Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nilijua wewe ni kilaza, utakwepa, lazima upekue pekue Google vipicha vya zamani kujiliwaza.., na kwa sasa je?.., naona umeogopa google earth..,

Mbona hautaki pipeline ya leo hii., 👇 Mtanzania lazima atumie propaganda, open battle with reality hawezi🤣🤣🤣
picture1.jpg

jujanhkb749j9z572ee3dfb5214.jpg

figure-1.jpg

images-3.jpg


images-4.jpg
 
Yaani sura na nguo ni muonekano wa kitanzania kabisaaa hehe, vitenge ni Tanzania na kuelekea west Africa, mbona unajidharau hivyo hehehehehe
Bongolalas hawajui Grok has released an update for generating AI videos. 🤣 🤣 It will take them a long time kabla waanze kujua how to differentiate AI videos from real videos.
 
Shabana nets over a million kshs in gate collections., kuna wakati kule Gusii stadium Kisii they collected Kshs5M, mashinani, haijawai kutokea Tanzania timu ikusanye pesa kiwango hiyo nje ya Dar.., fanya google rafiki., sio lazima uulize maswali..,
Tumesema kusiwepo na gor mahia , hiyo mechi ni ya 4/5 /2025 na ilikuwa afc versus gor mahia
Tukisema tutajie nje ya dar zilizokusanya basi
Simba versus mbao fc
Jamhuri. stadium Dodoma
Tsh 117ml tsh= ksh 5.85
 
Shabana nets over a million kshs in gate collections., kuna wakati kule Gusii stadium Kisii they collected Kshs5M, mashinani, haijawai kutokea Tanzania timu ikusanye pesa kiwango hiyo nje ya Dar.., fanya google rafiki., sio lazima uulize maswali..,
Hakuna timu ya Kenya yenye net worth ya 1mil usd .
Ila Tanzania hakuna timu iliyopo 10 yenye net worth ya below 1mil usd
 
Nilijua wewe ni kilaza, utakwepa, lazima upekue pekue Google vipicha vya zamani kujiliwaza.., na kwa sasa je?.., naona umeogopa google earth..,

Mbona hautaki pipeline ya leo hii., 👇 Mtanzania lazima atumie propaganda, open battle with reality hawezi🤣🤣🤣
View attachment 3432511
View attachment 3432509
View attachment 3432512
View attachment 3432513

View attachment 3432510
Unaleta picha za mwaka 2020

chrome_screenshot_Aug 5, 2025 6_24_18 PM GMT+03_00.png
chrome_screenshot_Aug 5, 2025 6_23_59 PM GMT+03_00.png


Hii hapa ndo pipeline as at 21/7/2025

View: https://vm.tiktok.com/ZMSEfYFJ3/
 
Unaleta picha za mwaka 2020

View attachment 3432554View attachment 3432555

Hii hapa ndo pipeline as at 21/7/2025

View: https://vm.tiktok.com/ZMSEfYFJ3/

Kaka mkunya akiongea maneno 100 usiamini hata 1,huyo mngese Don YF alishaleta umaku wake hapo
 
Nilijua wewe ni kilaza, utakwepa, lazima upekue pekue Google vipicha vya zamani kujiliwaza.., na kwa sasa je?.., naona umeogopa google earth..,

Mbona hautaki pipeline ya leo hii., 👇 Mtanzania lazima atumie propaganda, open battle with reality hawezi🤣🤣🤣
View attachment 3432511
 
Back
Top Bottom