Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakiwahisha mambo mzigo wa SGR Uganda unaweza kupita either Tanga au DSM port badala ya Mombasa.

Hadi sasa logistical analysis inasoma 50/50 kati ya Bongo na kunyaland kwenye kupitishwa mizigo hiyo. Ni wakati muafaka Sasa kwa GoT na TRC kufanya namna ya kumshawishi Uganda Railway. Najua sio kazi sana maana TRC ndio wame revamp hiyo reli ya UG Hadi Port Belly. Hivyo wanaweza kushirikiana kubeba mzigo huo kwa loco na wagon zao kwa pamoja. Tuwape njia yetu waitumie tu freely.
Hata kama wakimaliza ujenzi wa sgr mpaka malaba bado kwa kutumia reli ya sgr tunaweza safirisha kwa gharama ya chini sana mpaka mwanza na ukafika Uganda kwa bei ya chini ya Ile ya sgr Kenya kutokana -
1) gharama ya ununuzi wa mafuta na umeme , gharama ya diesel Inaweza kuwa 3 ya gharama ya umeme. Kuna bei tukiweka wakenya hawataweza kuweka kamwe au kushuka .

2 sgr kukosa wider market au mzigo wa kurudi bandarini hivyo kutegemea mzigo wa bandari tu, sisi pale isaka kutakuwa na mzigo wa nickel kutokea kabanga iliyopo kagera , pia kuna mizigo ya cobalt na kadhalika kutoka Kongo na Burundi.

Kama tukiweka bei ya usd 700 kwa container la 20ft mpaka mwanza plus 450usd ya kuvusha kwa maji mpaka portbell , yaan dar Uganda isizid 1300 lazima wateme mbung'ooo
 
Demand ya seats ni kubwa mkuu. Tanzanians ndio taifa amabalo watu wake wengi wanasafiri sana. Hata mabasi siku hizi lazima ukate ticket a day before au mapema asubuhi kama unasafiri usiku bila hivyo hupati seat.
Yaah! Iliwahi Nikita mwezi wa 5 watu wanasafiri Sana aise afu watu wanakata tiket Juu tuu siku hizi hawataki kubabaishwa.
 
Hata kama wakimaliza ujenzi wa sgr mpaka malaba bado kwa kutumia reli ya sgr tunaweza safirisha kwa gharama ya chini sana mpaka mwanza na ukafika Uganda kwa bei ya chini ya Ile ya sgr Kenya kutokana -
1) gharama ya ununuzi wa mafuta na umeme , gharama ya diesel Inaweza kuwa 3 ya gharama ya umeme. Kuna bei tukiweka wakenya hawataweza kuweka kamwe au kushuka .

2 sgr kukosa wider market au mzigo wa kurudi bandarini hivyo kutegemea mzigo wa bandari tu, sisi pale isaka kutakuwa na mzigo wa nickel kutokea kabanga iliyopo kagera , pia kuna mizigo ya cobalt na kadhalika kutoka Kongo na Burundi.

Kama tukiweka bei ya usd 700 kwa container la 20ft mpaka mwanza plus 450usd ya kuvusha kwa maji mpaka portbell , yaan dar Uganda isizid 1300 lazima wateme mbung'ooo
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote. Ile jambo moja makini ni kuhusu handling. Lift on na lift off ... Kama zitatumika reli za standard tofauti au kama zitatumika reli then Bus au reli ya aina nyingine. Hapo kunakuwa na additional cost na pia risks ya ku secure mzigo kwa kufanya proper lashings.
Kwa MGR yetu unaona kabisa hakuna double handling walaaa mambo ya lashings and unleashings.. kikubwa tu hapo ni assurance ya locomotive za kutosha na wagon za kutosha bhaas.
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote. Ile jambo moja makini ni kuhusu handling. Lift on na lift off ... Kama zitatumika reli za standard tofauti au kama zitatumika reli then Bus au reli ya aina nyingine. Hapo kunakuwa na additional cost na pia risks ya ku secure mzigo kwa kufanya proper lashings.
Kwa MGR yetu unaona kabisa hakuna double handling walaaa mambo ya lashings and unleashings.. kikubwa tu hapo ni assurance ya locomotive za kutosha na wagon za kutosha bhaas.
Kuna wagons ambazo huwa zinaweza kutumiwa kwenye reli tofauti tunaweza zitumia hizo

Multigauge train wagons are specially designed railway wagons that can operate on tracks with different rail gauges. This makes them extremely useful for transporting goods or passengers across regions or countries with varying railway standards (e.g., standard gauge, meter gauge, broad gauge).

How Multigauge Wagons Work

There are several approaches to making wagons multigauge-compatible:

1. Variable Gauge Axles (VGA)

  • Axles that can adjust the distance between wheels (wheelsets) while passing through a gauge-changing station.
  • Common in Europe (e.g., Spain/France border – Iberian to Standard gauge).
  • Systems: Talgo-RD, CAF BRAVA, SUW 2000, etc.

