Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanza wanalalamikia nini? Hayo makubaliano tuliafikiana lini?
Si walikuwa wameshaanzisha COW yao wakatuachia Burundi yetu, 🤣🤣🤣
Januari 1, 2014: Kenya, Uganda, na Rwanda (wakati huo wakijipanga kama "Coalition of the Willing" – COW) walianzisha rasmi Single Tourist Visa inayoruhusu watalii kusafiri kati ya nchi hizo tatu kwa viza moja yenye gharama ya $100 na inayotumika kwa miaka 90 ya kuingia mara nyingi (multiple-entry)
Ati kwa miaka 90 imekuwa title deed?
 
Galana kulalu
1000061869.jpg
1000061868.jpg
1000061866.jpg
1000061867.jpg
 
Back
Top Bottom