Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 2,147
- 4,296
Inatakiwa tupate kampuni moja ya magari ya kawaida na hyce za abiria, ili tupumzike na used za Japan.wakat rasi ananunua ticket na kugawa kwa wafanyakazi wa serekali na wale kalenjin wenzie huku kwetu kiwanda chapili cha FAW kimejengwa bagamoyo apart of that in kibaha 😂😂😂
hichi kitazalisha 5000 units by 2027 mwaka huu wataanza na 2000 units
View attachment 3430991View attachment 3430994View attachment 3430995View attachment 3430997View attachment 3430998View attachment 3431000View attachment 3431001View attachment 3431003View attachment 3431004
uniletee ww uliesema analipwa 50k inaonekana uliona mkataba wake au ww ndio ulimsainia😂😂😂😂Leta evidence kwamba sio 50k.
uhehehe yani hio ni pesa tanzania intengeza kwenye port and transport sector 😂😂😂😂😂Pesa zote kwa mzungu😂😂😂
No wonder Tanzania bado ni LDC despite having all the natural resources in the world.
umeamua kutuonesha takataka live bila chenga 😂😂😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻Affordable housing in Mombasa. We are clearing all the shacks in Kenya.
![]()
![]()
Port si ni ya Mwarabu? Dar Port haimilikiwi na Tanzania.uhehehe yani hio ni pesa tanzania intengeza kwenye port and transport sector 😂😂😂😂😂
copper from congo and zambia
Poe kwa maumivu. Ulisema affordable housing atafanyika, saa unatafuta kichaka cha kujifichia🤣😂😂umeamua kutuonesha takataka live bila chenga 😂😂😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
leo umejipiga denda mwenyewe
So umeshind kuprove me wrong? Bure kabisa.uniletee ww uliesema analipwa 50k inaonekana uliona mkataba wake au ww ndio ulimsainia😂😂😂😂
Uko sahihi mkuu ila nahisi inahitajika pia baadhi ya sera za Chama Cha CCM zibadilike maana inaonesha kabisa Kuna mapungufu kwenye sera zake baadhi.Upizani wa sasa unaweza fananidha na ule wa 1995 au 2010? Si dhani.
Ngoja tuone.
Naelewa kuchoshwa kwako na CCM, wengi walikuwa hivyo 2010-2015, ila hapa naongelea misingi ya chama, siyo watu.
kama mtandao wataondolewa, na kuletwa katiba ya Warioba (ambayo inawajibisha viongozi), CCm itakuwa vizuri.
Kwa sasa hakuna chama mbadala, Lissu (CHADEMA) kwa mfano, amejikamatisha sana na EU, sasa unajua mwenyewe, ajenda za akina Ursula zilivyo, tutashurutishwa mambo ya ajabu ajabu.
Embu Wacha nijadili mambo ya maana.mpumbavu ni mpumbavu, yani sikio la kufa halisikii dawa., idiocy on steroids here, betting firms even consider form of players and current performance ya team, basing on latest previous performance, sio mere ranking hehehehe, wewe ni fala, hehehe, team inaweza ku survive relegation season iliyopita, kisha current season wanashinda game zao zikifatana kwa mpigo., watapewa odds kidogo based on current variables that is making them win games, nyambaff!!..,
Sera zake nitaleta soft copy yake na kumwaga humu uzione mkuu.Hivi sera za ACT wazalendo zikoje?
Hii sheria ya wa znz kumiliki ardhi bara ila sisi kutomiliki kule, mbona ya zamani sana. Wakati na kua hata kwenda Znz ilikuwa lazima uwe na passport.
aliekwambia port ni ya mwarabu nani ? ww unajua kazi ya DP world pale ??😂😂Port si ni ya Mwarabu? Dar Port haimilikiwi na Tanzania.
yani umeamua kujipiga romance mwenyewe 😂😂😂😂Poe kwa maumivu. Ulisema affordable housing atafanyika, saa unatafuta kichaka cha kujifichia🤣😂😂
ww ulitoa wapi hio mshahara 50k 😂😂😂So umeshind kuprove me wrong? Bure kabisa.
mbona sisikii uganda wakilalamila, sioni rwanda au burundi wakilalamila kwann ni hawa mbwa peke yao 😂😂😂😂Kila mnusa gundi analilia Tanzania bila Tanzania maisha yao ni tabaani serikali ikaze kamba na kila mbuzi ale kwa uerefu wa kamba yake
Hapo ni halftime?17:01 it was halftime.., guys had stepped out of their seats kuenda wash rooms and stretching a bit.., yaani kwa kulazimisha hamjambo., kubalini tu ukweli.., seats are 48,000, CAF approved 44,000 tickets for safety reasons.., and it is the trend across East Africa..,