Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi hatukatai barabara za mitaani ni changamoto kwa Dar ama Tanzania kiujumla hilo halikataliwi.
Unatuelezeaje Mkenya kujipanga na kujenga nyumba ya mabati!?View attachment 3435804
Wakunya ni changamoto.

Hivi ni haramu kujenga nyumba ya Tofali au finishing.

Makazi ya Kenya yako aina tatu.

  • Mabati
  • Wakijenga kwa tofali, hakuna finishing
  • Kukiwa na finishing nyumba ya tofali, ni nyumba za makampuni, estates au satelleite cities.
 
Wakunya ni changamoto.

Hivi ni haramu kujenga nyumba ya Tofali au finishing.

Makazi ya Kenya yako aina tatu.

  • Mabati
  • Wakijenga kwa tofali, hakuna finishing
  • Kukiwa na finishing nyumba ya tofali, ni nyumba za makampuni, estates au satelleite cities.
Hata vile vigorofa vyao vya kwa Mukuru kwa Reuben havijapigwa hata plaster.
Zingine tofali zimepinda.
Yani hovyo hovyo.Mtu anajipanga kabisa kujenga nyumba ya mabati na ikikamilika anajisifu kabisa kuwa Yeees nimejenga.
Shaaabaaash mbugila tope hawa mbunye fii hadhaa kabisa.
 
Hata vile vigorofa vyao vya kwa Mukuru kwa Reuben havijapigwa hata plaster.
Zingine tofali zimepinda.
Yani hovyo hovyo.Mtu anajipanga kabisa kujenga nyumba ya mabati na ikikamilika anajisifu kabisa kuwa Yeees nimejenga.
Shaaabaaash mbugila tope hawa mbunye fii hadhaa kabisa.
Sasa si Bora ujenge na tofari za kuchoma kama ni kuokoa gharama, kwao itakuwa sifa kuwa na mabati🤣🤣🤣🤣
 
Sisi hatukatai barabara za mitaani ni changamoto kwa Dar ama Tanzania kiujumla hilo halikataliwi.
Unatuelezeaje Mkenya kujipanga na kujenga nyumba ya mabati!?View attachment 3435804
Nimecheka sana. Wapo ndani ya Nairobi - Jogoo Rd, Nairobi, Kenya


1754655651081.png
 
Sasa si Bora ujenge na tofari za kuchoma kama ni kuokoa gharama
Hata mimi nashangaa sana.
Nina demu wa Kikenya ni mtaita oyaaa alimsifu bro wake kajenga nyumba akiwa na 27 years.
Nikamwambia embu nioneshe pic,lamamayeee mabati from bottom to the top.
Nikacheka kimoyo moyo nikamwambia mpe hongera kajipata.
 
Hata mimi nashangaa sana.
Nina demu wa Kikenya ni mtaita oyaaa alimsifu bro wake kajenga nyumba akiwa na 27 years.
Nikamwambia embu nioneshe pic,lamamayeee mabati from bottom to the top.
Nikacheka kimoyo moyo nikamwambia mpe hongera kajipata.
Hao Wataita wanaishi ukivuka Holili, kuna kimji kinaitwa Voi, Taita-Taveta.

Kumechokaaaaa.

Na huwa wanapigwa NJAA, wanaenda kuomba ndizi Kilimanjaro.
 
Houses for commoners.

Their houses are built by imdividuals, not companies for rent.
I like the way you console yourself. Plan your city and pave your roads bongolala instead of looking for flimsy excuses
 
Back
Top Bottom