You wish. 🤣 🤣Same story.
A considerable number of those trucks are from Tanzania taking food to Ethiopia via Kenya.
You wish. 🤣 🤣Same story.
A considerable number of those trucks are from Tanzania taking food to Ethiopia via Kenya.
Wewe ndio uliwafukuza ama? 🤣 🤣CFAO exited the EA market.
Umeanza kuchanganyikiwa.
Mwenye recent photos za Mathare anisaidie. Nataka nione kama kuna mabadilikoView attachment 3431291
Pole dadaangu kwa taarifa itakayokuumiza, JNIA sahii ina handle 6 million passengers annually, according to 2024 reports 👇🏾JNIA handles 2.5M passengers.
JKIA handles 8M passengers.
Just saying.
Kumbe alikuwa anadanganya? Sasahivi ni vyema kila wanachosema nianze kufuatilia nihakikishe kwanza.Pole dadaangu kwa taarifa itakayokuumiza, JNIA sahii ina handle 6 million passengers annually, according to 2024 reports 👇🏾View attachment 3431321
Humu ndani tulikubaliana kwamba katika maneno 100 ya mkunya chukua neno moja tu, na lenyewe pia ulifanyie tafiti. Vibra ni vipumbavu 🤣🤣🤣 vitakulisha uongo.Kumbe alikuwa anadanganya? Sasahivi ni vyema kila wanachosema nianze kufuatilia a kwanza.
Wanaleta story za jaba ilimradi tu kushinda mabishano. Hahaha very stupid people 😂😂
We ni ng'ombe kweli, kwani hapo ndo mwisho wa talanta kujengwa?1. Allianz Arena
2. Talanta water tankView attachment 3431179View attachment 3431180
Hivi unajisikia unachoongea kweli au ndo unaropoka tu?
Nyinyi ni maskini hata ticketi ya 50 bob inawalemea. Hadi waganda wanawashindaGDP yao ni ya mchongo. Ya kupika.
Talanta imekamilika kwa asilimia kubwa. Usijidanganye eti ikikamilika ndio itakuwa much different from ilipofikia... nahWe ni ng'ombe kweli, kwani hapo ndo mwisho wa talanta kujengwa?
Sawa bongolalaTalanta imekamilika kwa asilimia kubwa. Usijidanganye eti ikikamilika ndio itakuwa much different from ilipofikia... nah
Huwezi kupoteza muda kucheck game ya Mauritania vs Madagascar.Nyinyi ni maskini hata ticketi ya 50 bob inawalemea. Hadi waganda wanawashinda View attachment 3431364View attachment 3431366
Unadhihirisha ushamba wako.Enyewe pumbavu ni pumbavu tu hawezi kusaidika. Gari zote hua zinatengenezwa kwa kitu inaitwa an assembly line. Kama hukuwai jua, basi umejua leo. Hizo parts unataja, chassis, engine, body frame, hua zinakusanywa zote from diferent car parts manufactures alafu zinaletwa kwa an assembly line line. Hapo ndio zinaunganishwa inakua gari. Haijalishi kama assembly line inatumia robots ama watu, the process remains the same.
Gari kama Toyota Supra 5, engine inakua designed by BMW lakini manufacturing na assembly inafanywa na Magna Steyr, ambao wamespecialize kutengeneza different car parts na bado wanafanya full assembly on behalf of established car brands kama Toyota.
Kwa hivyo usidhani Toyota hawezi kuagiza parts from other car brands ama third party manufacturer, Toyota ni kampuni kubwa sana na hawawezi tengeneza magari zao zote in house. Kuna zile wanaunda wenyewe, zingine wanapea third party manufacturers kama Magna Steyr na zingine wanasource parts wenyewe alafu wanapea CKD assemblers kama AVA.
I be placed on bewilderment,Why do Bongolalas act as if they own China?
Kwamba ukiwa mpenzi wa mpira ni lazima ukaangalie kila mechi, huo utakuwa ukosefu wa shughuli ya kufanya sasa. 😂😂😂Huwezi kupoteza muda kucheck game ya Mauritania vs Madagascar.
How will you even know there exists something called an observation deck when you live in a glorified fishing village?Sijawahi ona tangu zunia iumbwe