Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The concept of green space and parks is very foreign in vumbislum.
Even explaining this is like arguing with a dementia patient.

Kijana tafuta pesa utembee Nairobi.

Here's a picture I found of Manhattan at night. I wonder what that dark place in the middle is.

View attachment 3441743
Asante kwa kuifananisha Dar es salaam na New York.
 
Asante kwa kuifananisha Dar es salaam na New York.
Uko na kichwa mzuri wewe. Ama wewe ndio unaingiza bangi Namanga? 😂 😂

Uliuliza giza imetoka wapi Nairobi, nikakuonyesha New York Central Park pia ni giza. Parks and green spaces have minimal lighting, but bongoslum wouldn't know because you don't have any.

Ingia hapa hospitali ya kichaa. Nitakulipia.
math.JPG
 
Ubora wa timu unabadilika kulingana na msimu husika, hata rankings zinaakisi ubora wa timu kwa mwaka huu na mwaka upiopita mana ligi inachezwa ndani ya miaka miwili, Yanga hawezi kuwa bora kuliko ahly mana ahly alibeba kombe la champions msimu ule, na pia Simba haipaswi kuwa bora kuliko Yanga mana wenzetu wametutawala kwa miaka minne sasa.
Lakini Simba kwa miaka 4 haijawahi kuishia makundi na unapolinganisha ubora wa club Africa lazima hizo klabu zicheze na timu nyingine za Africa ndio uweze kulinganisha na kuzipa rank. ila kama utachukulia mafanikio ya ligi basi itatupa klabu bora kwa nchi husika tuu na sio Africa as a whole.
 
Uko na kichwa mzuri wewe. Ama wewe ndio unaingiza bangi Namanga? 😂 😂

Uliuliza giza imetoka wapi Nairobi, nikakuonyesha New York Central Park pia ni giza. Parks and green spaces have minimal lighting, but bongoslum wouldn't know because you don't have any.

Ingia hapa hospitali ya kichaa. Nitakulipia.
View attachment 3441757
Duh hospital imechoka hivyo!!!!
 
South Sudanese Billionaires and their spoilt kids have made Nairobi their second home.
Unashamedly wealthy, but bongoslum has never been on their bucket list. And these are people with money to buy homes in Cape Town or Lake Como.

This is the son of one of Sudan/South Sudan richest men. He owns Lamborghinis in Dubai.


View: https://www.youtube.com/watch?v=gOG2pSRcMdk

From which country in EA are the major dollar billionaires come from? Ukinijibu hilo tutaendelea na part 2.
 
I know it might be selfish but I am almost hoping for Zambia to beat Harambee stars and for someone to win in DRC vs Morocco match . This will ensure a trip to Mkapa against the overrated Taifa Stars. We need to put these vilaza in their natural place …🤣🤣🤣
We will replicate what was done to Mwangi and his affiliate on the pitch. Bring it on.
 
Heb twende kwenye ukweli, naona unafaa kupata elimu kuhusu Tanzania, There are 3 largest industrial parks coming up in Pwani Region alone, one of them is SINOTAN INDUSTRIAL PARK the largest in the region (Make google your friend). There are several car assembling plants in Pwani region.
Pwani has many industries than any other region in Tanzania.

Sahii tunavyoongea kibaha alone iko na idadi kubwa ya viwanda vinavyotoshana na Nairobi nzima. Hiyo Mombasa ni Tanga iliyochangamka. 🤣🤣🤣🤣
Their is Kilimanjaro industrial park kigamboni. Under GSM
 
Lakini Simba kwa miaka 4 haijawahi kuishia makundi na unapolinganisha ubora wa club Africa lazima hizo klabu zicheze na timu nyingine za Africa ndio uweze kulinganisha na kuzipa rank. ila kama utachukulia mafanikio ya ligi basi itatupa klabu bora kwa nchi husika tuu na sio Africa as a whole.
Umesahau UD Songo ya Mocambique ilitutoa hatua za awali? Umesahau msimu uliopita hatukuweza hata kufuzu champions league? Ranks za CAF hazina uhalisia na ndiyo mana Tp Mazembe unamkuta kwenye top ten licha ya kupotea mda mrefu, ndiyo mana zamalek yupo juu ya pyramids licha ya ubora wa pyramids kwa ss hapa Africa, CAF wanatumia takwimu za miaka mitano which is irrelevant.
 
Uko na kichwa mzuri wewe. Ama wewe ndio unaingiza bangi Namanga? 😂 😂

Uliuliza giza imetoka wapi Nairobi, nikakuonyesha New York Central Park pia ni giza. Parks and green spaces have minimal lighting, but bongoslum wouldn't know because you don't have any.

Ingia hapa hospitali ya kichaa. Nitakulipia.
View attachment 3441757
Aliye uliza giza ni Teargass ndugu yako. Muulize. Lakini nashukuru kwa kuifananisha Dar na New York.
 
Mkuu rank za CAF hazina uhalisia, je ni kweli Simba tunaizidi Yanga kwa ubora kwa sasa?
Ligi ya ndani haikupi wewe ubora Africa itakupa ubora wa hapa ndani tuu maana unashindana na timu za ndani. Kama Yanga ni bora kuliko Simba kwa kuangalia ligi ya ndani je utaweza kuniambia kuwa Mlandege ambaye ni bingwa wa Zanzibar ni bora kuliko Simba pia? Au bingwa wa Somalia, South Sudan au shelisheli ni bora kuliko Singida Big Stars au Azam?
 
Back
Top Bottom