Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaka hujui biashara ya usafirishaji. Ninaumia sana kuona mtu
Kwanza nikuambue tu Mimi sio msafirishaji ila shughuli zangu huwa natumia sana malori na ofisi zangu kuu ni songea na dodoma
ninayekuheshimu unakuwa mweupe kiasi hicho. Yaani unataka kufananisha biashara ya kusafirisha abiria iwe juu ya biashara ya kusafirisha mizigo? 😭😭😭😭
Dodoma dar bei kwa sasa inaanzia 70,000 kwa tani labda ukutane na Lori limetoka masafa. Kwa tani 30 ni 2,100,000 .
Trc Dom dar kwa tan 40 ni 2.5 utachagua mwenyewe ( unaweza prove kwa kudownload bei zao kwa mtandao)
Hebu tuambie kusafirisha ton moja ya mzigo kutoka Dar kwenda Dodoma ni Sh. ngapi?
 
Hapo kwanza kashajichanganya,kuna nchi masikini na idadi ya watu walio chini ya umasikini katika taifa.
Amechanganya mambo mawili.
Ripoti aliyoleta yeye inaonesha population which is below poverty line or population which faces poverty extremity tena interms of dollar.
Asante nawe umeliona hilo. Nishamwambia anasoma article lakini haelewi anakuja kupayuka hapa.
 
🤣🤣🤣🤣 Manispaa na Halmashauri ipi imejenga viwanda vya matofari? Lini TRC imewahi ku own meli? Hicho kiwanda cha korosho unachoongelea siyo cha Nanyamba DC kaka ni cha TANECU LTD (Tanzania's National Cashew Union)
Ok nadhani hujui ntakupa mfano
Kakonko wanakiwanda Cha tofari

View: https://youtu.be/0D51TMdHTj8?si=cwkoynLVHvW_UdXt
Nanyumbu DC Wana kiwanda Cha tofali,Lori la kukodi sm 14500 na mashine kwa ajili ya kuchimba maji hivyo vyote vinakodiwa
Nanyamba kiwanda Cha tofari, Lori la mchanga na wanajenga kiwanda Cha kubangua korosho.
Masasi DC
Godown kwa ajili ya kukodisha misimu wa korosho,ufuta na mbaazi.
Kuna halmashauri mpaka zinanunua hisa kwenye makampuni

Kaka unaongea theories sana. Hakuna ukweli wowote umeweka hapa. Nimekuomba uweke mahesabu hapa.
Halmashauri ya tunduru inamiliki shule ya international school kwa ajiri ya vibopa na haiko kwenye mpango wa shule za kawaida ni kwa ajiri ya faida.
Tembea uone
 
Kwanza nikuambue tu Mimi sio msafirishaji ila shughuli zangu huwa natumia sana malori na ofisi zangu kuu ni songea na dodoma

Dodoma dar bei kwa sasa inaanzia 70,000 kwa tani labda ukutane na Lori limetoka masafa. Kwa tani 30 ni 2,100,000 .
Trc Dom dar kwa tan 40 ni 2.5 utachagua mwenyewe ( unaweza prove kwa kudownload bei zao kwa mtandao)
Sasa kaka kwa hiyo tu bei uliyo iweka ya Tsh 70,000 kwa tani. Hebu tuambie sasa SGR imepeleka 1,400 ton
Jumla itakuwa Tsh 98,000,000 kwa trip hiyo moja. Na uwezo wa treni ya mizigo ni 10,000 kwa mara moja. Ikiwa full operation maana yake Tsh 700,000,000 kwa trip moja.

Nakuomba sasa uangalie hesabu sako vizuri.
 
Where I have said that Tanzania is located in southern Africa? Did you read to understand ama Sasa unakufa kifo cha maji?

This is what I said
View attachment 3403589
Show me where I said Tanzania is in southern Africa. Wewe umeishiwa, kojoa ulale
Naona option ya "edit" imekuokoa kijana wangu.
I'm leaving you with the fact that The poorest country in the region is South Sudan followed by Burundi.
And Kibera is the largest slums in Africa 😀
 
Ok nadhani hujui ntakupa mfano
Kakonko wanakiwanda Cha tofari

View: https://youtu.be/0D51TMdHTj8?si=cwkoynLVHvW_UdXt
Nanyumbu DC Wana kiwanda Cha tofali,Lori la kukodi sm 14500 na mashine kwa ajili ya kuchimba maji hivyo vyote vinakodiwa
Nanyamba kiwanda Cha tofari, Lori la mchanga na wanajenga kiwanda Cha kubangua korosho.
Masasi DC
Godown kwa ajili ya kukodisha misimu wa korosho,ufuta na mbaazi.
Kuna halmashauri mpaka zinanunua hisa kwenye makampuni

Hayo ni makosa yanatakiwa yafanyiwe kazi. Hapo kwenye kiwanda nani atakusanya mapato? Halmashauri inatakiwa kutengeneza miundombinu siyo kujiingiza kwenye biashara. Sidhani kama hicho kiwanda bado kipo kitakuwa kimeondolewa. Kama wanataka kufanya biashara wasajiri kampuni.
 
