Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,711
Hutaki watu wajue Dar yenu?Imefika mahala sasa uzipumzishe hizi picha bwana mdogo.
Hutaki watu wajue Dar yenu?Imefika mahala sasa uzipumzishe hizi picha bwana mdogo.
Nisome blog?Soma kuelewa sio kubisha
I give up on youWe were talking about leading in electricity production buda.
Hapo kwenye EACOP tunapiga USD 1.4bn kila mwaka kama transit fees tuu bado faida ya kuwa mwekezaji wa pipeline maana tuliweka 20% halafu tukaongeza umiliki mpaka 30% kama sikosei baada ya financing kusuasua.SGR ikiisha na Air Tanzania ikiruhusiwa kwenda Europe na vile viwanda vya Mchina +3000 vikikamilika gap litazidi! Msisahau EAcOP haijaanza kazi!
Since 2017, yn alipojiunga tu akapata hivi vipicha, basi anajifariji navyo mpaka leo, hataki kusikia tuna sgr, BRT, jnhpp, Dodoma new city, vyote hivyo hataki, yeye anakaza na vipicha hvyo hvyo tu daily 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Imefika mahala sasa uzipumzishe hizi picha bwana mdogo.
Ikawa subuhi, ikawa mchana, ikawa giza siku ya kwanza.Hakuna Chan wala Afcon itachezwa hapo, nimekaa paleeee 👉👉👉👉👉👉👉👉👉

Huyo mngese Nicxie vipicha vyake ndio hivyo hivyo 2,ugali wa nyasi ushaharibu akili yake nyahu yuleSince 2017, yn alipojiunga tu akapata hivi vipicha, basi anajifariji navyo mpaka leo, hataki kusikia tuna sgr, BRT, jnhpp, Dodoma new city, vyote hivyo hataki, yeye anakaza na vipicha hvyo hvyo tu daily 🤣🤣🤣🤣🤣🤣