game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,231
- 26,732
Tuweni honest tu, hivi mafuta ya taa bado yanatumika kama domestic source of fuel? Mbona Kunyaland ipo nyuma hivi? Na hapo ni naislum, angalieni standards za hizo nyumba na ambiance ya streets ilivyo ya kimasikini, manyumba ya nylon na mabati, mud huts kwenye metropolis yao 😂😂😂 hawa watu wana haki ya kuandamana daily
View attachment 3406449
View: https://youtu.be/Mj5_K_BmTzs?si=jzC88Ubwjxt9TjCd
Mafuta ya taa dah 😄😄😄