The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Hv hawa wanusa gundi kwnn wanaitaga hvyo?Chief achana nae utabishana vipi na mtu anayeita umeme steamer š maana bado atakuambia umeme ni steamer hata mkibishana miaka 100š¤£š¤£š¤£
Hv hawa wanusa gundi kwnn wanaitaga hvyo?Chief achana nae utabishana vipi na mtu anayeita umeme steamer š maana bado atakuambia umeme ni steamer hata mkibishana miaka 100š¤£š¤£š¤£
Jibu swali hii picha ni ya leoBado leo hapo Kuna huo uchafu?.., Kisha kinganisha hizo nyumba na uswazi zenu..., taka taka ni transient., elewa hilo., na hapo ni ghetto pia..,
Pipeline ikija Dar na iwe safi itafanana kama upper middle class walaiš¤£š¤£.,
Dunia ya Leo mnaishi hivi maisha ya kawaida, sio slums wala mashambani zile za tope na nyasi.,
View attachment 3432730
View attachment 3432731
View attachment 3432732
View attachment 3432733
FedhaPipeline iko vile vile.
Ila karibu na pipeline hapo, muna estates nyimgine hapo inaitwa Fedha, ndio hizi nyumba kwenye hii picha
Tena hapo sio Fedha. š¤£š¤£Point yetu unaokota picha za zamani kuja kuzishoff
Inshort hakuna picha hata moja ya leo
Ujifunze kuwa updated acha kuokota picha za 2012 haha sasa hivi tupo mwaka 2025 , miaka 11 iliyopitaBado leo hapo Kuna huo uchafu?.., Kisha kinganisha hizo nyumba na uswazi zenu..., taka taka ni transient., elewa hilo., na hapo ni ghetto pia..,
Pipeline ikija Dar na iwe safi itafanana kama upper middle class walaiš¤£š¤£.,
Dunia ya Leo mnaishi hivi maisha ya kawaida, sio slums wala mashambani zile za tope na nyasi.,
View attachment 3432730
View attachment 3432731
View attachment 3432732
View attachment 3432733
Haya mjuaji, ebu tuambie hapa ni wapi?Siyo kujifanya. Kimji cha dakika 20 nacho cha kutishia watu
Si mwenzako alisema hapo sio Pipeline, eti hapo ni Fedha? Sasa umekimbia kusearch ukapata ni Pipeline sasa mumeshift goal post eti munataka recent photo. Bongolala ni kama malaya, hawezi ridhishwa.Kwahiyo fedha inahusiana na picha ,unajaribu kumuokoa mwenzioš¤£š¤£š¤£š¤£
Hayo maeneo yote yashabomolewa kwa taarifa yakoUjifunze kuwa updated acha kuokota picha za 2012 haha sasa hivi tupo mwaka 2025 , miaka 11 iliyopita
View attachment 3432739
Haya maeneo yote yashapitiwa na tingatinga
Hakuna aliyesema hapo ni fedha leta evidence mwenzako ndo anajifanya kudanganya kuwa pipeline imesafishwa kwa kuleta picha za uongo. Ebu quote aliposema hapo ni fedha kwa picha alizoleta mwenzakoSi mwenzako alisema hapo sio Pipeline, eti hapo ni Fedha? Sasa umekimbia kusearch ukapata ni Pipeline sasa mumeshift goal post eti munataka recent photo. Bongolala ni kama malaya, hawezi ridhishwa.
J
Jibu swali hii picha ni ya leo
View: https://x.com/CaptainOchenge/status/1489579403101327367?t=kN6IgakAYm9ce1vYOBhJRQ&s=19
Hii ni 13 years ago can you please stop using these outdated photos.?Bado leo hapo Kuna huo uchafu?.., Kisha linganisha hizo nyumba na uswazi zenu..., taka taka ni transient., elewa hilo., na hapo ni ghetto pia..,
Pipeline ikija Dar na iwe safi itafanana kama upper middle class walaiš¤£š¤£.,
Dunia ya Leo mnaishi hivi maisha ya kawaida, sio slums wala mashambani zile za tope na nyasi.,
View attachment 3432730
View attachment 3432731
View attachment 3432732
View attachment 3432733
Hapa tunazungumzia uhalisia wa picha jibu kama hiyo ni picha ye leo.Kwani nini imebadilika hapo leo hii infrastructure-wise?..,
Kwahiyo sasa msimamo wako ni upi.? Mombasa ni bora kuliko Dar au Westlands ni bora kuliko Dar.? Mana ni kama Dar moja unajaribu kujilinganisha na kila aina ya ushuzi huko kunyarenda, choose your battles wisely. šWestlands now is above Dar CBD..,
Dar CBD (wanaita city center).,
View attachment 3432713
Westlands Business District š„š„
View attachment 3432710
View attachment 3432711
Anaparamia Kila pichaHii ni 13 years ago can you please stop using these outdated photos.?
