The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Sehem nyingine nyasi kipara 🤣🤣🤣🤣🤣Wamebebwa ilitakiwa wawe washapigwa moja var imewabeba, ila aibu kiwanja kina matope kama yote
Sehem nyingine nyasi kipara 🤣🤣🤣🤣🤣Wamebebwa ilitakiwa wawe washapigwa moja var imewabeba, ila aibu kiwanja kina matope kama yote
Inamaana bila bila ingekua hawajabebwa moja mtungi?Wamebebwa ilitakiwa wawe washapigwa moja var imewabeba, ila aibu kiwanja kina matope kama yote
Bora utizame cartoon ya hotel Transylvania bleeeh bleeeh bleeeh.Pitch mbovu, Mpira mbovu , I'd rather watch some animals channel
Wakenya midomo mirefu lkn hamna kitu.Na hata kujaza imeshindikana. 😂😂😂
View attachment 3429591
Mtungi wa maaanaInamaana bila bila ingekua hawajabebwa moja mtungi?
Mpira mbovu, papatu papatu nyingi, wachezaji hata kutuliza Mpira hawawezi, yaani hawana uwezo wa kupiga complete pasi 4 😃😃, no wonder walikimbia kule KaratuBora utizame cartoon ya hotel Transylvania bleeeh bleeeh bleeeh.
😂😂😂😂😂
Tunapigizanaga kelele na mbwa tu humu ndani, mbwa zinatuelezea vitu zenye vinatamani lakini uwezo wa kanchi kao ni duni, they can’t have those things done. 🤣🤣🤣Pitch mbovu. 😂😂😂
View attachment 3429597
Hizo ulizoscreenshot zinahusikana aje na N-card kuwa brand name? I thought you were going to prove to me that N-card is not a brand name.😂😂Embu soma utofauti hapo wewe mbung'o.
Elimu ya Kenya ni majanga.View attachment 3429547View attachment 3429548
Na hapo ruto ndio kanunua zote kawapa kalenjini wenzake 😂
Kwa hivo VAR inadanganya ama unajaribu kusema Nini? Halafu si huwa mnasema mpira wa Kenya hamuangalii?Yaani hata dakika kumi hazijafika tayari wamelimwa goli, washukuru VAR. 😂😂😂
Sijawai ona hii Defender 130 huko bongoslum. 🤣🤣
View: https://www.instagram.com/reel/DMzjz1ioxIy/?igsh=NXdtNjBueG9iOGE2
Wewe mwehu mbona unaandika kitu tofauti na nilichoandika! Punguza miraa.Kwa hivo VAR inadanganya ama unajaribu kusema Nini? Halafu si huwa mnasema mpira wa Kenya hamuangalii?
CAF ni mpira wa Kenya?Kwa hivo VAR inadanganya ama unajaribu kusema Nini? Halafu si huwa mnasema mpira wa Kenya hamuangalii?
Ushawahi ona wapi N-card tangu uzaliwe we Jitu zima zezeta .? 🤣🤣🤣Hizo ulizoscreenshot zinahusikana aje na N-card kuwa brand name? I thought you were going to prove to me that N-card is not a brand name.😂😂
Leo tuangalia ili tunataka tuone jinsi pitch zenu Zina low quality ,Kwa hivo VAR inadanganya ama unajaribu kusema Nini? Halafu si huwa mnasema mpira wa Kenya hamuangalii?