Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Operation cost za TRC zitatoka wapi? Huo utakuwa mwanzo wa kuiua TRC
Kwa Kila taasisi ya serikali huwa kuna formula ya matumizi ambayo inajumlisha development, operation na hela inayotakiwa kurudi serikali kuu .
Sasa kwenye hii pesa ya Devo ndo nazungimzia ingetumika kufanya maboresho hayo kumbuka trc mpaka sasa hazitumii pesa inayokusanya kulipa wakandarasi wa ujenzi wa sgr
 
EAC is a political pact, ndio maana DRC wenyewe walijoin just the other day. The truth is, DRC is in central Africa geographically, not East Africa. Umesikia mnyamwezi?

Even Tanzania is a member of SADC while in real sense it's not located in southern Africa
We co-founded SADC, but you are shouting as if SADC is all about location.

You can't understand SADC more than we co-founders do.
 
Kwa Kila taasisi ya serikali huwa kuna formula ya matumizi ambayo inajumlisha development, operation na hela inayotakiwa kurudi serikali kuu .
Sasa kwenye hii pesa ya Devo ndo nazungimzia ingetumika kufanya maboresho hayo kumbuka trc mpaka sasa hazitumii pesa inayokusanya kulipa wakandarasi wa ujenzi wa sgr
Kujenga Storage na Dry Ports Isaka, Mwanza, Uvinza/Kigoma, Tabora, Ihumwa Dodoma si chini ya Tsh 600b. Kaka hiyo pesa TRC kuipata kwa kudunduliza nauli za abiria itachukua zaidi ya miaka 15.

Naomba upige hesabu vizuri. Tangu SGR waanze kubeba abiria hawajafikia hata Tsh 35b. Labda serikali kuu iwakopeshe hizo pesa. Lakini kama wao pekee hawawezi. Shirika litakufa
 
Kujenga Storage na Dry Ports Isaka, Mwanza, Uvinza/Kigoma, Tabora, Ihumwa Dodoma si chini ya Tsh 600b. Kaka hiyo pesa TRC kuipata kwa kudunduliza nauli za abiria itachukua zaidi ya miaka 15.

Naomba upige hesabu vizuri. Tangu SGR waanze kubeba abiria hawajafikia hata Tsh 35b. Labda serikali kuu iwakopeshe hizo pesa. Lakini kama wao pekee hawawezi. Shirika litakufa

Operations na running cost ya SGR DSM to DOM ni kubwa sana. Na bado kuna some final touches zinaendelea kufanyika. Ndio maana kila siku ubora wa safari una ongezeka.
Na Sasa hivi wana mpango wa kwenda full auto electric. Loco zitakuwa controlled kutoka main stations... Mifumo ya signalling Sasa Iko vizuri.
Ila bado kuna wahuni wanaiba nyaya za copper Hadi sasa. Ni changamoto kwa kweli...
 
Mimi sina hela🤣🤣🤣🤣, halafu sidhani hiyo ya private sector kama ni njema kwetu ,uwekezaji mzuri ilikuwa trc wauze hisa ila watu waweke mitaji yao hapo . Tukiruhusu private ,mtu atatoka ulaya na pesa zake then faida baadae inaenda ulaya wakati ingekuwa ni hisa faida nyingi ingebaki hapa
Bora iwe hivyo kuriko iwe kama mwendokasi
 
EAC is a political pact, ndio maana DRC wenyewe walijoin just the other day. The truth is, DRC is in central Africa geographically, not East Africa. Umesikia mnyamwezi?

Even Tanzania is a member of SADC while in real sense it's not located in southern Africa
And if you know Tanzania is located in Southern Africa and not East Africa geographically, how did you rate it as the poorest in East Africa??
Why don't we apply the same for DRC?

Huoni wewe ni sawa na ng'ombe anaetembea huku akiunyea uke wake mwenyewe??
 
Bongolala, this is one of the sources I shared here. This is World Bank X account.

View: https://x.com/WorldBank/status/1317435268614492160?t=SXKmxHAjqFIfgFSDLvq6Rw&s=19

The other source I shared here is this one

Zote ni World Bank

Hiyo Global Finance umetoa wapi wewe? Mnapenda ubishi za kijinga sana mkishabanwa kwenye hoja

Nimegundua kitu kwako.
Wakenya mnakariri hamuelewi.
Kuna utofauti wa poor country na extreme poverty within a country.
Hiyo ripoti uliyoleta wewe inaonesha idadi ya watu wanaoishi below poverty line interms of dollar.
Ila haioneshi poverty extremities kwa nchi nzima.
Tofautisha nchi masikini na idadi ya watu wanaoishi kwenye umasikini katika nchi .
Wakenya hivi elimu zenu mnasomaga shule gani?
 
