Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,889
- 103,757
Ushamba tu wa uwanja,hamna kingineKumbe 48,000 ndo kwenu mmevunja record , wengi wenu mnaenda kuangalia uwanja , kabla ya hapo hakuna record yoyote mliyowahi kufika hata 35,000
Nikimaanisha Toka Dunia iumbwe Kenya haijawahi fikisha revenue ya hata 10mil sasa Leo kujaza hako kauwanja mnaona mmekuwa maarufu🤣🤣🤣🤣🤣
The highest attendance ya Tanzania on record is 52,000 nitafutie match ya Kenya iliyowahi fikisha hiyo attendance
Hapo mpaka wanasiasa wanawanunulia ticket. Ingefaa mngekuwa mnaleta records kabla ya chan sababu Tanzania hakunaga mahaba na taifa stars hasa baada ya kutokuwa inaperform vizuri miaka ya nyuma
Subiria twende kwenye ligi za vilabu tuwaone kama hata robo ya uwanja mtafika
Hybrid ( desso grassmaster).Hii pitch ya Uganda iko vizuri.
Ni natural grass au artificial tuff?
Sio lazima, kunaweza kuwa updated hivyo hivyo, ona mfano Japan, mitaa ni membaba hata gari mbili hazipitiki ila ziko paved vizuri na sewage system. Ni uamuzi tu na uthubutu.Kwa Tanzania bado sana upande wa barabara za mitaani.
Kwanza tunahitaji kurekebisha mipango miji ya mitaa ndio barabara zipite.
Sio lazima, kunaweza kuwa updated hivyo hivyo, ona mfano Japan, mitaa ni membaba hata gari mbili hazipitiki ila ziko paved vizuri na sewage system. Ni uamuzi tu na uthubutuKwa Tanzania bado sana upande wa barabara za mitaani.
Kwanza tunahitaji kurekebisha mipango miji ya mitaa ndio barabara zipite.
Huwezi kulilia Ku roam free in another country like it's your birth rite halafu watu wakuchukulie serious, haiwezekani. Wani wanacholilia ni kwamba Tanzania iwe kama moja ya county yao, yani unaingia Tu, bila hata passport, unakaa unavyo taka, unalima unavyotaka, and the worst part is unafanya vyote hivyo bila kulipa uhuru, maana hutambuliki kisheria huku.Retaliation cards are on the table....kenge kinyanjui alisema hapaa...zile cards zimegeuka magarasa nini?
Kama kawaida they tuck in their tails... Malofaa
View attachment 3436106
Nenda kiwalani,buza na mbagala,uone barabara za mradi wa DMP,zilivyopita mitaaniKwa Tanzania bado sana upande wa barabara za mitaani.
Kwanza tunahitaji kurekebisha mipango miji ya mitaa ndio barabara zipite.
Watu wanaiona Tanzania kama US ila kwa ground wanajipa moyo 😂😂Teargass nairobae mwaiofhawaii NairobiWalker
Mwenzenu hata usingizi hakupata. Tuoneshe Mtanzania anaenda kucheza timu yeyote Kenya akiongea hivi 😂
Bongo kama ulayaHizi behewa sita za ghorofa zikiongezewa 8 za kawaida tunaenda ongeza trip tatu nyingine dar Dom ili jumla ziwe 11
Wakenya bila Tanzania hawawezi pumus. Huko Kasarani nyimbo zote zinapigwa za Mbosso
View: https://vm.tiktok.com/ZMA1NGB74/
Yet it will be the venue for the Finals. Kama hufurahishwi then peleka malalamishi kwa CAF.Watching mechi kati ya Kenya na Angola 🚮
Uwanja ni giza, taa zao ni za viwango vya nchini mno.
Sio Japan tu hata western nations kuna sehemu ancient towns zina barabara byembamba zimepindapinda na walichofanya ni upgrading those towns!Sio lazima, kunaweza kuwa updated hivyo hivyo, ona mfano Japan, mitaa ni membaba hata gari mbili hazipitiki ila ziko paved vizuri na sewage system. Ni uamuzi tu na uthubutu.