Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

9. Tanzania leads in intra East Africa trade.
10. Tanzania exports more to East Africa than what it imports
11. Tanzania has higher total exports than any other country in EA.
12. Tanzania leads in water supply in EA 89% rural 97% urban
13. Tanzania has modern bus terminals in EA
14. Tanzania leads in e-services in EA
The list is long
Can you bring proof to these bogus allegations?
 
Mi naona hata ku quadruple inawezekana, haya mambo ya maendeleo huwa ni exponential, yakianza yanasambaa haraka.

Tukiwa na watu makini ndani ya miaka 10 watu wataishangaa Tz.

Kumbuka uhalisia wa uchumi wetu ni zaidi ya $400B, japo kwenye makaratasi hauoneshi. Mambo tunayo yafanya hakuna nchi yenye GPD ya 250B iliyowahi kufanya.
Mlianza kama delusions of grandeur lakini mnapoelekea inakuwa wendazimu sasa. 🤣 🤣 🤣
mwaiofhawaii ndio maana nilikwambia huyu jama ni malenge tu kama ng'ombe zengine za bongolala.🤣 🤣 🤣
 
Can you bring proof to these bogus allegations?
Hiyo pia item 13
1752593388233.png
 
Nilishawahi kuwaambia hawa kima kwa mifano kabisa kwamba AI is a good tool but it depends on how you use it. Garbage in garbage out.
Wana IQ kubwa lakini hawatambui hilo. 😂😂😂
Nikiuliza Chatgpt kitu lazima nihakikishe kwenye source zingine, bahati mbaya sana siku hizi uki Google kitu jibu la kwanza unalokutana nalo ni kutoka AI.
AI ni nzuri kujifunza vitu mbalimbali na sio kufanya source ya taarifa.
 
Wana IQ kubwa lakini hawatambui hilo. 😂😂😂
Nikiuliza Chatgpt kitu lazima nihakikishe kwenye source zingine, bahati mbaya sana siku hizi uki Google kitu jibu la kwanza unalokutana nalo ni kutoka AI.
AI ni nzuri kujifunza vitu mbalimbali na sio kufanya source ya taarifa.
Wakenya wapo kama Nigerians.
Kuna MNigeria naye mdada fulani hivi FB anajiita @porshtv, anategemea AI kama credible source of Intel.
Alivyo mpumbavu alibishia hadi UN tradecom chart kuhusu taarifa nilizompa.
Kisa "nime search AI" maatyaaqooo.
 
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.

Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
Your thread is quite engaging. I wonder, though — by framing it as a ‘battle’ rather than a ‘comparison’, do you feel it risks reducing a complex relationship to a zero-sum contest?
 
Back
Top Bottom