Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shabana nets over a million kshs in gate collections., kuna wakati kule Gusii stadium Kisii they collected Kshs5M, mashinani, haijawai kutokea Tanzania timu ikusanye pesa kiwango hiyo nje ya Dar.., fanya google rafiki., sio lazima uulize maswali..,
Hakuna timu ya Kenya yenye net worth ya 1mil usd .
Ila Tanzania hakuna timu iliyopo 10 yenye net worth ya below 1mil usd
 
Nilijua wewe ni kilaza, utakwepa, lazima upekue pekue Google vipicha vya zamani kujiliwaza.., na kwa sasa je?.., naona umeogopa google earth..,

Mbona hautaki pipeline ya leo hii., 👇 Mtanzania lazima atumie propaganda, open battle with reality hawezi🤣🤣🤣
View attachment 3432511
View attachment 3432509
View attachment 3432512
View attachment 3432513

View attachment 3432510
Unaleta picha za mwaka 2020

chrome_screenshot_Aug 5, 2025 6_24_18 PM GMT+03_00.png
chrome_screenshot_Aug 5, 2025 6_23_59 PM GMT+03_00.png


Hii hapa ndo pipeline as at 21/7/2025

View: https://vm.tiktok.com/ZMSEfYFJ3/
 
Unaleta picha za mwaka 2020

View attachment 3432554View attachment 3432555

Hii hapa ndo pipeline as at 21/7/2025

View: https://vm.tiktok.com/ZMSEfYFJ3/

Kaka mkunya akiongea maneno 100 usiamini hata 1,huyo mngese Don YF alishaleta umaku wake hapo
 
Nilijua wewe ni kilaza, utakwepa, lazima upekue pekue Google vipicha vya zamani kujiliwaza.., na kwa sasa je?.., naona umeogopa google earth..,

Mbona hautaki pipeline ya leo hii., 👇 Mtanzania lazima atumie propaganda, open battle with reality hawezi🤣🤣🤣
View attachment 3432511
 
Hahaha tushawazoea si unaona kapotea mazima
Kaka umemkimbiza yule fala Don YF ,alikua active humu ila ulipoweka ukweli wa alichokua anadanganya humu,ghafla kapotea,ile sasa ndio tabia ya kikenya kupretend humu mitandaoni if wana maisha mazuri in contrary wana umaskini wa kutisha
 
Yet zingekuwa Namanga mngesema mnatulisha sivyo?
Have you noted a trend, kuwa tunafanya tunavyotaka na kuimpliment any polocy as we see it fit na hamna la kufanya, na kila mnalofanya tunarisiprokeit, kama kuzuia ndege zote, na mnaufyata always.

Huo ndio uhalisia wa uchumi mkubwa regionally, dictating the terms of trade and so forth.
 
Have you noted a trend, kuwa tunafanya tunavyotaka na kuimpliment any polocy as we see it fit na hamna la kufanya, na kila mnalofanya tunarisiprokeit, kama kuzuia ndege zote, na mnaufyata always.

Huo ndio uhalisia wa uchumi mkubwa regionally, dictating the terms of trade and so forth.
Mimi nasubiria waanze kufukuza wabongo mpaka leo sijaona ila sisi tushaanza kuwanyorosha kama kawaida na hawana Cha kutufanya
 
Back
Top Bottom