Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,659
- 107,089
kwavile ni wao wametafuta investor! Huwezi kulazimisha!Kwanini sisi Tanzania tusijenge refineries arafu tukawauzia wazambia na wakenya?
kwavile ni wao wametafuta investor! Huwezi kulazimisha!Kwanini sisi Tanzania tusijenge refineries arafu tukawauzia wazambia na wakenya?
sasa serikali hapo Kundustan inafanya nini KQ?Serikali ya marekani haimiliki ndege yeyote ya abiria ila kwenye air travel hamfiki hata 1% ya marekani
Zambia Watapata Mafuta directly kutoka Angola na baadae Namibia Kwa njia ya mabomba.Kwanini sisi Tanzania tusijenge refineries arafu tukawauzia wazambia na wakenya?
Gharama ya dry lease ya b787-8 kama waliyonayo Kq almost 14mil usd kwa mwaka, imagine wangekuwa wamenunua zao hasa baada ya kuwapo sokoni kwa muda mrefu wangepata faida ya kuzinunuq kwa wingi kwa hata nusu ya bei kama wanavyonunua Qatar au Ethiopian airways, ila mpaka leo hawana hata ndege moja ambayo haidawi , almost 40 years of operationsasa serikali apo Kudustani inafanya nini KQ?
Kwani investorkwavile ni wao wametafuta investor! Huwezi kulazimisha!
Kwani sisi hatuwezipata investor hao. Sisi tuna mafuta. DRC kuna mafuta. South Sudan kuna mafuta. Kwanini tusiongee nao. Tukajenga refinery on percentage wao tunauziana fluid oil tunasafisha tunauzia lakini tunawawekea parceges za kwenda Asia na ulaya kupitia indian ocean.Zambia Watapata Mafuta directly kutoka Angola na baadae Namibia Kwa njia ya mabomba.
Sisi tutatoa wapi? Uganda wakijenga refinery tutanunua ya kwao Kwa bei nafuu kuliko ya kutoka huko Arabuni.
Cluid oilKwani investor
Kwani sisi hatuwezipata investor hao. Sisi tuna mafuta. DRC kuna mafuta. South Sudan kuna mafuta. Kwanini tusiongee nao. Tukajenga refinery on percentage wao tunauziana fluid oil tunasafisha tunauzia lakini tunawawekea parceges za kwenda Asia na ulaya kupitia indian ocean.
Na kwanini tufikirie kujenga refinery ya mafuta badala ya kufikiria kujenga mabomba ya kusambazwa gesi ambayo itaweza tumika kwenye magari na tayari tuna gesi yetu ? Uchumi wa mafuta unaelekea ukingoni hasa kutokana na bei ya mafuta inavyozidi kupanda.Kwani investor
Kwani sisi hatuwezipata investor hao. Sisi tuna mafuta. DRC kuna mafuta. South Sudan kuna mafuta. Kwanini tusiongee nao. Tukajenga refinery on percentage wao tunauziana fluid oil tunasafisha tunauzia lakini tunawawekea parceges za kwenda Asia na ulaya kupitia indian ocean.
TIPER ilikuwaga inafanya kazi hizo lakini ilikufa kutogana na changamoto za IMF. Tumewahi kuwa nayo. Hatuwezi kufanya kila kitu kwa wakati mmoja. Waache na wengine wafanya. Isitoshe lipo bomba la TAZAMA.Kwani investor
Kwani sisi hatuwezipata investor hao. Sisi tuna mafuta. DRC kuna mafuta. South Sudan kuna mafuta. Kwanini tusiongee nao. Tukajenga refinery on percentage wao tunauziana fluid oil tunasafisha tunauzia lakini tunawawekea parceges za kwenda Asia na ulaya kupitia indian ocean.
Mafuta hayawezikosa soko kaka. Kinachofanyika ni kupunguza matumizi. Matumizi makubwa ya mafuta ni kwenye viwanda. Migodi. Barabara za lami. Chemical. Ili uwezewin kwenye mafuta ni lazima ufanye deal na cartel. Na sisi Tunayo kampuni ya Total ambayo tunawezadeal nao. Gas bado ni issue za kufikirika.Na kwanini tufikirie kujenga refinery ya mafuta badala ya kufikiria kujenga mabomba ya kusambazwa gesi ambayo itaweza tumika kwenye magari na tayari tuna gesi yetu ? Uchumi wa mafuta unaelekea ukingoni hasa kutokana na bei ya mafuta inavyozidi kupanda.
Huko mbelen mahitaji ya magari ya umeme na gesi yanaaenda kuongezeka sana inabidi kufikiria miaka 20 mbele kuanzia sasa..
muulize mama Kizimkazi! Ila huwezi lazimisha refinery yao iwe Bongo! Kingine usalama pia crude oil pipeline huwa haihujumiwi kama refined oil pipeline! Na TAZAMA tangu enzi hizo ni crude oil pipeline!Kwani investor
Kwani sisi hatuwezipata investor hao. Sisi tuna mafuta. DRC kuna mafuta. South Sudan kuna mafuta. Kwanini tusiongee nao. Tukajenga refinery on percentage wao tunauziana fluid oil tunasafisha tunauzia lakini tunawawekea parceges za kwenda Asia na ulaya kupitia indian ocean.
Wakenya wanasemaje kwenye upande wa msosi?
View: https://x.com/mfa_tanzania/status/1949806631044145485
Nataman siku moja atokee kichaa mmoja afunge tu mpaka kwa mwaka mmoja tuone nan babaUkunduni ni soko letu la asili tutawalisha hadi mwisho wa Dunia
Mafuta Yako wapi? Hayo mengine sio kipaombele maana tumeanza na mambo ya gesi tayari.Kwani investor
Kwani sisi hatuwezipata investor hao. Sisi tuna mafuta. DRC kuna mafuta. South Sudan kuna mafuta. Kwanini tusiongee nao. Tukajenga refinery on percentage wao tunauziana fluid oil tunasafisha tunauzia lakini tunawawekea parceges za kwenda Asia na ulaya kupitia indian ocean.
Issue huwa ni FUNDING.Kwanini sisi Tanzania tusijenge refineries arafu tukawauzia wazambia na wakenya?
Kwani ule wa LNG umefika wapi? Ule wa mtwara.Issue huwa ni FINDING.
Ukiwa na pesa unaweza kufanya chochote.
Kwasasa bado nadhani mradi unaotusumbua akili ni Bagamoyo SEZ and Port.