2. Bogie Exchange

  • The entire bogie (wheel assembly) is removed and replaced with one of a different gauge.
  • Used where VGA systems are not available.
  • Time-consuming, requires a transfer station.

3. Dual-Gauge Track Compatibility

  • Wagons are designed to run on dual- or triple-gauge tracks, where multiple rail sizes are laid in parallel.
  • Used in regions like India, Australia, or South America.

4. Adjustable Gauge Wheelsets (Automatic Systems)

  • Some high-tech systems allow wheels to unlock, shift, and relock automatically at gauge changers.
  • Requires specialized gauge-changer infrastructure.
( Hii ingetufaa hata kuunganisha bandari ya Tanga kwa kutumia mabehewa hayo kuja kwenye reli ya sgr muhimu kumantain kiwango Cha mzigo tu)

Where Are They Used?

  • Europe (Spain, France, Russia): Between Standard (1,435 mm) and Broad (1,520 mm or 1,668 mm).
  • India/Nepal/Bangladesh: Broad gauge and meter gauge.
  • South America: Brazil, Argentina, Bolivia (multiple gauges co-exist).

Advantages

  • Avoids the need to transfer cargo or passengers between trains.
  • Saves time at borders or gauge breakpoints.
  • Increases logistical efficiency.

Challenges

  • Expensive to manufacture and maintain.
  • Requires specialized infrastructure.
  • Heavier wagons due to additional mechanical parts.
  • Not widely standardized yet.

A multigauge freight wagon could help link:
  • Tanzania’s SGR (Standard Gauge - 1,435 mm) with
  • Older TAZARA (Cape Gauge - 1,067 mm) or
This would allow seamless cargo movement from Dar es Salaam port to inland countries like Zambia, Uganda via mwanza or the DRC without full offloading
 
Spoken like a true quack, bongoslum just like many African countries has a very high shortage of radiology machines (MRI & CT Scans). Lack of infrastructure, radiologists and high cost of imaging isikufanye ufikirie kama pumbavu, eti people don't need radiology services. MRI for example are very crucial in diagnosing crucial body organs. Now I understand mbona public hospitals zenu nyingi haziwezi kuperform surgeries on critical internal body organs. It's because they lack proper infrastructure, ndio kwa maana unadhani 14 MRI Machines are enough for a country with almost 70 million people.
Sikuwahi kukutukana ila ngoja nikuite MSENGE kwa mara ya kwanza.
Nimesema saa ngapi kuwa hospitali zetu haihitaji MRI??
Usinilishe maneno mpumbavu wewe.
Nimesema Tanzania imenunua hizo mashine kwa kulingana na mahitaji.
Unajua Tanzania Ina hospitali za kanda ngapi?
Je kanda inahudumia hospitali ngapi?
Unajua mfumo wa huduma za afya za Tanzania?
Au unaropoka tu!?
Au ulitaka Kila hospitali iwekwe MRI!?
Muda mwingine ficha UPUMBAVU na USENGE wako.
 
Spoken like a true quack, bongoslum just like many African countries has a very high shortage of radiology machines (MRI & CT Scans). Lack of infrastructure, radiologists and high cost of imaging isikufanye ufikirie kama pumbavu, eti people don't need radiology services. MRI for example are very crucial in diagnosing crucial body organs. Now I understand mbona public hospitals zenu nyingi haziwezi kuperform surgeries on critical internal body organs. It's because they lack proper infrastructure, ndio kwa maana unadhani 14 MRI Machines are enough for a country with almost 70 million people.
Tanzania hospitali zinafanya kazi kwa mpangilio.
Kama jambo limezidi utapewa referral uende hospitali ya wilaya,likizidi unapewa kwenda hospitali ya mkoa ama hospitali ya kanda.
Kila hospitali kulingana na hatua yake imewekwa vifaa vyake na aina ya matibabu yanayopatikana.
Ila Tanzania imehakikisha hospitali za kikanda zina mashine zote muhimu kwaajili ya vipimo na matibabu.
Uwe unaelewa sio unakurupuka na kuropoka mpuuzi wewe.
Hata hujui Tanzania hospitali zake zinafanya kazi kwa namna gani.
Mathalan Dar ukienda Temeke ukitizamwa ikihitajika vipimo zaidi utapewa referral uende MUHIMBILI Kesha urudi na majibu.
Ukiwa Kilimanjaro utaambiwa KCMC.
Ukiwa Mwanza utaambiwa Bugando.
Hizo mashine sio za kukaa Kila hospitali,nahisi hata matumizi yake huyajui unaropoka tu hapa.
 
punguza kelele leta hizo 19 MRI zilizobaki!
Mpuuzi huyo hajui hata hizo Magnetic resonance imaging kazi yake nini,anadhani hivyo ni kama vipimo vya rapid test kuwa vinatumika often.
Kuna stage inayotakiwa kutumia hizo mashine na wala hazitumiki mara kwa mara kama anavyodhani.
Hizo X-ray tu hazitumiki mara kwa mara sembuse MRI!?
Anataka urundike MRI kibao😂😂😂😂😂.
 
