Ambitious Joh
Senior Member
- Mar 20, 2023
- 184
- 443
Didn't you see DRC??Don't you know how to read?View attachment 3403376
Don't you know DRC is in our region?
Au unafikiri kwa kutumia madako??
Didn't you see DRC??Don't you know how to read?View attachment 3403376
Is DRC in East Africa geographically?Didn't you see DRC??
Don't you know DRC is in our region?
Au unafikiri kwa kutumia madako??
DRC is one of the members of the East African CommunityIs DRC in East Africa geographically?
EAC is a political pact, ndio maana DRC wenyewe walijoin just the other day. The truth is, DRC is in central Africa geographically, not East Africa. Umesikia mnyamwezi?DRC is one of the members of the East African Community
Hujaelewa pesa ya sgr haitumiki kujenga sgr bali ni pesa inayotoka serikali kuu, nachozungumzia Ile pesa ya abiria ijenge magodownna miundombinu mingine ambayo sio ya hela nyingiDuh!! Pesa ya Abiria itumike kutengeneza SGR!!? Kaka haupo serious. Tawi la kutoka Tabora kwenda Katavi mpaka Bandarini linahitaji pesa nyingi. SGR kwa sasa hata robo ya network yote bado.
Waache wataalam wafanye kazi zao
Operation cost za TRC zitatoka wapi? Huo utakuwa mwanzo wa kuiua TRC. TRC tangu ianze kubeba abiria imekusanya TSH not more than 40b. Sasa unataka utoe kiasi gani hapo ili ujenge hayo magodown?Hujaelewa pesa ya sgr haitumiki kujenga sgr bali ni pesa inayotoka serikali kuu, nachozungumzia Ile pesa ya abiria ijenge magodownna miundombinu mingine ambayo sio ya hela nyingi
Kwa Kila taasisi ya serikali huwa kuna formula ya matumizi ambayo inajumlisha development, operation na hela inayotakiwa kurudi serikali kuu .Operation cost za TRC zitatoka wapi? Huo utakuwa mwanzo wa kuiua TRC
We co-founded SADC, but you are shouting as if SADC is all about location.EAC is a political pact, ndio maana DRC wenyewe walijoin just the other day. The truth is, DRC is in central Africa geographically, not East Africa. Umesikia mnyamwezi?
Even Tanzania is a member of SADC while in real sense it's not located in southern Africa
Kujenga Storage na Dry Ports Isaka, Mwanza, Uvinza/Kigoma, Tabora, Ihumwa Dodoma si chini ya Tsh 600b. Kaka hiyo pesa TRC kuipata kwa kudunduliza nauli za abiria itachukua zaidi ya miaka 15.Kwa Kila taasisi ya serikali huwa kuna formula ya matumizi ambayo inajumlisha development, operation na hela inayotakiwa kurudi serikali kuu .
Sasa kwenye hii pesa ya Devo ndo nazungimzia ingetumika kufanya maboresho hayo kumbuka trc mpaka sasa hazitumii pesa inayokusanya kulipa wakandarasi wa ujenzi wa sgr
View: https://x.com/KipepeComrade/status/1740441606082466242
Unaona huyu dogo alivyo Lofa?
Geza Ulole
Kujenga Storage na Dry Ports Isaka, Mwanza, Uvinza/Kigoma, Tabora, Ihumwa Dodoma si chini ya Tsh 600b. Kaka hiyo pesa TRC kuipata kwa kudunduliza nauli za abiria itachukua zaidi ya miaka 15.
Naomba upige hesabu vizuri. Tangu SGR waanze kubeba abiria hawajafikia hata Tsh 35b. Labda serikali kuu iwakopeshe hizo pesa. Lakini kama wao pekee hawawezi. Shirika litakufa
Ukiambiwa hayuko Qatar Airways unaweza ukabisha 😁Tanzania bus hostess. Huko Kenya ni vicheko. Dunia yote inajua vitu vyote vizuri vinatoka Tanzania.
Kenya yanatoka magimbi ya wanawake.
Tilisho Safaris
View attachment 3403059
Bora iwe hivyo kuriko iwe kama mwendokasiMimi sina hela🤣🤣🤣🤣, halafu sidhani hiyo ya private sector kama ni njema kwetu ,uwekezaji mzuri ilikuwa trc wauze hisa ila watu waweke mitaji yao hapo . Tukiruhusu private ,mtu atatoka ulaya na pesa zake then faida baadae inaenda ulaya wakati ingekuwa ni hisa faida nyingi ingebaki hapa
And if you know Tanzania is located in Southern Africa and not East Africa geographically, how did you rate it as the poorest in East Africa??EAC is a political pact, ndio maana DRC wenyewe walijoin just the other day. The truth is, DRC is in central Africa geographically, not East Africa. Umesikia mnyamwezi?
Even Tanzania is a member of SADC while in real sense it's not located in southern Africa