Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kero kubwa kwa Sasa ni Barabara ya Kibaha -Chalinze - Morogoro,
You'll spend 6 good hours kwa kipande Cha km200.
More disappointing I am sure Madam president isn't even aware of what are the key issues in her country,
I wonder she even want to attempt for another term as the president despite of all her shortcomings.
Mama angebaki tu acheze na wajukuu. Enough.
Hata Highway ya Kimara-Kibaha tu haijakamikika for 10 years down ajabu watumishi wake are taking the advantage of her softness and ignorance to rush for the new projects just to loot money.
We don't deserve this kind of lazy leadership.
Hii ya Dar Moro Dom imewekwa under PPP anytime kazi itaanza.
 
Hapo kwenye EACOP tunapiga USD 1.4bn kila mwaka kama transit fees tuu bado faida ya kuwa mwekezaji wa pipeline maana tuliweka 20% halafu tukaongeza umiliki mpaka 30% kama sikosei baada ya financing kusuasua.


EACOP tutapata≈ 309.17 billion TZS per month!! Ndio maana wakundustan wanaumia sana kwa hili bomba
 
Yet IMF watakuambia Kunyaland GDP inakua, lakini kwa ground kila kitu ni mfu, energy sector ikikua dramatically hivi ujue impact yake ni multidimensional ni multiple economic sectors zimekua, mabasi ya BRT phases zote na zenyewe zitatumia gas, baada ya miaka miwili am telling you hii itakua revenue source kubwa kuliko half of Kunyaland


View: https://www.instagram.com/p/DMFUAMTo1A8/?igsh=MXAyMHpzYTdtOGx5eQ==

20250715_084621.jpg
20250715_084619.jpg
 
Tuweni honest tu, hivi mafuta ya taa bado yanatumika kama domestic source of fuel? Mbona Kunyaland ipo nyuma hivi? Na hapo ni naislum, angalieni standards za hizo nyumba na ambiance ya streets ilivyo ya kimasikini, manyumba ya nylon na mabati, mud huts kwenye metropolis yao 😂😂😂 hawa watu wana haki ya kuandamana daily

Screenshot_20250711-223502.jpg



View: https://youtu.be/Mj5_K_BmTzs?si=jzC88Ubwjxt9TjCd
 
Tuweni honest tu, hivi mafuta ya taa bado yanatumika kama domestic source of fuel? Mbona Kunyaland ipo nyuma hivi? Na hapo ni naislum, angalieni standards za hizo nyumba na ambiance ya streets ilivyo ya kimasikini, manyumba ya nylon na mabati, mud huts kwenye metropolis yao 😂😂😂 hawa watu wana haki ya kuandamana daily

View attachment 3406449


View: https://youtu.be/Mj5_K_BmTzs?si=jzC88Ubwjxt9TjCd

In Tz ni mwendo wa clean energy tuu. huko tushatoka kitambo tangu 90s
 
Back
Top Bottom