Tanzania hospitali zinafanya kazi kwa mpangilio.
Kama jambo limezidi utapewa referral uende hospitali ya wilaya,likizidi unapewa kwenda hospitali ya mkoa ama hospitali ya kanda.
Kila hospitali kulingana na hatua yake imewekwa vifaa vyake na aina ya matibabu yanayopatikana.
Ila Tanzania imehakikisha hospitali za kikanda zina mashine zote muhimu kwaajili ya vipimo na matibabu.
Uwe unaelewa sio unakurupuka na kuropoka mpuuzi wewe.
Hata hujui Tanzania hospitali zake zinafanya kazi kwa namna gani.
Mathalan Dar ukienda Temeke ukitizamwa ikihitajika vipimo zaidi utapewa referral uende MUHIMBILI Kesha urudi na majibu.
Ukiwa Kilimanjaro utaambiwa KCMC.
Ukiwa Mwanza utaambiwa Bugando.
Hizo mashine sio za kukaa Kila hospitali,nahisi hata matumizi yake huyajui unaropoka tu hapa.
Unatuambia kitu kila mtu anajua, the same system applies to Kenya too. Ama unadhani hatujui maana ya referral hospital, Kenya ina over 50 referral hospitals kwa hivyo hakuna kitu mpya unatuambia. Unatuambia MRI sio machine za kukaa hospitali zote, sasa ebu imagine mtu amepata ajali ya barabarani and they are in urgent need for an MRI, bado ataanza kuzungushwa eti sijui aendee kilomita mia tatu kutafuta tu MRI scan. Tumia akili Mr. Quack Clinical Officer, wacha kuletea nchi yako aibu.
 
Sikuwahi kukutukana ila ngoja nikuite MSENGE kwa mara ya kwanza.
Nimesema saa ngapi kuwa hospitali zetu haihitaji MRI??
Usinilishe maneno mpumbavu wewe.
Nimesema Tanzania imenunua hizo mashine kwa kulingana na mahitaji.
Unajua Tanzania Ina hospitali za kanda ngapi?
Je kanda inahudumia hospitali ngapi?
Unajua mfumo wa huduma za afya za Tanzania?
Au unaropoka tu!?
Au ulitaka Kila hospitali iwekwe MRI!?
Muda mwingine ficha UPUMBAVU na USENGE wako.
Wewe ndio msenge, how can you justify that 14 MRI Machines are enough for a population of close to 70 million people. We live in a modern world today where the use of MRI is gaining more traction and is very critical for proper diagnosis. Hata kama unatetea nchi yako, usiwe mjinga bana.
 
Wewe ndio msenge, how can you justify that 14 MRI Machines are enough for a population of close to 70 million people. We live in a modern world today where the use of MRI is gaining more traction and is very critical for proper diagnosis. Hata kama unatetea nchi yako, usiwe mjinga bana.
Tanzania haifanyi kazi kwa sifa za kijinga kama Kenya. India yenye watu 1.5b ipo na MRI less than 200. Unadhani MRI wanagawiwa watu kama bag ya unga?

Unataka kila mtanzania awe na MRI yake nyumbani. Kwikwikwikwi As usual kenyans are stupid
 
Unatuambia kitu kila mtu anajua, the same system applies to Kenya too. Ama unadhani hatujui maana ya referral hospital, Kenya ina over 50 referral hospitals kwa hivyo hakuna kitu mpya unatuambia. Unatuambia MRI sio machine za kukaa hospitali zote, sasa ebu imagine mtu amepata ajali ya barabarani and they are in urgent need for an MRI, bado ataanza kuzungushwa eti sijui aendee kilomita mia tatu kutafuta tu MRI scan. Tumia akili Mr. Quack Clinical Officer, wacha kuletea nchi yako aibu.
Inaonekana hata nayozungumza huyaelewi.
Kuna hospitali za rufaa na Kuna kuandikiwa rufaa.
Unaweza ukaandikiwa rufaa kutoka hospitali ya rufaa kwenda hospitali ya Kanda.
Mna hospitali za kanda ngapi?
Nani kakwambia kwenda hospitali za kanda inahitaji utembee kilometa 300+??
Hilo jeraha la ajali lilishindikanika kutumia x-ray kwanza hadi ihitajike MRI!?
Inapofanyika patient management ndio inajulisha kama inahitajika vipimo zaidi ama laah.
Kuna hospitali za rufaa na Kuna hospitali za kanda.
Embu soma kwa uelewa.
 
Wewe ndio msenge, how can you justify that 14 MRI Machines are enough for a population of close to 70 million people. We live in a modern world today where the use of MRI is gaining more traction and is very critical for proper diagnosis. Hata kama unatetea nchi yako, usiwe mjinga bana.
😂😂😂😂😂😂Itoshe kusema wewe ni zwazwa.
Umewahi kufanya kazi kituo chochote Cha afya?
MRI inahitajika kutumika kwa vipimo gani?
Tuanze hapo kwanza.
Nipe jibu.
 
Back
Top Bottom