Kujenga Storage na Dry Ports Isaka, Mwanza, Uvinza/Kigoma, Tabora, Ihumwa Dodoma si chini ya Tsh 600b. Kaka hiyo pesa TRC kuipata kwa kudunduliza nauli za abiria itachukua zaidi ya miaka 15.

Naomba upige hesabu vizuri. Tangu SGR waanze kubeba abiria hawajafikia hata Tsh 35b. Labda serikali kuu iwakopeshe hizo pesa. Lakini kama wao pekee hawawezi. Shirika litakufa
TPA ndio wamiliki wa bandari, siyo TRC.

Labda TRC awe mbia.

TPA wameshasema DP WORLD wamewasaudia kuokoa Billion 100 kwa mwezi, watumie pesa hizo kujenga hizo bandari kavu.
 
Kaka Tatizo Capital. Pesa ni nyingi mno zinahitajika. Yaani ujenge, reli, ununue vichwa vya treni, babehewa, Ujenge storages, Ujenge bandari kavu. Kaka hii inahitaji billions of $.
Ndo maana kasema TRC SGR iwekwe stock exchange, watu wanunue hisa huko. Wenye shares waamue jinsi ya kumake profits
Serikali isimamie uwajibikaji na kuchukua Kodi zake.

Same with UDART, Air Tanzania, TTCL nk
 
Operation cost za TRC zitatoka wapi? Huo utakuwa mwanzo wa kuiua TRC. TRC tangu ianze kubeba abiria imekusanya TSH not more than 40b. Sasa unataka utoe kiasi gani hapo ili ujenge hayo magodown?
Trc Toka ianze imekusanya zaid ya 66bil wastani wa 6.6 bil kwa mwezi , godown la tan 2000 lenye mnzani halifikii 3bil ambayo ni mauzo ya mwezi mmoja , kwa sasa mishahara ya watumishi wa trc bado inatoka serikali kuu ( haihusiani ) na opareshen cost za sasa.
Magodown kwa sasa ni muhimu kwa ajili ya kukuza mzigo wa trc
 
Kujenga Storage na Dry Ports Isaka, Mwanza, Uvinza/Kigoma, Tabora, Ihumwa Dodoma si chini ya Tsh 600b. Kaka hiyo pesa TRC kuipata kwa kudunduliza nauli za abiria itachukua zaidi ya miaka 15.

Naomba upige hesabu vizuri. Tangu SGR waanze kubeba abiria hawajafikia hata Tsh 35b. Labda serikali kuu iwakopeshe hizo pesa. Lakini kama wao pekee hawawezi. Shirika litakufa
Kaka hiyo storage ya bil 600 ni yako , kiukweli ujenzi wa godown la tan 2000 haiwezi zid bil 3 , fuatilia magodown yaliyojengwa na nfra chini ya usimamizi wa halmashauri. Wizara ya kilimo walitoa bil 3 kwa magodown ya tan 2000 na total bajet haikufika hata bili 100 kwa nchi nzima , sasa iweje tufike bil 600 kwa sehu tatu ( kumbuka haya magodown yalikuwa chini ya halmashauri) .
Shule itayojengwa na halmashauri kwa mil 700 ilijengwa na wizara ya elimu itakuwa bil 5 Fanya investigation
 
Operations na running cost ya SGR DSM to DOM ni kubwa sana. Na bado kuna some final touches zinaendelea kufanyika. Ndio maana kila siku ubora wa safari una ongezeka.
Na Sasa hivi wana mpango wa kwenda full auto electric. Loco zitakuwa controlled kutoka main stations... Mifumo ya signalling Sasa Iko vizuri.
Ila bado kuna wahuni wanaiba nyaya za copper Hadi sasa. Ni changamoto kwa kweli...
Wafunge CCTV reli nzima. Mtu akikamatwa afungiwe maisha na kuwa shamed in public

Kwa comments za baadhi ya watu kuhusu hii SGR hawashindwi kuisabotage.
 
Back
Top Bottom