Nani alisema pipeline imesafishwa?.., nilipinga picha ya kilaza mwezako ambaye mnafanana ki fikra., eti pipeline ni ile ya barabara za matope, hakuna lami Wala cabro., nikaonyesha mabadiliko., Kisha nimekueleza taka taka kwa streets ni transient., leo ipo kesho haipo., depends na wakazi pale...,Hakuna aliyesema hapo ni fedha leta evidence mwenzako ndo anajifanya kudanganya kuwa pipeline imesafishwa kwa kuleta picha za uongo. Ebu quote aliposema hapo ni fedha kwa picha alizoleta mwenzako
Tena anaokota pica za miaka 13 iliyopitaKwahiyo sasa msimamo wako ni upi.? Mombasa ni bora kuliko Dar au Westlands ni bora kuliko Dar.? Mana ni kama Dar moja unajaribu kujilinganisha na kila aina ya ushuzi huko kunyarenda, choose your battles wisely. š
I want to show u how stupid u are:.,
Picha zako hizi hapašš.., no cabro, wakati pipeline was muddy(matope)., no cabro no termac., sijaongelea uchafu., pipeline is ghetto ila kwa kauli yenu uswazi zenu eti sio ghetto..,
your picture..,ššš¤£
View attachment 3432691wapi cabro ama termac????.,View attachment 3432689
Kisha hii sehemu leta 2025 tuone..,
View attachment 3432690
Sasa ya 2025 where people are irresponsible with waste management how does it contradict me??? ebu wewe nieleze?., ulizo okota na ku post ni za 2025 eti? boss am not a propagandist kama wewe, ndio maana nilikuambia ingia google earth scan through uone level ya sehemu unazo dhania ni slums tulinganishe na uswazi zenu zilivyo tapakaa..,
Street za Pipeline.., besides waste issues...,
View attachment 3432694
View attachment 3432693
View attachment 3432695
View attachment 3432696
View attachment 3432697
Sasa leo hii hiyo sehemu ulio onyesha with the county environmental guy kwa ground, Kuna uchafu? Kwa vile jamaa kasafisha.., na hizo nyumba utafananisha na zile uswazi zenu ya vyoo vya nje mingi za shimo?.., boss!!!!! hatufanani...,
Pipeline iko vile vile.
Ila karibu na pipeline hapo, muna estates nyimgine hapo inaitwa Fedha, ndio hizi nyumba kwenye hii picha
Hakuna aliyesema hapo ni fedha leta evidence mwenzako ndo anajifanya kudanganya kuwa pipeline imesafishwa kwa kuleta picha za uongo. Ebu quote aliposema hapo ni fedha kwa picha alizoleta mwenzako
Kwa hiyo hizi picha ulizoweka ni za Leo baadabya kusafishwaNani alisema pipeline imesafishwa?.., nilipinga picha ya kilaza mwezako ambaye mnafanana ki fikra., eti pipeline ni ile ya barabara za matope, hakuna lami Wala cabro., nikaonyesha mabadiliko., Kisha nimekueleza taka taka kwa streets ni transient., leo ipo kesho haipo., depends na wakazi pale...,
Picha ya mwenzako
View attachment 3432750
Pipeline upgraded infrastructure..
View attachment 3432753
View attachment 3432754
View attachment 3432755
Kunia ulale., ata kama ni 20 years ago, waling'oa cabro?.., na lami je?.., TWAT!š¤£š¤£š¤£š¤£Hii ni 13 years ago can you please stop using these outdated photos.?