buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Dah Unyama sana 😍😍 ila nina concerns kidogo zile za blue vipi? Haiwezekani ifike moja tu na huyo mwingine ziwe hivi.
Hawajafanya kuzipiga zile za serikali na kuzifanya za kijani?
Maulizio tu.
Naona nimewaletea makonde "Ugali wa nyasi"Huyo mngese Nicxie vipicha vyake ndio hivyo hivyo 2,ugali wa nyasi ushaharibu akili yake nyahu yule
unajua maana ya ku-launch project?Duh, kwani ukianzisha kitu huwa kinaumbika ghafla.
Hata mtoto anachukua wiki 37 kabla hajazaliwa lakini kati ya hizo wiki, zile wiki 20 za kwanza, ndo za muhimu hasa, katika kutengeneza mifumo kama ya transportation (circulatory) ili nutrients ziweze kufikia cells zote.
Kwa akili yako utasema hizo wiki siyo muhimu sababu, hata mimba huwa haionekani.
Hii ya Dar Moro Dom imewekwa under PPP anytime kazi itaanza.
Tuweni honest tu, hivi mafuta ya taa bado yanatumika kama domestic source of fuel? Mbona Kunyaland ipo nyuma hivi? Na hapo ni naislum, angalieni standards za hizo nyumba na ambiance ya streets ilivyo ya kimasikini, manyumba ya nylon na mabati, mud huts kwenye metropolis yao 😂😂😂 hawa watu wana haki ya kuandamana daily
View attachment 3406449
View: https://youtu.be/Mj5_K_BmTzs?si=jzC88Ubwjxt9TjCd
Tuweni honest tu, hivi mafuta ya taa bado yanatumika kama domestic source of fuel? Mbona Kunyaland ipo nyuma hivi? Na hapo ni naislum, angalieni standards za hizo nyumba na ambiance ya streets ilivyo ya kimasikini, manyumba ya nylon na mabati, mud huts kwenye metropolis yao 😂😂😂 hawa watu wana haki ya kuandamana daily
View attachment 3406449
View: https://youtu.be/Mj5_K_BmTzs?si=jzC88Ubwjxt9TjCd
Nairobi only lack enough stadiumsMost Kenyans be so delusional,
Ona kama huyu😄😄😄
Na wakunya wamelelewa na kudanganywa na wanasiasa kuamini wanachoanini,
Kenyans need to understand that kama tukilinganisha maendeleo ya nchi za SADC na Kenya basi Kenya itakuwa down sana, Kenya bado Iko nyuma sana kimaendeleo ukilinganisha na Namibia, Botswana, Angola, Eswatin.
Zanzibar alone has more 4 to 5 star rated hotels than the entire Kenya.
Angola pekee iliwahi host AFCON bila hata stress , South Africa ilihost World Cup smoothly, wao co-hosting CHAN tu wametolewa kamasi na imelazimu kukimbilia China nchi ya Kijamaa kuomba msaada. Halafu anakuja mpumbavu kama huyu anasema Nairobi alone can host AFCON wakati timu ya taifa inacheza home games in Malawi 😄😄😄
![]()
202K views · 4.3K reactions | "Nairobi alone can host Africa" - Nicholas Musonye, LOC Chairman. In August 2025, Kenya will host CHAN 2024 matches across selected venues. #CHAN #Africa #Nairobi | Pulse Sports Kenya
"Nairobi alone can host Africa" - Nicholas Musonye, LOC Chairman. In August 2025, Kenya will host CHAN 2024 matches across selected venues. #CHAN #Africa #Nairobiwww.facebook.com
ndio dhamira yake!
South Africa has a form of muturas tooo called grabours boerevorsNaona nimewaletea makonde "Ugali wa nyasi"
Hao kenge wanavyohusudu USA ukute walitaka wawe na Hotdogs ila hali ikawa mbaya pesa hamna wakaishi kwenye Mitura.
View attachment 3406540
Mitura
View attachment 3406541
View attachment 3406543
Tanzania villages ni ngumu sana kukuta wanatumia mafuta ya taa kama chanzo cha nishati, utakuta taa za sola au za kuchaji.Mafuta ya taa dah 😄😄😄
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atatumia kerosene kama source of energy sababu ni vey expensive compared to gas, bei ya gas ni 19k wakati kerosene lita ni 2.7k na inaweza isitoshe mahitaji ya sikuIn Tz ni mwendo wa clean energy tuu. huko tushatoka kitambo tangu 90s
😃😃😃😅😅 Imagine hiyo ni naislum, huko machakos wana hali gani?Mafuta ya taa dah 😄😄😄
😂😂😂😂 Wao bora iwe na traffic lightHiyo Thika ndio wana mpango wa kuipa hadhi ya City.
Eti metro 😂😂😂Nairobi only lack enough stadiums
Other things ziko in abundance. I'll with stadiums around it's metro one at limuru, thika, ruiru, machakos, ngong etc afcon inahost vizuri sana
Nairobi si kama iyo Ibadan yenu hapo chini takataka ushago from A to Z.
Nina miaka zaidi ya kumi sijaona mtu akinunua kerosene. 😂😂😂Eti metro 😂😂😂
Kwanza ukienda dukani ukauliza mafuta ya taa kila mtu atashangaa unataka kufanyia nn, maduka mengi hakuna mafuta ya taa siku hz, hata watoto wa 2000s wengi hawayajui, ngoja leo nijitoe ufahamu nikaulize dukani nione kama bado yapo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nina miaka zaidi ya kumi sijaona mtu akinunua kerosene. 😂😂😂