Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,852
- 103,715
View: https://youtu.be/yQBkrwlPAcM?si=XHwZBUlSU_kjZ4uG
Kwa sasa BRT ni Cashless halafu tunaenda kwenye clean energy plus ubaridi ndani ya mabasi 🔥
Hata kama wakimaliza ujenzi wa sgr mpaka malaba bado kwa kutumia reli ya sgr tunaweza safirisha kwa gharama ya chini sana mpaka mwanza na ukafika Uganda kwa bei ya chini ya Ile ya sgr Kenya kutokana -Wakiwahisha mambo mzigo wa SGR Uganda unaweza kupita either Tanga au DSM port badala ya Mombasa.
Hadi sasa logistical analysis inasoma 50/50 kati ya Bongo na kunyaland kwenye kupitishwa mizigo hiyo. Ni wakati muafaka Sasa kwa GoT na TRC kufanya namna ya kumshawishi Uganda Railway. Najua sio kazi sana maana TRC ndio wame revamp hiyo reli ya UG Hadi Port Belly. Hivyo wanaweza kushirikiana kubeba mzigo huo kwa loco na wagon zao kwa pamoja. Tuwape njia yetu waitumie tu freely.
Duuuh sasa kama huku pako hivi siku zile affordable housing zitakapoisha itakuwajenairobae stop dreaming about that render for ur river! Here is ur reality!!
Yaah! Iliwahi Nikita mwezi wa 5 watu wanasafiri Sana aise afu watu wanakata tiket Juu tuu siku hizi hawataki kubabaishwa.Demand ya seats ni kubwa mkuu. Tanzanians ndio taifa amabalo watu wake wengi wanasafiri sana. Hata mabasi siku hizi lazima ukate ticket a day before au mapema asubuhi kama unasafiri usiku bila hivyo hupati seat.
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote. Ile jambo moja makini ni kuhusu handling. Lift on na lift off ... Kama zitatumika reli za standard tofauti au kama zitatumika reli then Bus au reli ya aina nyingine. Hapo kunakuwa na additional cost na pia risks ya ku secure mzigo kwa kufanya proper lashings.Hata kama wakimaliza ujenzi wa sgr mpaka malaba bado kwa kutumia reli ya sgr tunaweza safirisha kwa gharama ya chini sana mpaka mwanza na ukafika Uganda kwa bei ya chini ya Ile ya sgr Kenya kutokana -
1) gharama ya ununuzi wa mafuta na umeme , gharama ya diesel Inaweza kuwa 3 ya gharama ya umeme. Kuna bei tukiweka wakenya hawataweza kuweka kamwe au kushuka .
2 sgr kukosa wider market au mzigo wa kurudi bandarini hivyo kutegemea mzigo wa bandari tu, sisi pale isaka kutakuwa na mzigo wa nickel kutokea kabanga iliyopo kagera , pia kuna mizigo ya cobalt na kadhalika kutoka Kongo na Burundi.
Kama tukiweka bei ya usd 700 kwa container la 20ft mpaka mwanza plus 450usd ya kuvusha kwa maji mpaka portbell , yaan dar Uganda isizid 1300 lazima wateme mbung'ooo
Kuna wagons ambazo huwa zinaweza kutumiwa kwenye reli tofauti tunaweza zitumia hizoNakubaliana na wewe kwa asilimia zote. Ile jambo moja makini ni kuhusu handling. Lift on na lift off ... Kama zitatumika reli za standard tofauti au kama zitatumika reli then Bus au reli ya aina nyingine. Hapo kunakuwa na additional cost na pia risks ya ku secure mzigo kwa kufanya proper lashings.
Kwa MGR yetu unaona kabisa hakuna double handling walaaa mambo ya lashings and unleashings.. kikubwa tu hapo ni assurance ya locomotive za kutosha na wagon za kutosha bhaas.
Sikuwahi kukutukana ila ngoja nikuite MSENGE kwa mara ya kwanza.Spoken like a true quack, bongoslum just like many African countries has a very high shortage of radiology machines (MRI & CT Scans). Lack of infrastructure, radiologists and high cost of imaging isikufanye ufikirie kama pumbavu, eti people don't need radiology services. MRI for example are very crucial in diagnosing crucial body organs. Now I understand mbona public hospitals zenu nyingi haziwezi kuperform surgeries on critical internal body organs. It's because they lack proper infrastructure, ndio kwa maana unadhani 14 MRI Machines are enough for a country with almost 70 million people.
