Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

SGR ikiisha na Air Tanzania ikiruhusiwa kwenda Europe na vile viwanda vya Mchina +3000 vikikamilika gap litazidi! Msisahau EAcOP haijaanza kazi!
Hapo kwenye EACOP tunapiga USD 1.4bn kila mwaka kama transit fees tuu bado faida ya kuwa mwekezaji wa pipeline maana tuliweka 20% halafu tukaongeza umiliki mpaka 30% kama sikosei baada ya financing kusuasua.
 
Arusha Ikipata expressway tu naislum imeisha


View: https://vm.tiktok.com/ZMSGdaYWs/

Ikikamilika:
  • Samia Stadium.
  • Safari City
  • Mt Kilimanjaro Conference center.

Ingawa Arusha, inataka International hospital angalau mbili.

Arusha panapendwa sana na Immigrants wa Ulaya na US wasiopenda Joto la Dar.




Miaka 10 ijayo, Dubai ya Wakunya itakuwa ni Arusha.
 
Since 2017, yn alipojiunga tu akapata hivi vipicha, basi anajifariji navyo mpaka leo, hataki kusikia tuna sgr, BRT, jnhpp, Dodoma new city, vyote hivyo hataki, yeye anakaza na vipicha hvyo hvyo tu daily 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo mngese Nicxie vipicha vyake ndio hivyo hivyo 2,ugali wa nyasi ushaharibu akili yake nyahu yule
 
Back
Top Bottom