The WB report states the number of people living in extreme poverty in Tanzania. NOT the economic situation of Tanzania as a country. Inaongelea idadi ya watu wanaoishi kwenye umasikini just like you've correctly said above, but in this case, extreme poverty. The report does not talk about whether or not Tanzania is a poor country. It talks about her people as you've rightfully said above. Sasa sijui mabishano ni ya nini
Jamaa amekwambia ulete ripoti inayoonesha kuwa Tanzania ni poorest country East Africa, ulileta ripoti gani kaka!?
 
Sasa kaka kwa hiyo tu bei uliyo iweka ya Tsh 70,000 kwa tani. Hebu tuambie sasa SGR imepeleka 1,400 ton
Hiyo ni bei ya lorry anyway twende hivyo. Hiyo treni imerud empty baada ya kuingiza 98mil
Jumla itakuwa Tsh 98,000,000 kwa trip hiyo moja. Na uwezo wa treni ya mizigo ni 10,000 kwa mara moja. Ikiwa full operation maana yake Tsh 700,000,000 kwa trip moja.
Tuje kwa abiria ecoonomy kuna behewa 10*35,000 *78=27,300,000
Go and return = 54,600,000*3=163,800,000
Business 5*5*80,000= 18,000,000*3 =54,000,000,000
Total 217,000,000
Basi ilijaza kwa asilimia 70 inaenda 151,900,000 .
Kumbuka treni ya mizigo haiwezi piga trip 3 kwa siku ila ya abiria Inaweza piga mpaka nne tukiongeza
Tukisema tupromote abiria bado tunaweza kuingiza faida kubwa kuliko hata hiyo mizigo ila wengi tumemezeshwa.
Nakuomba sasa uangalie hesabu sako vizuri.
Siaminigi katika kushindwa naamini bado Kuna nafasi ya hela kwenye abiria
 
Hayo ni makosa yanatakiwa yafanyiwe kazi. Hapo kwenye kiwanda nani atakusanya mapato? Halmashauri inatakiwa kutengeneza miundombinu siyo kujiingiza kwenye biashara. Sidhani kama hicho kiwanda bado kipo kitakuwa kimeondolewa. Kama wanataka kufanya biashara wasajiri kampuni.
Halmashauri ni kama kampuni inapimwa kwa mapato , inatakiwa iwe na vyanzo vyake ili iweze kulipa mahitaji yote kwa ngazi ya wilaya la sivyo itabidi iwaongezee Kodi ya mazao ili iweze kumhudumia likizo za walimu
Nanyamba almost 10 % ya mapato ni kiwanda Cha tofari,
Vipi kuhusu viwanja vinavyokuwa vinauzwa na manispaa navyk sio kwamba wameingilia shughuli za wizara ya ardhi?
 
Dangote akitumiwa vizuri anamzigo mkubwa sana
Naona bei ya cement mikoa ya kanda ya ziwa ikienda kupungua bei kutokana na gharama za usafirishaji kupungua.
Nyati cement
Huaxin cement
Twiga cement nk
Hawa watasafirisha cement zao kwa kutumia SGR hadi Dodoma dry port then watatumia malori kusambaza kanda ya ziwa.
Naona pia wakienda kujenga magodown Dodoma.
 
Naona bei ya cement mikoa ya kanda ya ziwa ikienda kupungua bei kutokana na gharama za usafirishaji kupungua.
Nyati cement
Huaxin cement
Twiga cement nk
Hawa watasafirisha cement zao kwa kutumia SGR hadi Dodoma dry port then watatumia malori kusambaza kanda ya ziwa.
Naona pia wakienda kujenga maghala Dodoma.
Bado kuna watu trc wamelala . Lorry la ninj Dodoma ? Ilitakiwa lorry likatoea mzigo kiwandani kuleta pugu, sgr iuwahishe Dom then wahamishie kwenye mgr ifikiwe mwanza ndani ya masaa 20 tu
 
Naona bei ya cement mikoa ya kanda ya ziwa ikienda kupungua bei kutokana na gharama za usafirishaji kupungua.
Nyati cement
Huaxin cement
Twiga cement nk
Hawa watasafirisha cement zao kwa kutumia SGR hadi Dodoma dry port then watatumia malori kusambaza kanda ya ziwa.
Naona pia wakienda kujenga magodown Dodoma.
Ikifika isaka lazima viwanda vichanganyikiwe maana itakuwa rahisi na fasta, tegemea mikoa yote ya Uganda karibia na Tanzania ipate mahitaji toka tz
 
Hiyo ni bei ya lorry anyway twende hivyo. Hiyo treni imerud empty baada ya kuingiza 98mil

Tuje kwa abiria ecoonomy kuna behewa 10*35,000 *78=2,730,000
Go and return = 54,600,000*3=163,800,000
Business 5*5*80,000= 18,000,000*3 =54,000,000,000
Total 217,000,000
Basi ilijaza kwa asilimia 70 inaenda 151,900,000 .
Kumbuka treni ya mizigo haiwezi piga trip 3 kwa siku ila ya abiria Inaweza piga mpaka nne tukiongeza
Tukisema tupromote abiria bado tunaweza kuingiza faida kubwa kuliko hata hiyo mizigo ila wengi tumemezeshwa.

