Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uzuri siku hizi watu wamewashtukia kama ni waongo,hata siku 1 huwezi kukuta mTanzania akidanganya kuhusu kitu cha kunyaland ni cha kwetu,hao wangese sasa,ndio maana ile ban inawauma mno,kikubwa serikali ile ban iifanye kwa vitendoView attachment 3445603
Kuna wakati mtoto wa Odinga alidai kuwa Olduvai Gorge ipo Kenya ha ha ha😂

Cc: Mimi Wewe Yule
 


Kunyans sijui wata acha ushamba wa kingereza kingi kwamba ndio ujanja lini..

Hapa CMA wameleta Kilima Maritime Service Bongo. More ships..more routes..Messina pia wana shift from Mombasa to Dar.

Hizo kelele za maneno matupu bila ushahidi ni uzwazwa tu. Tupo kwenye information age Sasa hivi...kila kitu unakipata chap tu sio kama zamani... Hii kuwekeza kwenye propaganda za online ni kupoteza muda na resources tu.
Mambo yote kwa ground....ndio maana kunyans are now bitter kuona namna Bongo inasonga mbele bila kelele.
 
😂😂😂😂😂 matajiri wanataka kununua umeme tanzania kukwepa blackout

umeona sasa zile data za kupika vile zinafanya kazi hua munadanganywa muna umeme mwingi kuliko dunia nzima 😂😂😂😂
Tunanunua ju tuna pesa due to higher demand.
 
DSM kama DSM

1755545321989.jpg
gt
 
Kunyans sijui wata acha ushamba wa kingereza kingi kwamba ndio ujanja lini..

Hapa CMA wameleta Kilima Maritime Service Bongo. More ships..more routes..Messina pia wana shift from Mombasa to Dar.

Hizo kelele za maneno matupu bila ushahidi ni uzwazwa tu. Tupo kwenye information age Sasa hivi...kila kitu unakipata chap tu sio kama zamani... Hii kuwekeza kwenye propaganda za online ni kupoteza muda na resources tu.
Mambo yote kwa ground....ndio maana kunyans are now bitter kuona namna Bongo inasonga mbele bila kelele.
Hahaha unauimia sana kuona berths zote tatu za Lamu Port ziko busy zinahudumia meli kubwa kubwa. 🤣🤣🤣
 
muna pesa gani na hua munadanganya hapa muna zalisha umeme mwingi kuliko east african countries umeona vile data za kupika vile zinawaumbua sasa😂😂😂
Demand yenu ya umeme ni ngapi? Kama imeshinda Kenya nafunga hii account. 🤣🤣
 
Back
Top Bottom