tumeongeza bus lingine dar mombasa sasa tahmed na tawaqal watalia sana
View: https://www.instagram.com/p/DNSwi-_oVp6/?igsh=dTB6cGF5a3Ryb3kw
Mmmh hii nauli mbona sijaelewa!?
Yani kutoka Dar hadi Mombasa ni 50k!?
tumeongeza bus lingine dar mombasa sasa tahmed na tawaqal watalia sana
View: https://www.instagram.com/p/DNSwi-_oVp6/?igsh=dTB6cGF5a3Ryb3kw
Ndio kwenda Mombasa ni elfu hamsini kaka? Mbona kama nauli ndogo sana!?Tahmeed akizubaa abood atamuondoa kwenye hiyo route kumbuka hiyo route ya nyongeza Ina vip yenye choo kwa 2500ksh tahmeed ana vip isiyo nachoo 2200.
Wamuulize hood ltd miaka ya 90 abood alipotangaza dar mbeya,kyela kusafirisha Bure kwa wiki nzima
Kwa kipi hasa au unaropoka tuuHuyu alitakiwa aihudumie Tanzania bara kama rais.
Tumemkosa mtu sana aisee.
Kuna rank za aina mbili.Ukitumia takwimu za mwaka mmoja haitoshi mfano mzuri yanga aliibukia from no where na kufika fainali ya CAF baada ya hapo hajatoboa hata makundi unataka kuniambia yanga ni bora kuliko hao kina Ahly? Ubora unapimwa na consistence na sio fluke za mwaka mmoja. Miaka 5 ni kipimo sahihi cha kusema huyu ni bora kuliko huyu na bado kuna ubora wa miaka yote.
Kwa kipi hasa au unaropoka tuu
View: https://www.instagram.com/reel/DNVWNdYip7I/?igsh=MWVoMWV0MjJmOXdneg==
Bado hujamaliza utamaliza 2030.Nimeshamaliza TANZANIA BARA HATUNA RAIS.
RAIS ANGEKUA MWINYI HUWENDA TUNGEPIGA HATUA.
Tuendelee na mjadala wa Nai vs Dar.
Ubora wa timu unabadilika kulingana na msimu husika, hata rankings zinaakisi ubora wa timu kwa mwaka huu na mwaka upiopita mana ligi inachezwa ndani ya miaka miwili, Yanga hawezi kuwa bora kuliko ahly mana ahly alibeba kombe la champions msimu ule, na pia Simba haipaswi kuwa bora kuliko Yanga mana wenzetu wametutawala kwa miaka minne sasa.Ukitumia takwimu za mwaka mmoja haitoshi mfano mzuri yanga aliibukia from no where na kufika fainali ya CAF baada ya hapo hajatoboa hata makundi unataka kuniambia yanga ni bora kuliko hao kina Ahly? Ubora unapimwa na consistence na sio fluke za mwaka mmoja. Miaka 5 ni kipimo sahihi cha kusema huyu ni bora kuliko huyu na bado kuna ubora wa miaka yote.
Mombasa ni karibu sana, hazifiki hata km 600Ndio kwenda Mombasa ni elfu hamsini kaka? Mbona kama nauli ndogo sana!?
IFFHS ndio kitu gani hicho? Wanasimamia michezo gani? Hizo rank unazozikataa za CAF ndio za FIFAHawa IFFHS wapo sahihi sana katika rankings, ni kama zile za ulaya. Rankings zinatakiwa kuakisi mafanikio ya timu kwa mwaka husika, tofauti na hizi rankings za CAF ambazo hazinaga ukweli wowote. Yani ukitumia utaratibu wa CAF ku ranks clubs utagundua kwamba ahly ataendelea kuwa namba 1 Africa hata kama atashuka daraja kwa misimu miwili (irrelevant).
The sad part is if you just had time to pull the camera just a little bit to the left , then the sea of Uswaziland begins with no end . Facts ..😁😁😁
Kwanini hiyo camera isione uswazi sasa.? Au umepata kisukari baada ya kuiona Dar.? 🤣🤣🤣🤣The sad part is if you just had time to pull the camera just a little bit to the left , then the sea of Uswaziland begins with no end . Facts ..😁😁😁
Kenya is a Weak country.If it’s a Somali event, why not?.. it’s honoring their roots, same way we Kenyans ( American citizens) wave Kenyan flags during Rugby sevens in Vegas in support of our roots ( that includes our American born kids who don’t even speak any Kenyan language).