Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,656
Wakenya bila Tanzania hawawezi pumus. Huko Kasarani nyimbo zote zinapigwa za Mbosso
View: https://vm.tiktok.com/ZMA1NGB74/
Nyang’au Teargass anachukia kwelikweli akiona hivi😂
Wakenya bila Tanzania hawawezi pumus. Huko Kasarani nyimbo zote zinapigwa za Mbosso
View: https://vm.tiktok.com/ZMA1NGB74/
Semi arid dodoma gives gaborone vibes.Maabara ya kilimo Dom View attachment 3436169View attachment 3436170
wanaziattach hizi na zile za Koreaor wanaleta mzigo ulio bakia?
Lazima Tu ungetuonyesha ATI umepanda basi. Ushamba pekee ndio itakuwa wewe😂😂Bongo saivi Unaangalia zako ball while traveling. 👇🏾 UG vs GuineaView attachment 3436190
Dodoma bado kidogo, ila kwa miaka mitano ijayo Dom itakua noma kuliko miji mingi mikuu hapa EA.Semi arid dodoma gives gaborone vibes.
Kwani hapo ni Korea au karakana ya puguwanaziattach hizi na zile za Koreaor wanaleta mzigo ulio bakia?
Wangezileta zile zingine na sio kufanya haya. BTW, hizo deka ni za Ujerumani.Kwani hapo ni Korea au karakana ya pugu
Kinachokutesa ni wivu bwana govi. 🤣🤣🤣🤣 traveling is my lifestyle. Soma ID hiyo.Lazima Tu ungetuonyesha ATI umepanda basi. Ushamba pekee ndio itakuwa wewe😂😂
Leta hapa video au picha hata bus zikiwa njiani au terminal, zikipakia abiriaMombasa-Busia
Mombasa- Kisumu
Mombasa-Nyadorera.
Nairobi- Siaya
Kama issue ni just port, tuna Mtwara Port inapokea meli za Cashews na Tanga inapokea mizigo kila sikuBecause the project is still progress, the road is under construction and the transshipment business is picking up, shipping lines have started to set base at lamu port.
But baboons are always good travellers moving from one forest to the other.Kinachokutesa ni wivu bwana govi. 🤣🤣🤣🤣 traveling is my lifestyle. Soma ID hiyo.
Nenda YouTube utazipata huko.Leta hapa video au picha hata bus zikiwa njiani au terminal, zikipakia abiria
Mchina ana ifluence kenya nzima maana kila shemu mnamlipa toll kilochobaki ni kumlipa toll mchina kila mnapovuta pumziMchina has no influence in Kenya. Usidhani Kenya ni dustbin ya China like Tanzania.
Does any of those port you've mentioned have a quay length of 1200 meters? Tanga haina hata STS Gantry crane hata moja.Kama issue ni just port, tuna Mtwara Port inapokea meli za Cashews na Tanga inapokea mizigo kila siku
Hawezi kufanya hivyo hata siku moja huyo nyang’au anaogopa kuaibika😎Leta hapa video au picha hata bus zikiwa njiani au terminal, zikipakia abiria
Nahisi zile hazipo kabisa ila wangezianzishia ruti hata hizi zilizopo kuliko kuzipaki tu pale puguWangezileta zile zingine na sio kufanya haya. BTW, hizo deka ni za Ujerumani.
Does any of those port you've mentioned have a quay length of 1200 meters? Tanga haina hata STS Gantry crane hata moja.