Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

DRC is one of the members of the East African Community
EAC is a political pact, ndio maana DRC wenyewe walijoin just the other day. The truth is, DRC is in central Africa geographically, not East Africa. Umesikia mnyamwezi?

Even Tanzania is a member of SADC while in real sense it's not located in southern Africa
 
Duh!! Pesa ya Abiria itumike kutengeneza SGR!!? Kaka haupo serious. Tawi la kutoka Tabora kwenda Katavi mpaka Bandarini linahitaji pesa nyingi. SGR kwa sasa hata robo ya network yote bado.

Waache wataalam wafanye kazi zao
Hujaelewa pesa ya sgr haitumiki kujenga sgr bali ni pesa inayotoka serikali kuu, nachozungumzia Ile pesa ya abiria ijenge magodownna miundombinu mingine ambayo sio ya hela nyingi
 
Hujaelewa pesa ya sgr haitumiki kujenga sgr bali ni pesa inayotoka serikali kuu, nachozungumzia Ile pesa ya abiria ijenge magodownna miundombinu mingine ambayo sio ya hela nyingi
Operation cost za TRC zitatoka wapi? Huo utakuwa mwanzo wa kuiua TRC. TRC tangu ianze kubeba abiria imekusanya TSH not more than 40b. Sasa unataka utoe kiasi gani hapo ili ujenge hayo magodown?
 
Operation cost za TRC zitatoka wapi? Huo utakuwa mwanzo wa kuiua TRC
Kwa Kila taasisi ya serikali huwa kuna formula ya matumizi ambayo inajumlisha development, operation na hela inayotakiwa kurudi serikali kuu .
Sasa kwenye hii pesa ya Devo ndo nazungimzia ingetumika kufanya maboresho hayo kumbuka trc mpaka sasa hazitumii pesa inayokusanya kulipa wakandarasi wa ujenzi wa sgr
 
EAC is a political pact, ndio maana DRC wenyewe walijoin just the other day. The truth is, DRC is in central Africa geographically, not East Africa. Umesikia mnyamwezi?

Even Tanzania is a member of SADC while in real sense it's not located in southern Africa
We co-founded SADC, but you are shouting as if SADC is all about location.

You can't understand SADC more than we co-founders do.
 
Kwa Kila taasisi ya serikali huwa kuna formula ya matumizi ambayo inajumlisha development, operation na hela inayotakiwa kurudi serikali kuu .
Sasa kwenye hii pesa ya Devo ndo nazungimzia ingetumika kufanya maboresho hayo kumbuka trc mpaka sasa hazitumii pesa inayokusanya kulipa wakandarasi wa ujenzi wa sgr
Kujenga Storage na Dry Ports Isaka, Mwanza, Uvinza/Kigoma, Tabora, Ihumwa Dodoma si chini ya Tsh 600b. Kaka hiyo pesa TRC kuipata kwa kudunduliza nauli za abiria itachukua zaidi ya miaka 15.

Naomba upige hesabu vizuri. Tangu SGR waanze kubeba abiria hawajafikia hata Tsh 35b. Labda serikali kuu iwakopeshe hizo pesa. Lakini kama wao pekee hawawezi. Shirika litakufa
 
Kujenga Storage na Dry Ports Isaka, Mwanza, Uvinza/Kigoma, Tabora, Ihumwa Dodoma si chini ya Tsh 600b. Kaka hiyo pesa TRC kuipata kwa kudunduliza nauli za abiria itachukua zaidi ya miaka 15.

Naomba upige hesabu vizuri. Tangu SGR waanze kubeba abiria hawajafikia hata Tsh 35b. Labda serikali kuu iwakopeshe hizo pesa. Lakini kama wao pekee hawawezi. Shirika litakufa

Operations na running cost ya SGR DSM to DOM ni kubwa sana. Na bado kuna some final touches zinaendelea kufanyika. Ndio maana kila siku ubora wa safari una ongezeka.
Na Sasa hivi wana mpango wa kwenda full auto electric. Loco zitakuwa controlled kutoka main stations... Mifumo ya signalling Sasa Iko vizuri.
Ila bado kuna wahuni wanaiba nyaya za copper Hadi sasa. Ni changamoto kwa kweli...
 
Mimi sina hela🤣🤣🤣🤣, halafu sidhani hiyo ya private sector kama ni njema kwetu ,uwekezaji mzuri ilikuwa trc wauze hisa ila watu waweke mitaji yao hapo . Tukiruhusu private ,mtu atatoka ulaya na pesa zake then faida baadae inaenda ulaya wakati ingekuwa ni hisa faida nyingi ingebaki hapa
Bora iwe hivyo kuriko iwe kama mwendokasi
 
EAC is a political pact, ndio maana DRC wenyewe walijoin just the other day. The truth is, DRC is in central Africa geographically, not East Africa. Umesikia mnyamwezi?

Even Tanzania is a member of SADC while in real sense it's not located in southern Africa
And if you know Tanzania is located in Southern Africa and not East Africa geographically, how did you rate it as the poorest in East Africa??
Why don't we apply the same for DRC?

Huoni wewe ni sawa na ng'ombe anaetembea huku akiunyea uke wake mwenyewe??
 
Back
Top Bottom