President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,045
- 93,429
Mimi jamani nawaonea huruma wakenya.
Watu wanaiona Tanzania kama US ila kwa ground wanajipa moyo 😂😂Teargass nairobae mwaiofhawaii NairobiWalker
Mwenzenu hata usingizi hakupata. Tuoneshe Mtanzania anaenda kucheza timu yeyote Kenya akiongea hivi 😂
Bongo kama ulayaHizi behewa sita za ghorofa zikiongezewa 8 za kawaida tunaenda ongeza trip tatu nyingine dar Dom ili jumla ziwe 11
Wakenya bila Tanzania hawawezi pumus. Huko Kasarani nyimbo zote zinapigwa za Mbosso
View: https://vm.tiktok.com/ZMA1NGB74/
Yet it will be the venue for the Finals. Kama hufurahishwi then peleka malalamishi kwa CAF.Watching mechi kati ya Kenya na Angola 🚮
Uwanja ni giza, taa zao ni za viwango vya nchini mno.
Sio Japan tu hata western nations kuna sehemu ancient towns zina barabara byembamba zimepindapinda na walichofanya ni upgrading those towns!Sio lazima, kunaweza kuwa updated hivyo hivyo, ona mfano Japan, mitaa ni membaba hata gari mbili hazipitiki ila ziko paved vizuri na sewage system. Ni uamuzi tu na uthubutu.
Hahaha hao wa ndani ya fence wanalalamikaga kutupiwa flying toilets toka upande wa pili!
Wao wenyewe wako COMESA na IGAD lakini kutwa, ooh Tanzania iko SADC😄Tanzania kuwepo SADC hiyo kitu inawauma sana kunyan
Wapumbavu sana hawa jamaa na wanajua hawawezi kuanzisha ugomvi na sisi tukifunga border wamekwisha! Over 70% ya mizigo yao kwenda Southern of Africa inategemea barabara zetu!Wao wenyewe wako COMESA na IGAD lakini kutwa, ooh Tanzania iko SADC😄
TZ ni Mwanzilishi wa SADC hata huyo South Africa alitukuta.
Wivu utawaua.
SADC ina soko kubwa la GDP ya US$847 billion in 2023.Wapumbavu sana hawa jamaa na wanajua hawawezi kuanzisha ugomvi na sisi tukifunga border wamekwisha! Over 70% ya mizigo yao kwenda Southern of Africa inategemea barabara zetu!
Kwanza wanalalamikia nini? Hayo makubaliano tuliafikiana lini?Wapumbavu sana hawa jamaa na wanajua hawawezi kuanzisha ugomvi na sisi tukifunga border wamekwisha! Over 70% ya mizigo yao kwenda Southern of Africa inategemea barabara zetu!
Halafu ifike hatua sasa kunyan waelewe wao sio majirani zetu pekee,so waache kiherehere cha kujifanya wanatujua sanaWao wenyewe wako COMESA na IGAD lakini kutwa, ooh Tanzania iko SADC😄
TZ ni Mwanzilishi wa SADC hata huyo South Africa alitukuta.
Wivu utawaua.