Tanzania hospitali zinafanya kazi kwa mpangilio.Spoken like a true quack, bongoslum just like many African countries has a very high shortage of radiology machines (MRI & CT Scans). Lack of infrastructure, radiologists and high cost of imaging isikufanye ufikirie kama pumbavu, eti people don't need radiology services. MRI for example are very crucial in diagnosing crucial body organs. Now I understand mbona public hospitals zenu nyingi haziwezi kuperform surgeries on critical internal body organs. It's because they lack proper infrastructure, ndio kwa maana unadhani 14 MRI Machines are enough for a country with almost 70 million people.
Mpuuzi huyo hajui hata hizo Magnetic resonance imaging kazi yake nini,anadhani hivyo ni kama vipimo vya rapid test kuwa vinatumika often.punguza kelele leta hizo 19 MRI zilizobaki!
VSVituko hivi mnaendelea navyo?
View attachment 3411031
Unatuambia kitu kila mtu anajua, the same system applies to Kenya too. Ama unadhani hatujui maana ya referral hospital, Kenya ina over 50 referral hospitals kwa hivyo hakuna kitu mpya unatuambia. Unatuambia MRI sio machine za kukaa hospitali zote, sasa ebu imagine mtu amepata ajali ya barabarani and they are in urgent need for an MRI, bado ataanza kuzungushwa eti sijui aendee kilomita mia tatu kutafuta tu MRI scan. Tumia akili Mr. Quack Clinical Officer, wacha kuletea nchi yako aibu.Tanzania hospitali zinafanya kazi kwa mpangilio.
Kama jambo limezidi utapewa referral uende hospitali ya wilaya,likizidi unapewa kwenda hospitali ya mkoa ama hospitali ya kanda.
Kila hospitali kulingana na hatua yake imewekwa vifaa vyake na aina ya matibabu yanayopatikana.
Ila Tanzania imehakikisha hospitali za kikanda zina mashine zote muhimu kwaajili ya vipimo na matibabu.
Uwe unaelewa sio unakurupuka na kuropoka mpuuzi wewe.
Hata hujui Tanzania hospitali zake zinafanya kazi kwa namna gani.
Mathalan Dar ukienda Temeke ukitizamwa ikihitajika vipimo zaidi utapewa referral uende MUHIMBILI Kesha urudi na majibu.
Ukiwa Kilimanjaro utaambiwa KCMC.
Ukiwa Mwanza utaambiwa Bugando.
Hizo mashine sio za kukaa Kila hospitali,nahisi hata matumizi yake huyajui unaropoka tu hapa.
Wewe ndio msenge, how can you justify that 14 MRI Machines are enough for a population of close to 70 million people. We live in a modern world today where the use of MRI is gaining more traction and is very critical for proper diagnosis. Hata kama unatetea nchi yako, usiwe mjinga bana.Sikuwahi kukutukana ila ngoja nikuite MSENGE kwa mara ya kwanza.
Nimesema saa ngapi kuwa hospitali zetu haihitaji MRI??
Usinilishe maneno mpumbavu wewe.
Nimesema Tanzania imenunua hizo mashine kwa kulingana na mahitaji.
Unajua Tanzania Ina hospitali za kanda ngapi?
Je kanda inahudumia hospitali ngapi?
Unajua mfumo wa huduma za afya za Tanzania?
Au unaropoka tu!?
Au ulitaka Kila hospitali iwekwe MRI!?
Muda mwingine ficha UPUMBAVU na USENGE wako.
Tanzania haifanyi kazi kwa sifa za kijinga kama Kenya. India yenye watu 1.5b ipo na MRI less than 200. Unadhani MRI wanagawiwa watu kama bag ya unga?Wewe ndio msenge, how can you justify that 14 MRI Machines are enough for a population of close to 70 million people. We live in a modern world today where the use of MRI is gaining more traction and is very critical for proper diagnosis. Hata kama unatetea nchi yako, usiwe mjinga bana.
Inaonekana hata nayozungumza huyaelewi.Unatuambia kitu kila mtu anajua, the same system applies to Kenya too. Ama unadhani hatujui maana ya referral hospital, Kenya ina over 50 referral hospitals kwa hivyo hakuna kitu mpya unatuambia. Unatuambia MRI sio machine za kukaa hospitali zote, sasa ebu imagine mtu amepata ajali ya barabarani and they are in urgent need for an MRI, bado ataanza kuzungushwa eti sijui aendee kilomita mia tatu kutafuta tu MRI scan. Tumia akili Mr. Quack Clinical Officer, wacha kuletea nchi yako aibu.
😂😂😂😂😂😂Itoshe kusema wewe ni zwazwa.Wewe ndio msenge, how can you justify that 14 MRI Machines are enough for a population of close to 70 million people. We live in a modern world today where the use of MRI is gaining more traction and is very critical for proper diagnosis. Hata kama unatetea nchi yako, usiwe mjinga bana.