Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Galana kulalu
1000061869.jpg
1000061868.jpg
1000061866.jpg
1000061867.jpg
 
Angalia comment section mlivyo na mauchungu.


View: https://www.youtube.com/watch?v=0TBu_s01k6c

Brother unahangaika sana. Sisi tunakula na kuishi maisha mazuri. Comments nyingi huko youtube wengi ni wakenya created kila mmoja more than 100 Accounts kwaajili ya bullying watu online. Mnahangaika sana wakenya. Afrika nzima imewajua mpo too insecure. Check hapa you have more than 5 Accounts in nairaland.com

1754745331070.png
 
Pitch ya Uwanja wa Mkapa ndio mbovu kuliko zote.

Ya Uganda kama ya Zanzibar
Ushaabiki kando but I have a feeling Kasarani's pitch isn't good either. I think iliharakishwa to beat the deadline. Nyayo's pitch is way better than Kasarani's in my opinion
 
Khaaa kwani hakuna matajiri wanaoununua nyumba na kujenga makazi ya kupangisha?
Ngoja nikuletee mfano.
I still have a lot of issues with your statements. First, kila siku hapa mnatuambia kwamba watanzania hawana culture ya kuishi kwenye apartments ndio maana Dar hakuna apartments nyingi kama Nairobi. My question therefore is, hizo apartments zitapangishwa na nani?


Secondly, we've been mande to believe here that wakazi wengine wa Dar wanamiliki hizo nyumba na ardhi. If they sell these houses and pieces of land, where do they go to live?

If it's true hizo nyumba zinavunjwa and new and better ones getting built, Dar saa hii ingekuwa na muonekano mpya kabisa. This is my 7th year in JF but images za Dar kule Google Earth ni zile zile za tangu 7 years back. Nothing has changed
 
Back
Top Bottom