Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 6,201
- 12,563
Hata mimi naona hivyoGDP yao ni ya mchongo. Ya kupika.
Hata mimi naona hivyoGDP yao ni ya mchongo. Ya kupika.
We know it, ndio maana huwa tukipiga BAN KQ mnatoa vilio ton 200.JNIA handles 2.5M passengers.
JKIA handles 8M passengers.
Just saying.
Enyewe pumbavu ni pumbavu tu hawezi kusaidika. Gari zote hua zinatengenezwa kwa kitu inaitwa an assembly line. Kama hukuwai jua, basi umejua leo. Hizo parts unataja, chassis, engine, body frame, hua zinakusanywa zote from diferent car parts manufactures alafu zinaletwa kwa an assembly line line. Hapo ndio zinaunganishwa inakua gari. Haijalishi kama assembly line inatumia robots ama watu, the process remains the same.Kiazi wewe unadhani gari ni kama ndege!?
Nani kakwambia gari zote zinakuwa assembled?
Mathalan Toyota Ina engine zake zenye specs zake tofauti na Hyundai ama Nissan,pia chassis tofauti hata body tofauti.
Unataka Kunambia Toyota ni vifaa gani Wanaagiza pale Japan ili waweze ku assemble gari zao!?
Angalau useme ndege ntakuelewa,japo ndege nayo ni baadhi ya vifaa ndio huagizwa makampuni mengine waundaji ila nchi kama nchi inahusika kuunda engine yenyewe zikiwa na specs zake.
Toyota Japan wanaunda chassis wenyewe,engine wenyewe na body ya gari wenyewe.
Tata na Yutong wako njianiNasikia kulikuwa na majadiliano kuwa Yutong nao wajenge kiwanda cha mabasi, sijui ilifikia wapi? Kama unajua ChoiceVariable au ndo roumers za uongo 2
Ila hio ni hatua nzuri ya uwekezaji sasa hawa nyumbu wasituletee sijui kiwanda cha Matatu, tutawatimua sasahivi 😆😆
Itakuwa vizuri sanaTata na Yutong wako njiani
Namanga pakionekana hata lorry Tano hatuwezi pumua.
View: https://x.com/fuwadii/status/1952298867753406694?t=Km1NWuuviHbAfLBB4t_7Zw&s=19
Lamu has no rival in this region, it's a proper deep sea port meant for handling bigger cargo ships. Bongolalas number washaisoma, nakumbuka wakicheka when the cranes were not installed. Sahii their main ports in Dar is a slum na Zanzibar zinategemea Lamu for transshipment. Na bado hata Lamu port haijaanza kazi vizuri, it has barely scratched the surface, the economic benefit will be massive.So Lamu has already handled a larger ship than the largest Darislum has ever handled yet we are being told Lamu is a white elephant? 🤣
You wish. 🤣 🤣Same story.
A considerable number of those trucks are from Tanzania taking food to Ethiopia via Kenya.
Wewe ndio uliwafukuza ama? 🤣 🤣CFAO exited the EA market.
Umeanza kuchanganyikiwa.
Mwenye recent photos za Mathare anisaidie. Nataka nione kama kuna mabadilikoView attachment 3431291
Pole dadaangu kwa taarifa itakayokuumiza, JNIA sahii ina handle 6 million passengers annually, according to 2024 reports 👇🏾JNIA handles 2.5M passengers.
JKIA handles 8M passengers.
Just saying.
Kumbe alikuwa anadanganya? Sasahivi ni vyema kila wanachosema nianze kufuatilia nihakikishe kwanza.Pole dadaangu kwa taarifa itakayokuumiza, JNIA sahii ina handle 6 million passengers annually, according to 2024 reports 👇🏾View attachment 3431321
Humu ndani tulikubaliana kwamba katika maneno 100 ya mkunya chukua neno moja tu, na lenyewe pia ulifanyie tafiti. Vibra ni vipumbavu 🤣🤣🤣 vitakulisha uongo.Kumbe alikuwa anadanganya? Sasahivi ni vyema kila wanachosema nianze kufuatilia a kwanza.
Wanaleta story za jaba ilimradi tu kushinda mabishano. Hahaha very stupid people 😂😂
We ni ng'ombe kweli, kwani hapo ndo mwisho wa talanta kujengwa?1. Allianz Arena
2. Talanta water tankView attachment 3431179View attachment 3431180
Hivi unajisikia unachoongea kweli au ndo unaropoka tu?
Nyinyi ni maskini hata ticketi ya 50 bob inawalemea. Hadi waganda wanawashindaGDP yao ni ya mchongo. Ya kupika.
Talanta imekamilika kwa asilimia kubwa. Usijidanganye eti ikikamilika ndio itakuwa much different from ilipofikia... nahWe ni ng'ombe kweli, kwani hapo ndo mwisho wa talanta kujengwa?
Sawa bongolalaTalanta imekamilika kwa asilimia kubwa. Usijidanganye eti ikikamilika ndio itakuwa much different from ilipofikia... nah