Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,758
Kwanza nikuambue tu Mimi sio msafirishaji ila shughuli zangu huwa natumia sana malori na ofisi zangu kuu ni songea na dodomaKaka hujui biashara ya usafirishaji. Ninaumia sana kuona mtu
Dodoma dar bei kwa sasa inaanzia 70,000 kwa tani labda ukutane na Lori limetoka masafa. Kwa tani 30 ni 2,100,000 .ninayekuheshimu unakuwa mweupe kiasi hicho. Yaani unataka kufananisha biashara ya kusafirisha abiria iwe juu ya biashara ya kusafirisha mizigo? 😭😭😭😭
Hebu tuambie kusafirisha ton moja ya mzigo kutoka Dar kwenda Dodoma ni Sh. ngapi?
Nawe post kibera ya dar maku wwYou are posting Kibera for the a millionth time. Endelea bongolala
Asante nawe umeliona hilo. Nishamwambia anasoma article lakini haelewi anakuja kupayuka hapa.Hapo kwanza kashajichanganya,kuna nchi masikini na idadi ya watu walio chini ya umasikini katika taifa.
Amechanganya mambo mawili.
Ripoti aliyoleta yeye inaonesha population which is below poverty line or population which faces poverty extremity tena interms of dollar.
Ok nadhani hujui ntakupa mfano🤣🤣🤣🤣 Manispaa na Halmashauri ipi imejenga viwanda vya matofari? Lini TRC imewahi ku own meli? Hicho kiwanda cha korosho unachoongelea siyo cha Nanyamba DC kaka ni cha TANECU LTD (Tanzania's National Cashew Union)
Halmashauri ya tunduru inamiliki shule ya international school kwa ajiri ya vibopa na haiko kwenye mpango wa shule za kawaida ni kwa ajiri ya faida.![]()
Bashe azindua kiwanda cha kubangua korosho Mtwara
Takribani Bilioni 3.4 inaelezwa kuwa zimetumika kujenga kiwanda hicho huku ikikadiriwa kuwa na uwezo wa kubangua korosho tani 3,500 kwa mwaka Waziri wa Kilimo, Mh. Hussein Bashe…radiotadio.co.tz
Kaka unaongea theories sana. Hakuna ukweli wowote umeweka hapa. Nimekuomba uweke mahesabu hapa.
Sasa kaka kwa hiyo tu bei uliyo iweka ya Tsh 70,000 kwa tani. Hebu tuambie sasa SGR imepeleka 1,400 tonKwanza nikuambue tu Mimi sio msafirishaji ila shughuli zangu huwa natumia sana malori na ofisi zangu kuu ni songea na dodoma
Dodoma dar bei kwa sasa inaanzia 70,000 kwa tani labda ukutane na Lori limetoka masafa. Kwa tani 30 ni 2,100,000 .
Trc Dom dar kwa tan 40 ni 2.5 utachagua mwenyewe ( unaweza prove kwa kudownload bei zao kwa mtandao)
Naona option ya "edit" imekuokoa kijana wangu.Where I have said that Tanzania is located in southern Africa? Did you read to understand ama Sasa unakufa kifo cha maji?
This is what I said
View attachment 3403589
Show me where I said Tanzania is in southern Africa. Wewe umeishiwa, kojoa ulale
Ok nadhani hujui ntakupa mfano
Kakonko wanakiwanda Cha tofari
View: https://youtu.be/0D51TMdHTj8?si=cwkoynLVHvW_UdXt
Nanyumbu DC Wana kiwanda Cha tofali,Lori la kukodi sm 14500 na mashine kwa ajili ya kuchimba maji hivyo vyote vinakodiwa
Nanyamba kiwanda Cha tofari, Lori la mchanga na wanajenga kiwanda Cha kubangua korosho.
Masasi DC
Godown kwa ajili ya kukodisha misimu wa korosho,ufuta na mbaazi.
Kuna halmashauri mpaka zinanunua hisa kwenye makampuni
Jamaa amekwambia ulete ripoti inayoonesha kuwa Tanzania ni poorest country East Africa, ulileta ripoti gani kaka!?The WB report states the number of people living in extreme poverty in Tanzania. NOT the economic situation of Tanzania as a country. Inaongelea idadi ya watu wanaoishi kwenye umasikini just like you've correctly said above, but in this case, extreme poverty. The report does not talk about whether or not Tanzania is a poor country. It talks about her people as you've rightfully said above. Sasa sijui mabishano ni ya nini
Hiyo ni bei ya lorry anyway twende hivyo. Hiyo treni imerud empty baada ya kuingiza 98milSasa kaka kwa hiyo tu bei uliyo iweka ya Tsh 70,000 kwa tani. Hebu tuambie sasa SGR imepeleka 1,400 ton
Tuje kwa abiria ecoonomy kuna behewa 10*35,000 *78=27,300,000Jumla itakuwa Tsh 98,000,000 kwa trip hiyo moja. Na uwezo wa treni ya mizigo ni 10,000 kwa mara moja. Ikiwa full operation maana yake Tsh 700,000,000 kwa trip moja.
Siaminigi katika kushindwa naamini bado Kuna nafasi ya hela kwenye abiriaNakuomba sasa uangalie hesabu sako vizuri.
Halmashauri ni kama kampuni inapimwa kwa mapato , inatakiwa iwe na vyanzo vyake ili iweze kulipa mahitaji yote kwa ngazi ya wilaya la sivyo itabidi iwaongezee Kodi ya mazao ili iweze kumhudumia likizo za walimuHayo ni makosa yanatakiwa yafanyiwe kazi. Hapo kwenye kiwanda nani atakusanya mapato? Halmashauri inatakiwa kutengeneza miundombinu siyo kujiingiza kwenye biashara. Sidhani kama hicho kiwanda bado kipo kitakuwa kimeondolewa. Kama wanataka kufanya biashara wasajiri kampuni.
