ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Angalia comment section mlivyo na mauchungu.Fungeni tena
Alafu wauzaji wanaenda kuishi wapi? Ama wanaendeleza uswazi kwingine?Umeona hapo Tandika?
Huo upande wa hilo gorofa nyumba za pembeni zote hapo zimenunuliwa na mjengaji wa hilo gorofa.
Zote zinasubiriwa kuvunjwa ziinuke gorofa.
Hiyo ni Tandika.View attachment 3435965
Ushaabiki kando but I have a feeling Kasarani's pitch isn't good either. I think iliharakishwa to beat the deadline. Nyayo's pitch is way better than Kasarani's in my opinionPitch ya Uwanja wa Mkapa ndio mbovu kuliko zote.
Ya Uganda kama ya Zanzibar
I still have a lot of issues with your statements. First, kila siku hapa mnatuambia kwamba watanzania hawana culture ya kuishi kwenye apartments ndio maana Dar hakuna apartments nyingi kama Nairobi. My question therefore is, hizo apartments zitapangishwa na nani?Khaaa kwani hakuna matajiri wanaoununua nyumba na kujenga makazi ya kupangisha?
Ngoja nikuletee mfano.