Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Arusha Ikipata expressway tu naislum imeisha


View: https://vm.tiktok.com/ZMSGdaYWs/

Ikikamilika:
  • Samia Stadium.
  • Safari City
  • Mt Kilimanjaro Conference center.

Ingawa Arusha, inataka International hospital angalau mbili.

Arusha panapendwa sana na Immigrants wa Ulaya na US wasiopenda Joto la Dar.




Miaka 10 ijayo, Dubai ya Wakunya itakuwa ni Arusha.
 
Since 2017, yn alipojiunga tu akapata hivi vipicha, basi anajifariji navyo mpaka leo, hataki kusikia tuna sgr, BRT, jnhpp, Dodoma new city, vyote hivyo hataki, yeye anakaza na vipicha hvyo hvyo tu daily 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo mngese Nicxie vipicha vyake ndio hivyo hivyo 2,ugali wa nyasi ushaharibu akili yake nyahu yule
 
Hii ilikuwa idea ya Magu, kuanza kuweka akiba ya dhahabu, ikiwa ni kuachana rasmi na sera za restructuring.

Sasa naona serikali ys Samia wameamua kuendeleza kwa kulazimisha mauzo yote ya 20% yaende BOT. Tatizo langu ni, je hakutakuwa na ufisadi?
idea ya Magu mbona hakuifanya? Magu aliyekutwa na mahela amehifadhi chumbani alipofariki?
 
idea ya Magu mbona hakuifanya? Magu aliyekutwa na mahela amehifadhi chumbani alipofariki?
Duh, kwani ukianzisha kitu huwa kinaumbika ghafla.

Hata mtoto anachukua wiki 37 kabla hajazaliwa lakini kati ya hizo wiki, zile wiki 20 za kwanza, ndo za muhimu hasa, katika kutengeneza mifumo kama ya transportation (circulatory) ili nutrients ziweze kufikia cells zote.

Kwa akili yako utasema hizo wiki siyo muhimu sababu, hata mimba huwa haionekani.
 
Expressway ya USA River- Moshi-Holili sijui iliishia wapi?
Kero kubwa kwa Sasa ni Barabara ya Kibaha -Chalinze - Morogoro,
You'll spend 6 good hours kwa kipande Cha km200.
More disappointing I am sure Madam president isn't even aware of what are the key issues in her country,
I wonder she even want to attempt for another term as the president despite of all her shortcomings.
Mama angebaki tu acheze na wajukuu. Enough.
Hata Highway ya Kimara-Kibaha tu haijakamikika for 10 years down ajabu watumishi wake are taking the advantage of her softness and ignorance to rush for the new projects just to loot money.
We don't deserve this kind of lazy leadership.
 
Back
Top Bottom