Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyo mngese Nicxie vipicha vyake ndio hivyo hivyo 2,ugali wa nyasi ushaharibu akili yake nyahu yule
Naona nimewaletea makonde "Ugali wa nyasi"

Hao kenge wanavyohusudu USA ukute walitaka wawe na Hotdogs ila hali ikawa mbaya pesa hamna wakaishi kwenye Mitura.

1752563405850.jpeg



Mitura

1752563487236.jpeg

1752563506017.jpeg
 
Duh, kwani ukianzisha kitu huwa kinaumbika ghafla.

Hata mtoto anachukua wiki 37 kabla hajazaliwa lakini kati ya hizo wiki, zile wiki 20 za kwanza, ndo za muhimu hasa, katika kutengeneza mifumo kama ya transportation (circulatory) ili nutrients ziweze kufikia cells zote.

Kwa akili yako utasema hizo wiki siyo muhimu sababu, hata mimba huwa haionekani.
unajua maana ya ku-launch project?
 
Most Kenyans be so delusional,
Ona kama huyu😄😄😄
Na wakunya wamelelewa na kudanganywa na wanasiasa kuamini wanachoanini,
Kenyans need to understand that kama tukilinganisha maendeleo ya nchi za SADC na Kenya basi Kenya itakuwa down sana, Kenya bado Iko nyuma sana kimaendeleo ukilinganisha na Namibia, Botswana, Angola, Eswatin.
Zanzibar alone has more 4 to 5 star rated hotels than the entire Kenya.
Angola pekee iliwahi host AFCON bila hata stress , South Africa ilihost World Cup smoothly, wao co-hosting CHAN tu wametolewa kamasi na imelazimu kukimbilia China nchi ya Kijamaa kuomba msaada. Halafu anakuja mpumbavu kama huyu anasema Nairobi alone can host AFCON wakati timu ya taifa inacheza home games in Malawi 😄😄😄
Nairobi only lack enough stadiums
Other things ziko in abundance. I'll with stadiums around it's metro one at limuru, thika, ruiru, machakos, ngong etc afcon inahost vizuri sana
Nairobi si kama iyo Ibadan yenu hapo chini takataka ushago from A to Z.
 
In Tz ni mwendo wa clean energy tuu. huko tushatoka kitambo tangu 90s
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atatumia kerosene kama source of energy sababu ni vey expensive compared to gas, bei ya gas ni 19k wakati kerosene lita ni 2.7k na inaweza isitoshe mahitaji ya siku

Kunyaland gas ni bei ghali mpaka watu wanaona kutumia kerosene ni cheap, imagine how fucked up hii Shithole is.
Screenshot_20250715-122657.jpg
 
Nina miaka zaidi ya kumi sijaona mtu akinunua kerosene. 😂😂😂
Kwanza ukienda dukani ukauliza mafuta ya taa kila mtu atashangaa unataka kufanyia nn, maduka mengi hakuna mafuta ya taa siku hz, hata watoto wa 2000s wengi hawayajui, ngoja leo nijitoe ufahamu nikaulize dukani nione kama bado yapo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom