Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni aibu kwa CAF kuchagua uwanja una pich mbovu hivi kuchezwa fainali shame shame
 

Attachments

  • FB_IMG_1754304838667.jpg
    FB_IMG_1754304838667.jpg
    481 KB · Views: 12
  • FB_IMG_1754224692190.jpg
    FB_IMG_1754224692190.jpg
    49.3 KB · Views: 9
  • FB_IMG_1754304923156.jpg
    FB_IMG_1754304923156.jpg
    250 KB · Views: 8
wakat rasi ananunua ticket na kugawa kwa wafanyakazi wa serekali na wale kalenjin wenzie huku kwetu kiwanda chapili cha FAW kimejengwa bagamoyo apart of that in kibaha 😂😂😂

hichi kitazalisha 5000 units by 2027 mwaka huu wataanza na 2000 units

View attachment 3430991View attachment 3430994View attachment 3430995View attachment 3430997View attachment 3430998View attachment 3431000View attachment 3431001View attachment 3431003View attachment 3431004
Inatakiwa tupate kampuni moja ya magari ya kawaida na hyce za abiria, ili tupumzike na used za Japan.
 
umeamua kutuonesha takataka live bila chenga 😂😂😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

leo umejipiga denda mwenyewe
Poe kwa maumivu. Ulisema affordable housing atafanyika, saa unatafuta kichaka cha kujifichia🤣😂😂
 
Upizani wa sasa unaweza fananidha na ule wa 1995 au 2010? Si dhani.

Ngoja tuone.

Naelewa kuchoshwa kwako na CCM, wengi walikuwa hivyo 2010-2015, ila hapa naongelea misingi ya chama, siyo watu.

kama mtandao wataondolewa, na kuletwa katiba ya Warioba (ambayo inawajibisha viongozi), CCm itakuwa vizuri.

Kwa sasa hakuna chama mbadala, Lissu (CHADEMA) kwa mfano, amejikamatisha sana na EU, sasa unajua mwenyewe, ajenda za akina Ursula zilivyo, tutashurutishwa mambo ya ajabu ajabu.
Uko sahihi mkuu ila nahisi inahitajika pia baadhi ya sera za Chama Cha CCM zibadilike maana inaonesha kabisa Kuna mapungufu kwenye sera zake baadhi.

😂😂😂Inamaana mkuu hauamini mikono mingine nje ya CCM?
 
mpumbavu ni mpumbavu, yani sikio la kufa halisikii dawa., idiocy on steroids here, betting firms even consider form of players and current performance ya team, basing on latest previous performance, sio mere ranking hehehehe, wewe ni fala, hehehe, team inaweza ku survive relegation season iliyopita, kisha current season wanashinda game zao zikifatana kwa mpigo., watapewa odds kidogo based on current variables that is making them win games, nyambaff!!..,
Embu Wacha nijadili mambo ya maana.
Baki na ukichaa wako unanipotezea muda hapa.
 
Hivi sera za ACT wazalendo zikoje?

Hii sheria ya wa znz kumiliki ardhi bara ila sisi kutomiliki kule, mbona ya zamani sana. Wakati na kua hata kwenda Znz ilikuwa lazima uwe na passport.
Sera zake nitaleta soft copy yake na kumwaga humu uzione mkuu.
Ni sera nzuri tu na jengefu.

Kuhusu umiliki wa ardhi sijajua kama hiyo ilikua ni ya zamani sana shukran umenifahamisha.
Ila hivi wewe unaona ni sawa mpemba aishi Bara pasi na vikwazo ila Mbara akienda visiwani awekewe vikwazo hasa hilo la ardhi!?
 
17:01 it was halftime.., guys had stepped out of their seats kuenda wash rooms and stretching a bit.., yaani kwa kulazimisha hamjambo., kubalini tu ukweli.., seats are 48,000, CAF approved 44,000 tickets for safety reasons.., and it is the trend across East Africa..,
Hapo ni halftime?

View: https://vm.tiktok.com/ZMSKno8Ek/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
 
Back
Top Bottom