Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwikwi baada ya kulipwa fidia unadhani Kenya ni huko mnakoibiwa
..Kisha wajenge ama wapangishe uswazini., taifa fukara hii, Kisha wanajifananisha na China eti🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆, mbona liko wazi sana ata kwa Google Earth ufukara unaonakan zaidi ya mazuri.,🤣🤣🤣😆😆, even when landing in Dar ukiwa kwa ndege., ufukara wenu haufichiki, ni kama kikohozi🤣🤣🤣🤣.,
 
..Kisha wajenge ama wapangishe uswazini., taifa fukara hii, Kisha wanajifananisha na China eti🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆, mbona liko wazi sana ata kwa Google Earth ufukara unaonakan zaidi ya mazuri.,🤣🤣🤣😆😆, even when landing in Dar ukiwa kwa ndege., ufukara wenu haufichiki, ni kama kikohozi🤣🤣🤣🤣.,
Hivi unajua information za Google earth zinaweza kuwa update hata baada ya miaka miwili mpaka mitatu kwa baadhi ya maeneo.
Unaona sasa usivyokuwa na ufahamu yaan wewe unategemea google earth ndo ikupatie picha halisi🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
..Kisha wajenge ama wapangishe uswazini., taifa fukara hii, Kisha wanajifananisha na China eti🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆, mbona liko wazi sana ata kwa Google Earth ufukara unaonakan zaidi ya mazuri.,🤣🤣🤣😆😆, even when landing in Dar ukiwa kwa ndege., ufukara wenu haufichiki, ni kama kikohozi🤣🤣🤣🤣.,
Ufahamu wako ndogo sana mzeee wa kutegemea google earth kwa ajili ya picha🤣🤣🤣🤣.
Huna jipya
 
Hivi unajua information za Google earth zinaweza kuwa update hata baada ya miaka miwili mpaka mitatu kwa baadhi ya maeneo.
Unaona sasa usivyokuwa na ufahamu yaan wewe unategemea google earth ndo ikupatie picha halisi🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Less than a year kilaza., update yake is not far apart Wacha kulazimisha uongo.., ama tujaribu na sehemu ya Dar sasa hivi., mahali Kuna jengo ama project ilioanza kujengwa mwaka huu uone..., boss🤣🤣🤣
 
Ufahamu wako ndogo sana mzeee wa kutegemea google earth kwa ajili ya picha🤣🤣🤣🤣.
Huna jipya
Umebanwa, sasa ni vimaneno unatafuta kujikomboa., test google earth sasa hivi.., mko hovyoooo 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Less than a year kilaza., update yake is not far apart Wacha kulazimisha uongo.., ama tujaribu na sehemu ya Dar sasa hivi., mahali Kuna jengo ama project ilioanza kujengwa mwaka huu uone..., boss🤣🤣🤣
Sasa ndo maana tunakuambia uwezo wako ni mdogo , eti upate updated picha za dar za Leo.
Only satellite za biashara kama planet hub
Maxar texhnology
Na military Google maps .
Kwa hili dogo imeonesha kiwango Cha uelewa na elimu yako, hakuna hata haja ya kukujibu baada ya hapa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Medical Checks up are free in Kenya. So please tell, how is kidney disease is related with wealth of a person? How many wealthy people have been diagnosed with kidney problems? Ama hao pia maskini? You are just foolish.
uhehehe check up are free in kenya 😂😂

tangu lini check up zimekua free ???
kenya kuna kitu cha bure labda oxygen ndio bure


mambo kwa ground ndio haya
kasongo hoyeeee😂😂😂😂

View: https://x.com/moneyacademyke/status/1952587870574956693?s=46
 
Hii hapa ni Dar ingekua poa tukapata aerial view kali ya hapa. 👇🏾 Tazara railway station inaonekana hapo
IMG_0263.jpeg
IMG_0264.jpeg
IMG_0265.jpeg
 
What changes have you made in the last for 5 years? Punguza kuropokwa oyaaa.
Wewe unafatilia huu Uzi au ulikufa wewe.? 🤣🤣🤣🤣 in the past ten years tulikua na BRT lanes within Posta.? Now they are almost in all streets of Posta, clean environment than ever before, sahii tunazo gorofa kali za kuwaka waka vioo like no comparison in your 💩 country. Unaulizia changes.? Sahii within CBD tunayo SGR terminal. We Unaulizia changes.?
 
Back
Top Bottom