Naona bei ya cement mikoa ya kanda ya ziwa ikienda kupungua bei kutokana na gharama za usafirishaji kupungua.Dangote akitumiwa vizuri anamzigo mkubwa sana
Bado kuna watu trc wamelala . Lorry la ninj Dodoma ? Ilitakiwa lorry likatoea mzigo kiwandani kuleta pugu, sgr iuwahishe Dom then wahamishie kwenye mgr ifikiwe mwanza ndani ya masaa 20 tuNaona bei ya cement mikoa ya kanda ya ziwa ikienda kupungua bei kutokana na gharama za usafirishaji kupungua.
Nyati cement
Huaxin cement
Twiga cement nk
Hawa watasafirisha cement zao kwa kutumia SGR hadi Dodoma dry port then watatumia malori kusambaza kanda ya ziwa.
Naona pia wakienda kujenga maghala Dodoma.
Ikifika isaka lazima viwanda vichanganyikiwe maana itakuwa rahisi na fasta, tegemea mikoa yote ya Uganda karibia na Tanzania ipate mahitaji toka tzNaona bei ya cement mikoa ya kanda ya ziwa ikienda kupungua bei kutokana na gharama za usafirishaji kupungua.
Nyati cement
Huaxin cement
Twiga cement nk
Hawa watasafirisha cement zao kwa kutumia SGR hadi Dodoma dry port then watatumia malori kusambaza kanda ya ziwa.
Naona pia wakienda kujenga magodown Dodoma.
Brother unaleta ubishi wa usio na maana. Biashara ya abiria ipo chini sana.Hiyo ni bei ya lorry anyway twende hivyo. Hiyo treni imerud empty baada ya kuingiza 98mil
Tuje kwa abiria ecoonomy kuna behewa 10*35,000 *78=2,730,000
Go and return = 54,600,000*3=163,800,000
Business 5*5*80,000= 18,000,000*3 =54,000,000,000
Total 217,000,000
Basi ilijaza kwa asilimia 70 inaenda 151,900,000 .
Kumbuka treni ya mizigo haiwezi piga trip 3 kwa siku ila ya abiria Inaweza piga mpaka nne tukiongeza
Tukisema tupromote abiria bado tunaweza kuingiza faida kubwa kuliko hata hiyo mizigo ila wengi tumemezeshwa.
Siaminigi katika kushindwa naamini bado Kuna nafasi ya hela kwenye abiria
Brother unatuaibisha sana watanzania. Vitu kama huvijui ni bora ukae kimya. Tanzania imeagiza mabehewa 1,430 ya mzigo. Bhehewa moja linauwezo wa kubeba 120 ton. Yaliyoingia ni 264 tu. Yaliyoingia loose cargo ni 64, kontena 200. Hakuna behewa hata moja la kontena lililoanza kazi.Hiyo ni bei ya lorry anyway twende hivyo. Hiyo treni imerud empty baada ya kuingiza 98mil
Tuje kwa abiria ecoonomy kuna behewa 10*35,000 *78=27,300,000
Go and return = 54,600,000*3=163,800,000
Business 5*5*80,000= 18,000,000*3 =54,000,000,000
Total 217,000,000
Basi ilijaza kwa asilimia 70 inaenda 151,900,000 .
Kumbuka treni ya mizigo haiwezi piga trip 3 kwa siku ila ya abiria Inaweza piga mpaka nne tukiongeza
Tukisema tupromote abiria bado tunaweza kuingiza faida kubwa kuliko hata hiyo mizigo ila wengi tumemezeshwa.
Siaminigi katika kushindwa naamini bado Kuna nafasi ya hela kwenye abiria
Dar nzima ni Kibera sasa nitapost wapi niwache wapi?Nawe post kibera ya dar maku ww
Fuatalia thread. I am not here to repeat myself. Ask him if I didn't do thatJamaa amekwambia ulete ripoti inayoonesha kuwa Tanzania ni poorest country East Africa, ulileta ripoti gani kaka!?
Halmashauri siyo Kampuni. Makampuni yote yanasajiriwa brela. Halmashauri inateneza miundombinu kisha inakusanya ushuru. Kuna miundombinu ya maji, parking, Masoko, Stands nk. Siyo kufanya biashara. Ukiruhusu hivyo nchi hiyo itakuwa ya vichaa. Kama wanataka kufanya biashara wasajili kampuni.Halmashauri ni kama kampuni inapimwa kwa mapato , inatakiwa iwe na vyanzo vyake ili iweze kulipa mahitaji yote kwa ngazi ya wilaya la sivyo itabidi iwaongezee Kodi ya mazao ili iweze kumhudumia likizo za walimu
Nanyamba almost 10 % ya mapato ni kiwanda Cha tofari,
Vipi kuhusu viwanja vinavyokuwa vinauzwa na manispaa navyk sio kwamba wameingilia shughuli za wizara ya ardhi?
Brother mawazo yako ya ajabu sana. Yani mzigo wa 10,000 ton ubebwe na mgr 🤣 🤣 🤣 🤣 Je, unajua treni moja ya mgr inabeba ton ngapi? Kaka mawazo yako ni too theoretical not realBado kuna watu trc wamelala . Lorry la ninj Dodoma ? Ilitakiwa lorry likatoea mzigo kiwandani kuleta pugu, sgr iuwahishe Dom then wahamishie kwenye mgr ifikiwe mwanza ndani ya masaa 20 tu
Unakatwa wwDar nzima ni Kibera sasa nitapost wapi niwache wapi?