Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Imagine na hiyo uchafu still houses hapo looks far better and standard than Uswazi hovels🤣🤣🤣🤣.,
Kwa uchafuu huo Tena wa kumwaga mavi barabaram Bora uswazi ya Tanzania🤣🤣🤣.
Hapo Kuna mpaka flying toilet
 
Soma kiswahili tuelewe haha 🤣🤣🤣🤣🤣.

Kumbe hata kuelewa kwako ni ngumu , kuna picha umeona kapost au alikuwa anatoa maelezo jinsi anavyoijua pipeline na jirani zake
Hohoho he clearly said hizo nyumba ziko Fedha, unapinga na sio wewe uliandika. Pumbavu sana.
 
Wanaumwa sana kuona Mosiria is cleaning up the place. 🤣 🤣 Heri niishi pipeline kuliko kwa hizo uswazi hovels ambazo bafu na choo hazina roof. 🤣🤣🤣
Kabisaaa , hawana aibu to defend uswazi over pipeline ghetto 😆😆
 
Kisha mnarender wenzenu homeless, hamna mpango.., hao hao wameenda kwingine kuongeza idadi ya uswazi., they were never empowered in any way according to the above article., boss!!! Msijifananishe na Kenya, licha ya challenges zetu, zenu ni za kimasikini sana🤣🤣🤣😆😆😆😆
Kwikwi baada ya kulipwa fidia unadhani Kenya ni huko mnakoibiwa
 
Kwa uchafuu huo Tena wa kumwaga mavi barabaram Bora uswazi ya Tanzania🤣🤣🤣.
Hapo Kuna mpaka flying toilet
Pampers ya watoto ni flying toilet eti🤣🤣🤣😆😆., unajitekenya, uswazi hovels diehard 🤣🤣🤣😆😆., pumzika nyumbani basi., mko sawa naona😆😆😆😆
 
Kwikwi baada ya kulipwa fidia unadhani Kenya ni huko mnakoibiwa
..Kisha wajenge ama wapangishe uswazini., taifa fukara hii, Kisha wanajifananisha na China eti🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆, mbona liko wazi sana ata kwa Google Earth ufukara unaonakan zaidi ya mazuri.,🤣🤣🤣😆😆, even when landing in Dar ukiwa kwa ndege., ufukara wenu haufichiki, ni kama kikohozi🤣🤣🤣🤣.,
 
..Kisha wajenge ama wapangishe uswazini., taifa fukara hii, Kisha wanajifananisha na China eti🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆, mbona liko wazi sana ata kwa Google Earth ufukara unaonakan zaidi ya mazuri.,🤣🤣🤣😆😆, even when landing in Dar ukiwa kwa ndege., ufukara wenu haufichiki, ni kama kikohozi🤣🤣🤣🤣.,
Hivi unajua information za Google earth zinaweza kuwa update hata baada ya miaka miwili mpaka mitatu kwa baadhi ya maeneo.
Unaona sasa usivyokuwa na ufahamu yaan wewe unategemea google earth ndo ikupatie picha halisi🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
..Kisha wajenge ama wapangishe uswazini., taifa fukara hii, Kisha wanajifananisha na China eti🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆, mbona liko wazi sana ata kwa Google Earth ufukara unaonakan zaidi ya mazuri.,🤣🤣🤣😆😆, even when landing in Dar ukiwa kwa ndege., ufukara wenu haufichiki, ni kama kikohozi🤣🤣🤣🤣.,
Ufahamu wako ndogo sana mzeee wa kutegemea google earth kwa ajili ya picha🤣🤣🤣🤣.
Huna jipya
 
Hivi unajua information za Google earth zinaweza kuwa update hata baada ya miaka miwili mpaka mitatu kwa baadhi ya maeneo.
Unaona sasa usivyokuwa na ufahamu yaan wewe unategemea google earth ndo ikupatie picha halisi🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Less than a year kilaza., update yake is not far apart Wacha kulazimisha uongo.., ama tujaribu na sehemu ya Dar sasa hivi., mahali Kuna jengo ama project ilioanza kujengwa mwaka huu uone..., boss🤣🤣🤣
 
Ufahamu wako ndogo sana mzeee wa kutegemea google earth kwa ajili ya picha🤣🤣🤣🤣.
Huna jipya
Umebanwa, sasa ni vimaneno unatafuta kujikomboa., test google earth sasa hivi.., mko hovyoooo 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Less than a year kilaza., update yake is not far apart Wacha kulazimisha uongo.., ama tujaribu na sehemu ya Dar sasa hivi., mahali Kuna jengo ama project ilioanza kujengwa mwaka huu uone..., boss🤣🤣🤣
Sasa ndo maana tunakuambia uwezo wako ni mdogo , eti upate updated picha za dar za Leo.
Only satellite za biashara kama planet hub
Maxar texhnology
Na military Google maps .
Kwa hili dogo imeonesha kiwango Cha uelewa na elimu yako, hakuna hata haja ya kukujibu baada ya hapa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom