Wakunya ni changamoto.Sisi hatukatai barabara za mitaani ni changamoto kwa Dar ama Tanzania kiujumla hilo halikataliwi.
Unatuelezeaje Mkenya kujipanga na kujenga nyumba ya mabati!?View attachment 3435804
Hivi ni haramu kujenga nyumba ya Tofali au finishing.
Makazi ya Kenya yako aina tatu.
- Mabati
- Wakijenga kwa tofali, hakuna finishing
- Kukiwa na finishing nyumba ya tofali, ni nyumba za makampuni, estates au satelleite cities.