chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,309
- 45,110
inajengwa mkuuExpressway ya USA River- Moshi-Holili sijui iliishia wapi?
Hii ya Dar Moro Dom imewekwa under PPP anytime kazi itaanza.Kero kubwa kwa Sasa ni Barabara ya Kibaha -Chalinze - Morogoro,
You'll spend 6 good hours kwa kipande Cha km200.
More disappointing I am sure Madam president isn't even aware of what are the key issues in her country,
I wonder she even want to attempt for another term as the president despite of all her shortcomings.
Mama angebaki tu acheze na wajukuu. Enough.
Hata Highway ya Kimara-Kibaha tu haijakamikika for 10 years down ajabu watumishi wake are taking the advantage of her softness and ignorance to rush for the new projects just to loot money.
We don't deserve this kind of lazy leadership.
Hapo kwenye EACOP tunapiga USD 1.4bn kila mwaka kama transit fees tuu bado faida ya kuwa mwekezaji wa pipeline maana tuliweka 20% halafu tukaongeza umiliki mpaka 30% kama sikosei baada ya financing kusuasua.
Informal economy nao ni uchumi mkubwa sana zaidi ya mara 3 ya uchumi unaoonekana kwenye karatasi if only we could formalize it.Uchumi halisi wa Tanzania ni $450B.
If cost za train per Km na logistics zingine zitakuwa chini than cost ya road transportation then most businesses will prefer train services to move their merchandise to DRC, Rwanda, Burundi and Uganda via Isaka Dry port.Huhitaji kuondosha yote maana ni biashara huria ila around 40% is more realistic!
Tuweni honest tu, hivi mafuta ya taa bado yanatumika kama domestic source of fuel? Mbona Kunyaland ipo nyuma hivi? Na hapo ni naislum, angalieni standards za hizo nyumba na ambiance ya streets ilivyo ya kimasikini, manyumba ya nylon na mabati, mud huts kwenye metropolis yao 😂😂😂 hawa watu wana haki ya kuandamana daily
View attachment 3406449
View: https://youtu.be/Mj5_K_BmTzs?si=jzC88Ubwjxt9TjCd
wacha kasumba ya kijinga kwani mkeo huyo? Wewe mwanaume unaangalia vp miguu ya ndume mwenzio?Ukaaji wa kijinga!
Upigi nne kwenye intavyuu kama una utimamu wa akili ulio mzuri.
ndio dhamira yake!Mkuu hii inaweza kupunguza foleni hapo dar?
Itakua poa sana,jiji litafunguka maana sasa hivi kila sehemu ni malori,kuna njia ya mkato ya pale vetenary panaitwa mchicha,ilikua bonge la mkato kwa wanaoenda airport kutokea temeke ili kuikwepa foleni ya tazara,sasa hivi nako akupitiki,full malorindio dhamira yake!
www.foodbusinessmea.com
umeuliza na taarifa imetoka janaExpressway ya USA River- Moshi-Holili sijui iliishia wapi?
umeuliza na taarifa imetoka jana
View: https://www.instagram.com/p/DMFOaCAMGTn/?utm_source=ig_web_copy_link