Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar huwezi kuona vipanya popote lakini naislum nganya ni world War 1 delivery vans
NairobiWalker alikuwa Rombo moshi vijijini huko anashangaa vihiace vipanya kama vile kwao capital city yao wan trams labda au metros.😂😂.

Akaenda hadi Arusha. Ati anashangaa third largest city kuwa na vipanya. And by the way siku hiz routes nyingi za Arusha wameintroduce routes za coasters.

Kenya kuanzia capital city hadi nchi nzima vimejaa vipanya. Na nyingi ni very old.
 
Si niliweka hapa video ya CBD yenu bila sidewalks mkaanza kusema nimechagua sehemu mbovu? Yani mnachagua kisehemu kidogo Darislum chenye sidewalks wakati 99% ya Darislum haina sidewalks halafu mnataka kutulecture juu ya sidewalks?
Ati 99% ya Dar haina sidewalks. Hiv kwa nini mnapenda Uongo?
Yani kenyas na lies ni chupa na mfuniko.

BRT roads zote za Dar zaidi ya 60km sasa zina wide sidewalks
Mfano Tazama phase 3. 23km na ina sidewalks barabara yote

View: https://youtu.be/qkjP3aufXk4?si=VTcQkNluiMtD5hv8
 
Kama watapapanga vizuri kwala inayo potential Ya kuwa mji wa kisasa sana, since itakua na industrial park kubwa iliyopangwa vizuri zaidi, marshaling yard+ the largest dry port. Wakiwekeza makazi yakisasa+ huduma za kijamaa, hili ni eneo ambalo litaipa Pwani region taswira mpya kabisa.
Nasemaga bongo kila sehemu ni pesa sana.

Mfano mji wa Tabora. Unaweza piga hatua kubwa kama Inland Port.

Kwa kua Una reli, kila mkoa inapopita unajenga industries za kuchakata raw material za mkoa
 
IMG_7786.jpeg
IMG_7787.jpeg
wapenda mpira wanaosubiria ticket za bure kutoka kwa politicians na wavunja mageti 😂😂😂😂😂😂
 
NairobiWalker alikuwa Rombo moshi vijijini huko anashangaa vihiace vipanya kama vile kwao capital city yao wan trams labda au metros.😂😂.

Akaenda hadi Arusha. Ati anashangaa third largest city kuwa na vipanya. And by the way siku hiz routes nyingi za Arusha wameintroduce routes za coasters.

Kenya kuanzia capital city hadi nchi nzima vimejaa vipanya. Na nyingi ni very old.
hio mombasa ndio utacheka mpaka uanguke chini nissan caravan panya vimebinuliwa nyash huko nyuma utasema vinataka kuzaa 😂😂😂😂😂


IMG_7788.jpeg
 
Si niliweka hapa video ya CBD yenu bila sidewalks mkaanza kusema nimechagua sehemu mbovu? Yani mnachagua kisehemu kidogo Darislum chenye sidewalks wakati 99% ya Darislum haina sidewalks halafu mnataka kutulecture juu ya sidewalks?
Kwanini wewe mpumbavu unapenda kuongea uongo kmlmmko.? Sidhani kama kuna barabara hata moja ndani ya Posta ambayo haina side walks… again katika suala la side walks Dar inazo km za kutosha kuweka Naipori nzima… hadi barabar za uswahili tunaweka side walks. Ni barabara ipi ulitembea wewe ukakuta haina side walks.? Kmlammko.?
 
Back
Top Bottom