Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,954
- 27,949
Walipata pictures za before game wakadanganayana ati Kasarani iko empty. We can’t be the same.Leo ndio official opening match, ile ya jana ilikua rehearsals.
![]()
Walipata pictures za before game wakadanganayana ati Kasarani iko empty. We can’t be the same.Leo ndio official opening match, ile ya jana ilikua rehearsals.
![]()
Mbona unarukaruka?😂😂Leo tuko hapa imekuwaje mmeshindwa jaza uwanja wa 48,000🤣🤣🤣🤣🤣
Na tukisema mpo obsessed mnakasirika.. imagine hamna mkenya hapa alishugulika na game ya TanzaniaLeo tuangalia ili tunataka tuone jinsi pitch zenu Zina low quality ,
Fungulia DogLeo ndio official opening match, ile ya jana ilikua rehearsals.
![]()
Wana watch game yetu na machungu, yao hata highlights sikuona.Walipata pictures za before game wakadanganayana ati Kasarani iko empty. We can’t be the same.
Kwani haujajaa?Leo tuko hapa imekuwaje mmeshindwa jaza uwanja wa 48,000🤣🤣🤣🤣🤣
Facts tupu. 🤣 🤣Na tukisema mpo obsessed mnakasirika.. imagine hamna mkenya hapa alishugulika na game ya Tanzania
Na bado kuna wenye wamekuwa blocked outside.Hapa ni wapi kwani?
View attachment 3429664
Wanatanzania wanaskiza ball kwa radio. Ati Kasarani iko empty. Just look how full it is.
View: https://x.com/CarolRadull/status/1951990923803709618
Leo zamu yenu , hasira za nini, Leo mnapigwa tuNa tukisema mpo obsessed mnakasirika.. imagine hamna mkenya hapa alishugulika na game ya Tanzania
Wanazoom kandokando outside the line ndio wapate makosa. I have been to both stadiums recently and I can tell you hamna tofauti kwa pitch.Kwa macho yao. They want to force Kasarani to be bad and empty like Makwapa Jana😂😂
Hahaaa usitukane mamba kabla hujavuka mtoKweli ule msemo weka akiba ya maneno una maana. Hawa mbuzi humu ndio walikuwa wanaponda watu kupanga foleni kwa mkapa mlikuwa hamuwaelewi. Kwao hakuna ustaarabu.
Duh amakweli usitukane mamba kabla ya kuvuka mto! Na hapo tiketi zote sold outImagine kakiwanja ka 45k seats kapo empty kabisa. 👇🏾🤣🤣🤣View attachment 3429644ukija JF uwaskie wanuka mavi akina tiwa gas, wanavyoisifia kunya unaeza sema wanaizungumzia UK. 🤣🤣🤣
Zoom za benjamini uzilete hapa , inshort uwanja ni mbovuuuuiWanazoom kandokando outside the line ndio wapate makosa. I have been to both stadiums recently and I can tell you hamna tofauti kwa pitch.
Ushawahi kuona N-card we zezeta.? 🤣🤣🤣Mbilikimo, ni kama Mimi nikuulize ushaawai onA wapi Huduma Card tangu uzaliwa. Mnaona mlivyo maboya?