President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,013
- 93,379
Hii ki Protocol inaonesha kabisa Tanzania ni kubwa. Picha hii hapa
Dunia ya sahii online bado watu wanatumia swiping cards!!!!!Let’s link up. View attachment 3428421Cc Teargass. Vipi huko ushawahi kukaanyaga hapo kasarani walau for free entrance.? Asking for a friend…
Tofauti Iko wapi hapa ukiondoa roof yakeWale waliofunika Running tracks jifunzeni sasa toka Tanzania. Hutakiwi kufunika unatakiwa kuboresha
View attachment 3428326
View attachment 3428328
View attachment 3428329
Uchafu huu umeutoa wapi?Tofauti Iko wapi hapa ukiondoa roof yake
1km 😂View attachment 3428688
Teargass mzee wa only rejects wanaend NBC PL unaonaje mtu mliyekua mnamtegemea CHAN kukimbia huku 😂😂😂
View: https://www.instagram.com/p/DM2qywctMqw/?igsh=MWFhMGZwOTZ2OTNlMQ==
Poverty is visible!!!!Yameshatokea! Tulivyo SEMA hapa kwamba Tanzania watatutia aibu na hii uLDC wait na slums kila kona. Sasa hii aibu Gani!!!!!!!
View attachment 3428664View attachment 3428665
Unapajua hapo ni wapi!?Yameshatokea! Tulivyo SEMA hapa kwamba Tanzania watatutia aibu na hii uLDC wait na slums kila kona. Sasa hii aibu Gani!!!!!!!
View attachment 3428664View attachment 3428665
Yameshatokea! Tulivyo SEMA hapa kwamba Tanzania watatutia aibu na hii uLDC wait na slums kila kona. Sasa hii aibu Gani!!!!!!!
View attachment 3428664View attachment 3428665
We mbugila hakuna makazi ya watu hapo.Poverty is visible!!!!
Kuna ofisi ya mkuu wa wilaya mbele ya getiWe mbugila hakuna makazi ya watu hapo.
Kushoto container depot,kulia chuo cha DUCE mbele Kuna bar and small lounges.
Tanzania kweli ni Aibu!!!!!Unapajua hapo ni wapi!?
Hapo Kuna container depot huo upande opposite Kuna chuo Cha DUCE.
Hakuna slums hapo.
Huo upande barabara imeharibiwa kwasababu ya malori.
Ngojea nikuletee picha zake uone.
Kwahiyo ulitaka waingie na magari uwanjanTanzania kweli ni Aibu!!!!!
View attachment 3428723
Kama amahoro, viwanja vingi vipya vya ki Africa vipo hivyo, sijui kwnn, that's why tulikuja na design mpya ya Arusha ili tuwe na ladha tofauti na waafrika wengine.Hiyo Talanta tatizo ina design mbaya. Stadium hata haivutii
Hizo gari sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣If not for the Tanzanian beggar, one would mistake the pic as somewhere in New York
View attachment 3428074
See how the stadium is empty. Leo hamjakubaliwa kuingia bure?Live View attachment 3428720wanusa gundi wao wapo humu kupiga domo tu. 🤣🤣🤣
Yani gorofa za Floors mbili ndio unatupigia nazo kelele hapa?😂😂😂TANZANIA PROJECTS OUTSIDE DAR ES SALAAM
2H Plaza, Morogoro
View attachment 3428727View attachment 3428728View attachment 3428729View attachment 3428730View attachment 3428731View attachment 3428732View attachment 3428733View attachment 3428734
Hehehe! Leo ndio nimejua Watanzania na umasikini kitu Moja🤣🤣See how the stadium is empty. Leo hamjakubaliwa kuingia bure?