Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa uhalisia tunauona , pitch nyasi zinachomoka mtu akipiga shoot .
Leta ya dar ambayo nyasi zilikuwa zinachomoka🤣🤣🤣🤣.

Yaaan hii pitch yenu hata Ile ya karatu ni bora
Sababu mnaangalia kutoa makosa na kufanya ubishi wa kijinga Wala sio kuenjoy game. Pia sisi tungeangalia game zenu na hiyo attitude tungeona hizo nyasi ziking'oka.
 
Leo ndio official opening match, ile ya jana ilikua rehearsals.

Image
 
Back
Top Bottom