Na hata kujaza imeshindikana. 😂😂😂But this pitch is so poor, renovation Gani ilifanyika hapa
Yani wanacheza hovyo kinoma, kama amateurs 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani hata dakika kumi hazijafika tayari wamelimwa goli, washukuru VAR. 😂😂😂
Guys hebu angalieni ndani ya vyumba vya uwanja wa Kasarani ni vituko
View: https://youtu.be/JVJArStyBVk?si=C8EzTJqt9eKg1Qwv
Ngapi ngapi hukoooo!?Duuh ni uwanja mbona maajabu🤣🤣🤣🤣
45k capacity hawawezi kujaza pamoja na serikali kununua tickets zote na kugawa bure 😃😃😃Na hata kujaza imeshindikana. 😂😂😂
View attachment 3429591
Pitch mbovu. 😂😂😂Yani wanacheza hovyo kinoma, kama amateurs 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sijawai ona hii Defender 130 huko bongoslum. 🤣🤣
View: https://www.instagram.com/reel/DMzjz1ioxIy/?igsh=NXdtNjBueG9iOGE2
Hii ndio hasara ya kukaa Kibera mpaka unazeeka. Ushamba lazima uwe mkubwa kizidi kipimo cha kimataifa
View: https://audiomack.com/tan255nzania/song/nairobae-toka-kibera
Wamebebwa ilitakiwa wawe washapigwa moja var imewabeba, ila aibu kiwanja kina matope kama yoteNgapi ngapi hukoooo!?
Yule mnuka mkundu tiwa gas si alidai tickets ni sold out.? 🤣🤣🤣 imagine wanashidwa kujaza ka uwanja ka 48k seaters.?Na hata kujaza imeshindikana. 😂😂😂
View attachment 3429591
Wakenya wanaishi kwenye ulimwengu wa ndoto."Ooohh tutajaza uwanja", kiko wapi
Pitch mbovu, Mpira mbovu , I'd rather watch some animals channelPitch mbovu. 😂😂😂
View attachment 3429597