Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,705
- 107,150
Hadi Ethiopia tumewapiga bao!?
SGR ikiisha na Air Tanzania ikiruhusiwa kwenda Europe na vile viwanda vya Mchina +3000 vikikamilika gap litazidi! Msisahau EAcOP haijaanza kazi!
Hata bila airtanzania kwenda ulaya ila sgr ifike kigoma tu hata kabla ya mwanza itadouble hapo.SGR ikiisha na Air Tanzania ikiruhusiwa kwenda Europe na vile viwanda vya Mchina +3000 vikikamilika gap litazidi!
Marcopolo zitakuja either Nyerere road na Karume road I guess.Zile buses za Marcopolo vp?
Hao wote ni watu wa data fiddling ukiondoa Uganda, Rwanda na Somalia.Hadi Ethiopia tumewapiga bao!?
Hutaki watu wajue Dar yenu?Imefika mahala sasa uzipumzishe hizi picha bwana mdogo.
Nisome blog?Soma kuelewa sio kubisha
I give up on youWe were talking about leading in electricity production buda.
Hapo kwenye EACOP tunapiga USD 1.4bn kila mwaka kama transit fees tuu bado faida ya kuwa mwekezaji wa pipeline maana tuliweka 20% halafu tukaongeza umiliki mpaka 30% kama sikosei baada ya financing kusuasua.SGR ikiisha na Air Tanzania ikiruhusiwa kwenda Europe na vile viwanda vya Mchina +3000 vikikamilika gap litazidi! Msisahau EAcOP haijaanza kazi!
Since 2017, yn alipojiunga tu akapata hivi vipicha, basi anajifariji navyo mpaka leo, hataki kusikia tuna sgr, BRT, jnhpp, Dodoma new city, vyote hivyo hataki, yeye anakaza na vipicha hvyo hvyo tu daily 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Imefika mahala sasa uzipumzishe hizi picha bwana mdogo.