anagawa kwa watu wanaomkubali
View: https://x.com/fgaitho237/status/1957302229985034599?s=46
Anakaa kama dada wetu wa kazi😂😂😂.Hivi ni ukosefu wa chakula au umasikini?
Miss Grand Kenya 2025 - Magdalene Takangiro
View attachment 3445183
Wacha kuitusi Kabul kaka Pashtun watakulamba risasi😂😂😂Is that Kabul or Torabora?
Machuma chuma tu hayo hayana ubavu mbele ya j10C na sukhoi su30.That’s an F-22 Raptor . The deadliest stealth fighter on the planet.
You want to see 3b usd kwa picha?? Kweli wewe unakuaga ng'ombewhere is that 3b usd to be seen? 😂😂😂
akili zenu zimejaa funza nyinyi
Uzuri siku hizi watu wamewashtukia kama ni waongo,hata siku 1 huwezi kukuta mTanzania akidanganya kuhusu kitu cha kunyaland ni cha kwetu,hao wangese sasa,ndio maana ile ban inawauma mno,kikubwa serikali ile ban iifanye kwa vitendo