The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Mku.nd.u kunuka ss hv utamuona hapaa 🤣🤣🤣🤣
Yaani mpira kama wa veterans wanapunguza shibeYani wanacheza hovyo kinoma, kama amateurs 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbilikimo, ni kama Mimi nikuulize ushaawai onA wapi Huduma Card tangu uzaliwa. Mnaona mlivyo maboya?Ushawahi ona wapi N-card tangu uzaliwe we Jitu zima zezeta .? 🤣🤣🤣
Umesoma maelezo kuhusu N card imeanzishwa kwa dhumuni gani?Hizo ulizoscreenshot zinahusikana aje na N-card kuwa brand name? I thought you were going to prove to me that N-card is not a brand name.😂😂
Hao Congo mkikutana nao wanawalima.Yaani mpira kama wa veterans wanapunguza shibe
Washafungwa tayari hao Congo.Hawa wacongo nao wanakosa magoli ya wazi kabisa wasenge hawa.
Hiyo hainihusu. Mimi nimesema N-card ni brand name. Kama unabisha prove me wrong.Umesoma maelezo kuhusu N card imeanzishwa kwa dhumuni gani?
Yanarudi kaka.Washafungwa tayari hao Congo.
Wamezingua.
Sio Congo hawa.Hao Congo mkikutana nao wanawalima.
Mzee wa kukaza fuvuHao Congo mkikutana nao wanawalima.
Umesoma maelezo?Hiyo hainihusu. Mimi nimesema N-card ni brand name. Kama unabisha prove me wrong.
Kwikwikwikwikwi. Kundudweller banahHiyo hainihusu. Mimi nimesema N-card ni brand name. Kama unabisha prove me wrong.
I've been to both stadiums recently. I can tell you the quality of the pitch is the same.Leo tuangalia ili tunataka tuone jinsi pitch zenu Zina low quality ,
Ni goli Moja tu wamefungwa.Yanarudi kaka.
Pitch low quality aisee Kuna maeneo Kuna vipara nyasi hazijaota vizuri tunaona hapa.I've been to both stadiums recently. I can tell you the quality of the pitch is the same.
🚮🚮🚮Umesoma maelezo?
Unasemaje haikuhusu ilhali Kuna maelezo?
Hata hapo kwenu yapo. Speaking as someone who's been to that pitch.Pitch low quality aisee Kuna maeneo Kuna vipara nyasi hazijaota vizuri tunaona hapa.