Msameheni kaka hata hajui matumizi ya hiko kifaa.Tanzania haifanyi kazi kwa sifa za kijinga kama Kenya. India yenye watu 1.5b ipo na MRI less than 200. Unadhani MRI wanagawiwa watu kama bag ya unga?
Unataka kila mtanzania awe na MRI yake nyumbani. Kwikwikwikwi As usual kenyans are stupid
Hiyo MRI ni ya kutizama viungo vya ndani kwa kiwango kikubwa zaidi.
Upigaji picha wa viungo vya ndani wa MRI ni wa ufanisi kuliko CT scan na X-ray.
Ila kwanza inaangalikana tatizo liko wapi na je linaweza kuangalika kwa x-ray au CT au MRI?
Kama ni la ndani zaidi basi MRI itahusika ndio ijulikane upasuaji pia utafanyikaje.
Na hivi vipimo havifanyiki mara kwa mara ndio maana unakuta eidha zinawekwa kwenye hospitali za kanda kama TZ .
Ili ziweze kuhudumia kanda nzima.