ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
ticket zinauzwa kisiasa ππππ
yani mtu mmoja ananunua ticket zote alaf anagawa kwa watu wanaomkubali
View: https://x.com/fgaitho237/status/1957302229985034599?s=46
Ati 99% ya Dar haina sidewalks. Hiv kwa nini mnapenda Uongo?
Yani kenyas na lies ni chupa na mfuniko.
BRT roads zote za Dar zaidi ya 60km sasa zina wide sidewalks
Mfano Tazama phase 3. 23km na ina sidewalks barabara yote
View: https://youtu.be/qkjP3aufXk4?si=VTcQkNluiMtD5hv8
Says someone who has never stepped on his country's border.Kwanini wewe mpumbavu unapenda kuongea uongo kmlmmko.? Sidhani kama kuna barabara hata moja ndani ya Posta ambayo haina side walks⦠again katika suala la side walks Dar inazo km za kutosha kuweka Naipori nzima⦠hadi barabar za uswahili tunaweka side walks. Ni barabara ipi ulitembea wewe ukakuta haina side walks.? Kmlammko.?
Nairobi is as tinny as Kinondoni district. Usijipe umuhimu kmlammko.. Dar iko na side walks hadi barabara za uswazi.Says someone who has never stepped on his country's border.
Acha Uongo. Acha Uongo.Thika road pekee ni 60km na ina side walks all along.
Eti wenyewe waniita Westie π€£π€£π€£π€£ile westland hua munaoneshwa kwa juu na matajiri wa dunia ππππ
View attachment 3444916View attachment 3444917
Projection much?Acha Uongo. Acha Uongo.
Sio barabara yote ina sidewalks. Ni baadhi ya maeneo tu hasa karibu na mjini.
Nitakuletea video nikuaibishe.
Mnapenda Uongo sana