Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Gx0D0HlWoAAALV-
 
Kumbe 48,000 ndo kwenu mmevunja record , wengi wenu mnaenda kuangalia uwanja , kabla ya hapo hakuna record yoyote mliyowahi kufika hata 35,000
Nikimaanisha Toka Dunia iumbwe Kenya haijawahi fikisha revenue ya hata 10mil sasa Leo kujaza hako kauwanja mnaona mmekuwa maarufu🤣🤣🤣🤣🤣
The highest attendance ya Tanzania on record is 52,000 nitafutie match ya Kenya iliyowahi fikisha hiyo attendance

Hapo mpaka wanasiasa wanawanunulia ticket. Ingefaa mngekuwa mnaleta records kabla ya chan sababu Tanzania hakunaga mahaba na taifa stars hasa baada ya kutokuwa inaperform vizuri miaka ya nyuma
Subiria twende kwenye ligi za vilabu tuwaone kama hata robo ya uwanja mtafika
Ushamba tu wa uwanja,hamna kingine
 
Kwa Tanzania bado sana upande wa barabara za mitaani.
Kwanza tunahitaji kurekebisha mipango miji ya mitaa ndio barabara zipite.
Sio lazima, kunaweza kuwa updated hivyo hivyo, ona mfano Japan, mitaa ni membaba hata gari mbili hazipitiki ila ziko paved vizuri na sewage system. Ni uamuzi tu na uthubutu.
 
Kwa Tanzania bado sana upande wa barabara za mitaani.
Kwanza tunahitaji kurekebisha mipango miji ya mitaa ndio barabara zipite.
Sio lazima, kunaweza kuwa updated hivyo hivyo, ona mfano Japan, mitaa ni membaba hata gari mbili hazipitiki ila ziko paved vizuri na sewage system. Ni uamuzi tu na uthubutu
 
Retaliation cards are on the table....kenge kinyanjui alisema hapaa...zile cards zimegeuka magarasa nini?

Kama kawaida they tuck in their tails... Malofaa

View attachment 3436106
Huwezi kulilia Ku roam free in another country like it's your birth rite halafu watu wakuchukulie serious, haiwezekani. Wani wanacholilia ni kwamba Tanzania iwe kama moja ya county yao, yani unaingia Tu, bila hata passport, unakaa unavyo taka, unalima unavyotaka, and the worst part is unafanya vyote hivyo bila kulipa uhuru, maana hutambuliki kisheria huku.

Waende zao mbwa hizi!!
 
Sio lazima, kunaweza kuwa updated hivyo hivyo, ona mfano Japan, mitaa ni membaba hata gari mbili hazipitiki ila ziko paved vizuri na sewage system. Ni uamuzi tu na uthubutu.
Sio Japan tu hata western nations kuna sehemu ancient towns zina barabara byembamba zimepindapinda na walichofanya ni upgrading those towns!
 
Back
Top Bottom