Siaminigi katika kushindwa naamini bado Kuna nafasi ya hela kwenye abiria
Brother unaleta ubishi wa usio na maana. Biashara ya abiria ipo chini sana.

Biashara ya mizigo ndiyo kazi ya treni. Treni zikianza kuingia bandarini kwa siku zinaweza yoka treni mpaka 10. Kulingana na wingi wa mizigo
Hiyo ni bei ya lorry anyway twende hivyo. Hiyo treni imerud empty baada ya kuingiza 98mil

Tuje kwa abiria ecoonomy kuna behewa 10*35,000 *78=27,300,000
Go and return = 54,600,000*3=163,800,000
Business 5*5*80,000= 18,000,000*3 =54,000,000,000
Total 217,000,000
Basi ilijaza kwa asilimia 70 inaenda 151,900,000 .
Kumbuka treni ya mizigo haiwezi piga trip 3 kwa siku ila ya abiria Inaweza piga mpaka nne tukiongeza
Tukisema tupromote abiria bado tunaweza kuingiza faida kubwa kuliko hata hiyo mizigo ila wengi tumemezeshwa.

Siaminigi katika kushindwa naamini bado Kuna nafasi ya hela kwenye abiria
Brother unatuaibisha sana watanzania. Vitu kama huvijui ni bora ukae kimya. Tanzania imeagiza mabehewa 1,430 ya mzigo. Bhehewa moja linauwezo wa kubeba 120 ton. Yaliyoingia ni 264 tu. Yaliyoingia loose cargo ni 64, kontena 200. Hakuna behewa hata moja la kontena lililoanza kazi.

Treni ya mizigo ndio kwanza imeanza bado hata haijaingia bandarini. Ikisha ingia bandarini. Ikianza kazi mpaka bandarini kwa siku zinaweza kutoka zaidi ya treni 10 za mizigo.

Treni 10 kila moja ni Tsh 700,000,000.
Per Day unaingiza Tsh 7b. Na hapo ni one way tu. Ukisema mizigo yote inayotoka DRC, Burundi, Uganda na Rwanda na ile ya Tanzania iishie Dodoma na ibebwe kuja dar. Hapo unaongelea Tsh 14b per day.

Niambie Treni ya Abiria kwa mwaka inaingiza Tsh 60b kwa mujibu wa maelezo yako. Ndani ya 7 days SGR ya mizigo inaingiza Tsh 98b zaidi ya pesa za SGR ya abiria.

Kaka unatakiwa ujue maisha ya usafirishaji.
 
Jamaa amekwambia ulete ripoti inayoonesha kuwa Tanzania ni poorest country East Africa, ulileta ripoti gani kaka!?
Fuatalia thread. I am not here to repeat myself. Ask him if I didn't do that
 
Halmashauri ni kama kampuni inapimwa kwa mapato , inatakiwa iwe na vyanzo vyake ili iweze kulipa mahitaji yote kwa ngazi ya wilaya la sivyo itabidi iwaongezee Kodi ya mazao ili iweze kumhudumia likizo za walimu
Nanyamba almost 10 % ya mapato ni kiwanda Cha tofari,
Vipi kuhusu viwanja vinavyokuwa vinauzwa na manispaa navyk sio kwamba wameingilia shughuli za wizara ya ardhi?
Halmashauri siyo Kampuni. Makampuni yote yanasajiriwa brela. Halmashauri inateneza miundombinu kisha inakusanya ushuru. Kuna miundombinu ya maji, parking, Masoko, Stands nk. Siyo kufanya biashara. Ukiruhusu hivyo nchi hiyo itakuwa ya vichaa. Kama wanataka kufanya biashara wasajili kampuni.
 
Bado kuna watu trc wamelala . Lorry la ninj Dodoma ? Ilitakiwa lorry likatoea mzigo kiwandani kuleta pugu, sgr iuwahishe Dom then wahamishie kwenye mgr ifikiwe mwanza ndani ya masaa 20 tu
Brother mawazo yako ya ajabu sana. Yani mzigo wa 10,000 ton ubebwe na mgr 🤣 🤣 🤣 🤣 Je, unajua treni moja ya mgr inabeba ton ngapi? Kaka mawazo yako ni too theoretical not real
 
Back
Top Bottom