Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ujifunze kuwa updated acha kuokota picha za 2012 haha sasa hivi tupo mwaka 2025 , miaka 11 iliyopita
View attachment 3432739

Haya maeneo yote yashapitiwa na tingatinga
Hayo maeneo yote yashabomolewa kwa taarifa yako
chrome_screenshot_Aug 5, 2025 9_59_44 PM GMT+03_00.png
 
Si mwenzako alisema hapo sio Pipeline, eti hapo ni Fedha? Sasa umekimbia kusearch ukapata ni Pipeline sasa mumeshift goal post eti munataka recent photo. Bongolala ni kama malaya, hawezi ridhishwa.
Hakuna aliyesema hapo ni fedha leta evidence mwenzako ndo anajifanya kudanganya kuwa pipeline imesafishwa kwa kuleta picha za uongo. Ebu quote aliposema hapo ni fedha kwa picha alizoleta mwenzako
 
Bado leo hapo Kuna huo uchafu?.., Kisha linganisha hizo nyumba na uswazi zenu..., taka taka ni transient., elewa hilo., na hapo ni ghetto pia..,
Pipeline ikija Dar na iwe safi itafanana kama upper middle class walai🤣🤣.,

Dunia ya Leo mnaishi hivi maisha ya kawaida, sio slums wala mashambani zile za tope na nyasi.,
View attachment 3432730
View attachment 3432731
View attachment 3432732
View attachment 3432733
Hii ni 13 years ago can you please stop using these outdated photos.?
 
Hakuna aliyesema hapo ni fedha leta evidence mwenzako ndo anajifanya kudanganya kuwa pipeline imesafishwa kwa kuleta picha za uongo. Ebu quote aliposema hapo ni fedha kwa picha alizoleta mwenzako
Nani alisema pipeline imesafishwa?.., nilipinga picha ya kilaza mwezako ambaye mnafanana ki fikra., eti pipeline ni ile ya barabara za matope, hakuna lami Wala cabro., nikaonyesha mabadiliko., Kisha nimekueleza taka taka kwa streets ni transient., leo ipo kesho haipo., depends na wakazi pale...,

Picha ya mwenzako
Screenshot_20250602-111652.png

Pipeline upgraded infrastructure..
jujanhkb749j9z572ee3dfb5214.jpg

picture1.jpg

figure-1.jpg
 
Kwahiyo sasa msimamo wako ni upi.? Mombasa ni bora kuliko Dar au Westlands ni bora kuliko Dar.? Mana ni kama Dar moja unajaribu kujilinganisha na kila aina ya ushuzi huko kunyarenda, choose your battles wisely. 😆
Tena anaokota pica za miaka 13 iliyopita
 
I want to show u how stupid u are:.,
Picha zako hizi hapa👇👇.., no cabro, wakati pipeline was muddy(matope)., no cabro no termac., sijaongelea uchafu., pipeline is ghetto ila kwa kauli yenu uswazi zenu eti sio ghetto..,
your picture..,👇👇🤣
View attachment 3432691wapi cabro ama termac????.,View attachment 3432689

Kisha hii sehemu leta 2025 tuone..,
View attachment 3432690

Sasa ya 2025 where people are irresponsible with waste management how does it contradict me??? ebu wewe nieleze?., ulizo okota na ku post ni za 2025 eti? boss am not a propagandist kama wewe, ndio maana nilikuambia ingia google earth scan through uone level ya sehemu unazo dhania ni slums tulinganishe na uswazi zenu zilivyo tapakaa..,

Street za Pipeline.., besides waste issues...,
View attachment 3432694
View attachment 3432693
View attachment 3432695
View attachment 3432696
View attachment 3432697

Sasa leo hii hiyo sehemu ulio onyesha with the county environmental guy kwa ground, Kuna uchafu? Kwa vile jamaa kasafisha.., na hizo nyumba utafananisha na zile uswazi zenu ya vyoo vya nje mingi za shimo?.., boss!!!!! hatufanani...,

View: https://vm.tiktok.com/ZNdxdaovg/ maku hii ni lini?
 
Pipeline iko vile vile.

Ila karibu na pipeline hapo, muna estates nyimgine hapo inaitwa Fedha, ndio hizi nyumba kwenye hii picha

Hakuna aliyesema hapo ni fedha leta evidence mwenzako ndo anajifanya kudanganya kuwa pipeline imesafishwa kwa kuleta picha za uongo. Ebu quote aliposema hapo ni fedha kwa picha alizoleta mwenzako

Kwa hivyo hapa ni Fedha eti. 🤣 🤣 🤣 Ama unataka kujifanya hujaona Don YF alikua amepost hio picha pamoja na picha zingine za pipeline.
 
Nani alisema pipeline imesafishwa?.., nilipinga picha ya kilaza mwezako ambaye mnafanana ki fikra., eti pipeline ni ile ya barabara za matope, hakuna lami Wala cabro., nikaonyesha mabadiliko., Kisha nimekueleza taka taka kwa streets ni transient., leo ipo kesho haipo., depends na wakazi pale...,

Picha ya mwenzako
View attachment 3432750
Pipeline upgraded infrastructure..
View attachment 3432753
View attachment 3432754
View attachment 3432755
Kwa hiyo hizi picha ulizoweka ni za Leo baadabya kusafishwa
 
Uelewa wako finyu ebu rudia kusoma hiyo sentensi Tena .
Umeambiwa karibia na hapo pipeline kuna estate nyingine inaitwa fedha . Kwa hiyo kauli unaona kaongelea picha.
Yaleyale ya skd ni process🤣🤣🤣🤣
 
Shida ya wazee kila kitu wao hujifanya wanajua. Yani hamtaki kubadilika na kuwa dynamic kimawazo kabisa.
Wacha nitunze tu heshima yangu kwako kwa hili.
Sasa, hujawahi hata kuniona kwa sura, but tayari your assumption mimi ni mzee. Badala ya fegi, mitungi, mademu na other addictions, jitahidi kuwa addicted na fact-oriented approach.
 
Nani alisema pipeline imesafishwa?.., nilipinga picha ya kilaza mwezako ambaye mnafanana ki fikra., eti pipeline ni ile ya barabara za matope, hakuna lami Wala cabro., nikaonyesha mabadiliko., Kisha nimekueleza taka taka kwa streets ni transient., leo ipo kesho haipo., depends na wakazi pale...,

Picha ya mwenzako
View attachment 3432750
Pipeline upgraded infrastructure..
View attachment 3432753
View attachment 3432754
View attachment 3432755
Hii pipeline hata ni area moja tu ndio hua na hio shida ya takataka, and the reason they do that, ni ju hawataki hio area isafishwe because the rent prices will shoot up. Na hio street ndio Mosiria hushinda ameenda huko.
 
Back
Top Bottom