Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Can you bring proof to these bogus allegations?
Hiyo pia item 13
1752593388233.png
 
Nilishawahi kuwaambia hawa kima kwa mifano kabisa kwamba AI is a good tool but it depends on how you use it. Garbage in garbage out.
Wana IQ kubwa lakini hawatambui hilo. 😂😂😂
Nikiuliza Chatgpt kitu lazima nihakikishe kwenye source zingine, bahati mbaya sana siku hizi uki Google kitu jibu la kwanza unalokutana nalo ni kutoka AI.
AI ni nzuri kujifunza vitu mbalimbali na sio kufanya source ya taarifa.
 
Wana IQ kubwa lakini hawatambui hilo. 😂😂😂
Nikiuliza Chatgpt kitu lazima nihakikishe kwenye source zingine, bahati mbaya sana siku hizi uki Google kitu jibu la kwanza unalokutana nalo ni kutoka AI.
AI ni nzuri kujifunza vitu mbalimbali na sio kufanya source ya taarifa.
Wakenya wapo kama Nigerians.
Kuna MNigeria naye mdada fulani hivi FB anajiita @porshtv, anategemea AI kama credible source of Intel.
Alivyo mpumbavu alibishia hadi UN tradecom chart kuhusu taarifa nilizompa.
Kisa "nime search AI" maatyaaqooo.
 
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.

Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
Your thread is quite engaging. I wonder, though — by framing it as a ‘battle’ rather than a ‘comparison’, do you feel it risks reducing a complex relationship to a zero-sum contest?
 
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.

Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
Your thread is quite engaging. I wonder, though — by framing it as a ‘battle’ rather than a ‘comparison’, do you feel it risks reducing a complex relationship to a zero-sum contest?
 
unajua maana ya ku-launch project?
dhahabu.png


dhahabu_2.png

 
Mlianza kama delusions of grandeur lakini mnapoelekea inakuwa wendazimu sasa. 🤣 🤣 🤣
mwaiofhawaii ndio maana nilikwambia huyu jama ni malenge tu kama ng'ombe zengine za bongolala.🤣 🤣 🤣
Nitajie nchi yoyote duniani yenye GDP chini ya $250B, ambayo kwa pamoja, inajenga madaraja, mji mpya from scratch, reli, dam, kununua ndege cash, huku ikiwa na food security zaidi ya 100%, ikilipa mishahara bila shida, huku ikisomesha watoto mpaka sekondari bure.
 
Back
Top Bottom