Kwanza hakuna anayesema mizigo hailipi ila nimechokuelekeza kuwa hata tukisema usimamie abiria vizuri kwa sasa Inaweza lipa zaid unavyofikiria, inahitaji kupata watu sahihi wakufanya hiyo kazi.
Tuliwahi sema hivyo hata kipindi Cha ttcl ambayo baadae ilikuwa ikazaaa Zain Africa( mtaji ulipatikana ttcl) na watu kama nyinyi walipinga kabisa kuwa simu haziwezi leta faida matokeo yake Zain ikapata mtaji huku ttcl ikifirisika
Hakuna anayetaka kuonekana anakili ila wewe unashindwa kuiweka uccm wako pembeni
Sio hisi inatakiwa ufikirie nje comfort zone.
Hebu soma tare weight ya hayo mabehewa ni ngapi. Ukipata tare weight ya 120 najitla jf.
Tare weight is the weight of an empty container or vehicle, excluding any cargo or payload. It's essentially the weight of the packaging, container, or transportation device itself. Knowing the tare weight is essential for accurately calculating the net weight of goods being shipped or transported.
Acha uchawa kwanza