Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IFFHS ndio kitu gani hicho? Wanasimamia michezo gani? Hizo rank unazozikataa za CAF ndio za FIFA

Pitia hapa acha uzembe

Mkuu rank za CAF hazina uhalisia, je ni kweli Simba tunaizidi Yanga kwa ubora kwa sasa?
 
That's Kenya for you.

ichoboy01
1000044010.jpg
 
Na tukiwaambia wakenya hawafuatilii Tanzania mnapinga. Kama national stadium ya Tanzania pekee ndio hawajui, do you think wanajua hata Tanzanian capital city kweli?

Kule Vumbistan hadi mtoto wa Chekechea anajua every MCAs in Kenya.
Mkuu siyo kweli unachosema, viwanja vingi vya Africa havijulikani, ni viwanja vichache sana vyenye majina makubwa, kwa East Africa ni Benjamin Mkapa pekee yenye jina kubwa ukilinganisha na viwanja vingine vya East and Central Africa, huo ndiyo ukweli mchungu.
Hoja yako ya kusema wakenya hawafuatilii mambo ya Tanzania haina mashiko na sijaelewa unataka kumaanisha nini, ikiwa ni juzi tu hapa wakenya mmeandamana nchi nzima kupinga sheria iliyowekwa Tanzania kulinda ajira za raia wake.

In a bird eye view, ni Kenya na wakenya kwa ujumla ndiyo wanafuatilia zaidi Tanzania kuliko Tanzania na watanzania wanaoifuatilia Kenya, hii ni fact na ndiyo mana hata wewe upo humu jamiiforums ambayo ni platform ya Tanzania na hujawahi kukosa kuchangia hata siku moja na hufikirii kukosa kutumia jamiiforums ya watanzania.
 
Mkuu siyo kweli unachosema, viwanja vingi vya Africa havijulikani, ni viwanja vichache sana vyenye majina makubwa, kwa East Africa ni Benjamin Mkapa pekee yenye jina kubwa ukilinganisha na viwanja vingine vya East and Central Africa, huo ndiyo ukweli mchungu.
Hoja yako ya kusema wakenya hawafuatilii mambo ya Tanzania haina mashiko na sijaelewa unataka kumaanisha nini, ikiwa ni juzi tu hapa wakenya mmeandamana nchi nzima kupinga sheria iliyowekwa Tanzania kulinda ajira za raia wake.

In a bird eye view, ni Kenya na wakenya kwa ujumla ndiyo wanafuatilia zaidi Tanzania kuliko Tanzania na watanzania wanaoifuatilia Kenya, hii ni fact na ndiyo mana hata wewe upo humu jamiiforums ambayo ni platform ya Tanzania na hujawahi kukosa kuchangia hata siku moja na hufikirii kukosa kutumia jamiiforums ya watanzania.
You expect me to read all these nonsense that you have written?
 
Kwikwikwikwikwi. Unachekesha kweli.
Kwanza nimekupatia picha 20KM from CBD wewe umeleta picha za CBD.
Pili umeleta horizontal photo mimi nilikuletea eagle eye photo
Tatu hebu tuambie hapa kwenye red umeme ulikuwa umekatika? Jibu maswali yangu yote matatu

View attachment 3441580
Kwani siku hizi Westlands ni CBD na hatujui?
 
Kwikwikwikwikwi. Unachekesha kweli.
Kwanza nimekupatia picha 20KM from CBD wewe umeleta picha za CBD.
Pili umeleta horizontal photo mimi nilikuletea eagle eye shot
Tatu hebu tuambie hapa kwenye red umeme ulikuwa umekatika? Jibu maswali yangu yote matatu

View attachment 3441580
Endelea kulalamika.

More of Westlands.

1755200728169.jpeg
 
Back
Top Bottom