Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kiazi wewe unadhani gari ni kama ndege!?
Nani kakwambia gari zote zinakuwa assembled?
Mathalan Toyota Ina engine zake zenye specs zake tofauti na Hyundai ama Nissan,pia chassis tofauti hata body tofauti.
Unataka Kunambia Toyota ni vifaa gani Wanaagiza pale Japan ili waweze ku assemble gari zao!?
Angalau useme ndege ntakuelewa,japo ndege nayo ni baadhi ya vifaa ndio huagizwa makampuni mengine waundaji ila nchi kama nchi inahusika kuunda engine yenyewe zikiwa na specs zake.
Toyota Japan wanaunda chassis wenyewe,engine wenyewe na body ya gari wenyewe.
Enyewe pumbavu ni pumbavu tu hawezi kusaidika. Gari zote hua zinatengenezwa kwa kitu inaitwa an assembly line. Kama hukuwai jua, basi umejua leo. Hizo parts unataja, chassis, engine, body frame, hua zinakusanywa zote from diferent car parts manufactures alafu zinaletwa kwa an assembly line line. Hapo ndio zinaunganishwa inakua gari. Haijalishi kama assembly line inatumia robots ama watu, the process remains the same.

Gari kama Toyota Supra 5, engine inakua designed by BMW lakini manufacturing na assembly inafanywa na Magna Steyr, ambao wamespecialize kutengeneza different car parts na bado wanafanya full assembly on behalf of established car brands kama Toyota.

Kwa hivyo usidhani Toyota hawezi kuagiza parts from other car brands ama third party manufacturer, Toyota ni kampuni kubwa sana na hawawezi tengeneza magari zao zote in house. Kuna zile wanaunda wenyewe, zingine wanapea third party manufacturers kama Magna Steyr na zingine wanasource parts wenyewe alafu wanapea CKD assemblers kama AVA.
 
So Lamu has already handled a larger ship than the largest Darislum has ever handled yet we are being told Lamu is a white elephant? 🤣
Lamu has no rival in this region, it's a proper deep sea port meant for handling bigger cargo ships. Bongolalas number washaisoma, nakumbuka wakicheka when the cranes were not installed. Sahii their main ports in Dar is a slum na Zanzibar zinategemea Lamu for transshipment. Na bado hata Lamu port haijaanza kazi vizuri, it has barely scratched the surface, the economic benefit will be massive.
 
Mwenye recent photos za Mathare anisaidie. Nataka nione kama kuna mabadiliko
Screenshot_2025-08-04-20-27-29-721_com.google.android.googlequicksearchbox.png
 
Pole dadaangu kwa taarifa itakayokuumiza, JNIA sahii ina handle 6 million passengers annually, according to 2024 reports 👇🏾View attachment 3431321
Kumbe alikuwa anadanganya? Sasahivi ni vyema kila wanachosema nianze kufuatilia nihakikishe kwanza.
Wanaleta story za jaba ilimradi tu kushinda mabishano. Hahaha very stupid people 😂😂
 
Kumbe alikuwa anadanganya? Sasahivi ni vyema kila wanachosema nianze kufuatilia a kwanza.
Wanaleta story za jaba ilimradi tu kushinda mabishano. Hahaha very stupid people 😂😂
Humu ndani tulikubaliana kwamba katika maneno 100 ya mkunya chukua neno moja tu, na lenyewe pia ulifanyie tafiti. Vibra ni vipumbavu 🤣🤣🤣 vitakulisha uongo.
 
Back
Top Bottom