Hiyo pia item 13Can you bring proof to these bogus allegations?
Hiyo pia item 13Can you bring proof to these bogus allegations?
AI inaokota taarifa zilizopo ONLINE, either kwenye comments za watu, websites au social media.Nilishawahi kuwaambia hawa kima kwa mifano kabisa kwamba AI is a good tool but it depends on how you use it. Garbage in garbage out.
Wana IQ kubwa lakini hawatambui hilo. 😂😂😂Nilishawahi kuwaambia hawa kima kwa mifano kabisa kwamba AI is a good tool but it depends on how you use it. Garbage in garbage out.
Wakenya wapo kama Nigerians.Wana IQ kubwa lakini hawatambui hilo. 😂😂😂
Nikiuliza Chatgpt kitu lazima nihakikishe kwenye source zingine, bahati mbaya sana siku hizi uki Google kitu jibu la kwanza unalokutana nalo ni kutoka AI.
AI ni nzuri kujifunza vitu mbalimbali na sio kufanya source ya taarifa.
Ila mitura inaweza kuwa ya afya kuliko hizo hotdogs zilizowekewa food dye.Naona nimewaletea makonde "Ugali wa nyasi"
Hao kenge wanavyohusudu USA ukute walitaka wawe na Hotdogs ila hali ikawa mbaya pesa hamna wakaishi kwenye Mitura.
Your thread is quite engaging. I wonder, though — by framing it as a ‘battle’ rather than a ‘comparison’, do you feel it risks reducing a complex relationship to a zero-sum contest?Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.
1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation
Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
Your thread is quite engaging. I wonder, though — by framing it as a ‘battle’ rather than a ‘comparison’, do you feel it risks reducing a complex relationship to a zero-sum contest?Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.
1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation
Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
unajua maana ya ku-launch project?
Alivyofala hajui kama Tanzania ni kubwa mara mbili ya nchi yao na bado tofauti ni only 10m popn, hapo nani wanazaana kama kunguni.Hii data imepikwa Githurai nyie mko wengi kuliko sisi 😁
Come down buda! 😂wacha kasumba ya kijinga kwani mkeo huyo? Wewe mwanaume unaangalia vp miguu ya ndume mwenzio?
Nitajie nchi yoyote duniani yenye GDP chini ya $250B, ambayo kwa pamoja, inajenga madaraja, mji mpya from scratch, reli, dam, kununua ndege cash, huku ikiwa na food security zaidi ya 100%, ikilipa mishahara bila shida, huku ikisomesha watoto mpaka sekondari bure.Mlianza kama delusions of grandeur lakini mnapoelekea inakuwa wendazimu sasa. 🤣 🤣 🤣
mwaiofhawaii ndio maana nilikwambia huyu jama ni malenge tu kama ng'ombe zengine za bongolala.🤣 🤣 🤣
Hawezi taja mpaka yesu anarudiNitajie nchi yoyote duniani yenye GDP chini ya $250B, ambayo kwa pamoja, inajenga madaraja, mji mpya from scratch, reli, dam, kununua ndege cash, huku ikiwa na food security zaidi ya 100%, ikilipa mishahara bila shida huku ikisomesha watoto mapaka sekondari bure.
Third largest city???