sisi hatutumii bus za kichina 😂😂😂😂
View: https://x.com/siralexas/status/1955608240257110138?s=46
Aisee Yutong ya mwaka gani hii kama sikosei ni first edition hii.
sisi hatutumii bus za kichina 😂😂😂😂
View: https://x.com/siralexas/status/1955608240257110138?s=46
utawezaje ku rank timu mwaka huhuo wakati bado timu inaendelea na mashindano na mechi hazijaisha? embu tuambie kwanza hapo. Hata mtihani hufanywa kwanza na majibu huja baadae.Huwezi ukatumia points za mwaka jana ku rank ubora wa timu mwaka huu ni ujinga.
tumeongeza bus lingine dar mombasa sasa tahmed na tawaqal watalia sana
View: https://www.instagram.com/p/DNSwi-_oVp6/?igsh=dTB6cGF5a3Ryb3kw
Yani Tanzania unga ya Ugali bado unapimwa kama makaa?🤣🤣😂😂
I can't remember the last time I saw a maize flour ukipimwa hivo Kenya.
View: https://x.com/CaptainDominicO/status/1955877806266540528?t=vJNivmKp_bI0bR7GE86Mmg&s=19
Nilikuwa namaanisha huwezi kutumia takwimu za miaka minne iliyopita ku rank ubora wa timu mwaka huu, at least wenzetu wanatumia takwimu za msimu husika (msimu uliopita).utawezaje ku rank timu mwaka huhuo wakati bado timu inaendelea na mashindano na mechi hazijaisha? embu tuambie kwanza hapo. Hata mtihani hufanywa kwanza na majibu huja baadae.
Isitoshe inaelekea huko kwenu wenye akili wako 2
Yani Tanzania unga ya Ugali bado unapimwa kama makaa?🤣🤣😂😂
I can't remember the last time I saw a maize flour ukipimwa hivo Kenya.
View: https://x.com/CaptainDominicO/status/1955877806266540528?t=vJNivmKp_bI0bR7GE86Mmg&s=19
Ukitumia takwimu za mwaka mmoja haitoshi mfano mzuri yanga aliibukia from no where na kufika fainali ya CAF baada ya hapo hajatoboa hata makundi unataka kuniambia yanga ni bora kuliko hao kina Ahly? Ubora unapimwa na consistence na sio fluke za mwaka mmoja. Miaka 5 ni kipimo sahihi cha kusema huyu ni bora kuliko huyu na bado kuna ubora wa miaka yote.Nilikuwa namaanisha huwezi kutumia takwimu za miaka minne iliyopita ku rank ubora wa timu mwaka huu, at least wenzetu wanatumia takwimu za msimu husika (msimu uliopita).
Huku kwetu tunajitambua, huko kwenu nyuma kuna mwiko.
tumeongeza bus lingine dar mombasa sasa tahmed na tawaqal watalia sana
View: https://www.instagram.com/p/DNSwi-_oVp6/?igsh=dTB6cGF5a3Ryb3kw
Ndio kwenda Mombasa ni elfu hamsini kaka? Mbona kama nauli ndogo sana!?Tahmeed akizubaa abood atamuondoa kwenye hiyo route kumbuka hiyo route ya nyongeza Ina vip yenye choo kwa 2500ksh tahmeed ana vip isiyo nachoo 2200.
Wamuulize hood ltd miaka ya 90 abood alipotangaza dar mbeya,kyela kusafirisha Bure kwa wiki nzima
Kwa kipi hasa au unaropoka tuuHuyu alitakiwa aihudumie Tanzania bara kama rais.
Tumemkosa mtu sana aisee.
Kuna rank za aina mbili.Ukitumia takwimu za mwaka mmoja haitoshi mfano mzuri yanga aliibukia from no where na kufika fainali ya CAF baada ya hapo hajatoboa hata makundi unataka kuniambia yanga ni bora kuliko hao kina Ahly? Ubora unapimwa na consistence na sio fluke za mwaka mmoja. Miaka 5 ni kipimo sahihi cha kusema huyu ni bora kuliko huyu na bado kuna ubora wa miaka yote.
Kwa kipi hasa au unaropoka tuu
View: https://www.instagram.com/reel/DNVWNdYip7I/?igsh=MWVoMWV0MjJmOXdneg==
Bado hujamaliza utamaliza 2030.Nimeshamaliza TANZANIA BARA HATUNA RAIS.
RAIS ANGEKUA MWINYI HUWENDA TUNGEPIGA HATUA.
Tuendelee na mjadala wa Nai vs Dar.
Ubora wa timu unabadilika kulingana na msimu husika, hata rankings zinaakisi ubora wa timu kwa mwaka huu na mwaka upiopita mana ligi inachezwa ndani ya miaka miwili, Yanga hawezi kuwa bora kuliko ahly mana ahly alibeba kombe la champions msimu ule, na pia Simba haipaswi kuwa bora kuliko Yanga mana wenzetu wametutawala kwa miaka minne sasa.Ukitumia takwimu za mwaka mmoja haitoshi mfano mzuri yanga aliibukia from no where na kufika fainali ya CAF baada ya hapo hajatoboa hata makundi unataka kuniambia yanga ni bora kuliko hao kina Ahly? Ubora unapimwa na consistence na sio fluke za mwaka mmoja. Miaka 5 ni kipimo sahihi cha kusema huyu ni bora kuliko huyu na bado kuna ubora wa miaka yote.
Mombasa ni karibu sana, hazifiki hata km 600Ndio kwenda Mombasa ni elfu hamsini kaka? Mbona kama nauli ndogo sana!?