Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndo maana kasema TRC SGR iwekwe stock exchange, watu wanunue hisa huko. Wenye shares waamue jinsi ya kumake profits
Serikali isimamie uwajibikaji na kuchukua Kodi zake.

Same with UDART, Air Tanzania, TTCL nk
The moment trc itaanza kumilikiwa kwa mfumo wa hisa maanaa yake ni kampuni binafsi, hainaa maana tenaa ni bora kampuni binafsi zije na mabehwa yao wachaji premium ili kuleta ushindanii
 
Unaropoka. Uwezo wako upo chini ya kiwango. Nimekudharau kuanzia leo. Wewe ni hopeless. Hakuna ushahidi wowote umeweka. Huna tofauti na Teargass anayeishi kwenye UTOPIA.

Umri wako kwanza ni miaka mingapi? Nisije kuwa najadili na katoto kadogo. Kwikwikwi.
Tatizo lako ni uchawa , hufikirii nje ya box,
 
Weka huo ushahidi MGR ya Tanzania ikivuta hizo behewa 100. Unaandika matapu tapu. kwikwikwikwi
Bro mzee wangu anafanya kazi relini na hilo pia nalifahamu.
Anachosema bro ni ukweli,Mgr inaweza kuvuta behewa nyingi ukiongezea engine ya kuvuta,usibishe embu jaribu kupanua ubongo kidogo kuruhusu mawazo mapya kaka.
 
Kwanza hakuna anayesema mizigo hailipi ila nimechokuelekeza kuwa hata tukisema usimamie abiria vizuri kwa sasa Inaweza lipa zaid unavyofikiria, inahitaji kupata watu sahihi wakufanya hiyo kazi.
Tuliwahi sema hivyo hata kipindi Cha ttcl ambayo baadae ilikuwa ikazaaa Zain Africa( mtaji ulipatikana ttcl) na watu kama nyinyi walipinga kabisa kuwa simu haziwezi leta faida matokeo yake Zain ikapata mtaji huku ttcl ikifirisika

Hakuna anayetaka kuonekana anakili ila wewe unashindwa kuiweka uccm wako pembeni

Sio hisi inatakiwa ufikirie nje comfort zone.

Hebu soma tare weight ya hayo mabehewa ni ngapi. Ukipata tare weight ya 120 najitla jf.
Tare weight is the weight of an empty container or vehicle, excluding any cargo or payload. It's essentially the weight of the packaging, container, or transportation device itself. Knowing the tare weight is essential for accurately calculating the net weight of goods being shipped or transported.

Acha uchawa kwanza
Mkuu maelezo yako yameeleweka sana hususan sehemu mbili.
Kwanza mahesabu ya abiria na mizigo,HUWEZI ukasema unapakia na kupakua mizigo Kila siku hapana huo ni uongo.
Kuna siku mizigo itakua haipo na pia Kuna duration ya kupakia na kupakua mizigo utakapoufikisha.
Ilhali treni ya abiria inaweza ikapiga go and return hata mara tatu nne na ya mizigo haijafanya hivyo.
Kama treni ya abiria ikasimamiwa ipasavyo basi italeta faida pia sana tu,mbona hilo tunaliona hata kwa shirika la reli la China?
China Ina wasafiri wengi sana hususan kwa njia ya reli na shirika linaingiza faida vizuri tu.


Pia ni sahihi mgr Ina uwezo wa kuvuta mzigo mkubwa kama ikaunganishwa engine zaidi ya moja kupata kusapotiana hilo lipo na linawezekana japo mwendo hautakuwa WA haraka kiasi hicho.
Maelezo yako yameeleweka sana Wala hata sio kidogo.
 
Bro mzee wangu anafanya kazi relini na hilo pia nalifahamu.
Anachosema bro ni ukweli,Mgr inaweza kuvuta behewa nyingi ukiongezea engine ya kuvuta,usibishe embu jaribu kupanua ubongo kidogo kuruhusu mawazo mapya kaka.
Issue siyo engine. Mambo mnaongea too theories. Siyo ukweli. Unapotoshwa na wewe unakubali.

Weka ushahidi hapa mgr ikivuta mabehewa 100. Huu ujinga mnapotosha watu.

Very stupid thinking. Watu kama nyie mkipewa nafasi mnalitia hasara taifa.
 
Usilazimishe ujinga wako ukawa ukweli. Hakuna cha nje ya box, kinachokusumbua ni ujinga na hutaki kujifunza. Kubali kueleweshwa na watu wanaojua.
Ndo maana nakuambia hakuna unalojua umestick kwa ulichoambiwa na kusikia ,.

Bro mzee wangu anafanya kazi relini na hilo pia nalifahamu.
Anachosema bro ni ukweli,Mgr inaweza kuvuta behewa nyingi ukiongezea engine ya kuvuta,usibishe embu jaribu kupanua ubongo kidogo kuruhusu mawazo mapya kaka.
Huyu kakariri kuwa mgr haiwezi beba zaid hizo behewa tajwa au kwa akili yake anadhani hata hiyo sgr itaweza beba mzigo wa tan 10,000 kwa kichwa kimoja tu🤣🤣🤣🤣🤣
 
Issue siyo engine. Mambo mnaongea too theories. Siyo ukweli. Unapotoshwa na wewe unakubali.

Weka ushahidi hapa mgr ikivuta mabehewa 100. Huu ujinga mnapotosha watu.

Very stupid thinking. Watu kama nyie mkipewa nafasi mnalitia hasara taifa.
Broo unazingua unajifanya unajua mzee kumbe huna unachojua.
Kitu kutokufanyika haimaanishi haiwezekani mzee acha ubishi wa kipumbavu.
Mie nimesoma chuo Cha reli kitengo Cha usafirishaji na hilo lipo.
Una uwezo wa kuunganisha engine zikawa hadi nne na zikavuta mzigo mkubwa kama unaousemea ama kuisaidia treni ipande mlima.
Haimaanishi kisa hilo halijafanyika basi haliwezekani.
Bro usijifanye unajua aisee kubali kupanua kichwa hiko.
 
Ndo maana nakuambia hakuna unalojua umestick kwa ulichoambiwa na kusikia ,.


Huyu kakariri kuwa mgr haiwezi beba zaid hizo behewa tajwa au kwa akili yake anadhani hata hiyo sgr itaweza beba mzigo wa tan 10,000 kwa kichwa kimoja tu🤣🤣🤣🤣🤣
Pale Tabora chuo cha reli tumeyasoma haya wala hujaongopa.
Ila jamaa anaona kisa halijafanyika basi haliwezekaniki.
 
Mkuu maelezo yako yameeleweka sana hususan sehemu mbili.
Kwanza mahesabu ya abiria na mizigo,HUWEZI ukasema unapakia na kupakua mizigo Kila siku hapana huo ni uongo.
Kuna siku mizigo itakua haipo na pia Kuna duration ya kupakia na kupakua mizigo utakapoufikisha.
Ilhali treni ya abiria inaweza ikapiga go and return hata mara tatu nne na ya mizigo haijafanya hivyo.
Kama treni ya abiria ikasimamiwa ipasavyo basi italeta faida pia sana tu,mbona hilo tunaliona hata kwa shirika la reli la China?
China Ina wasafiri wengi sana hususan kwa njia ya reli na shirika linaingiza faida vizuri tu.


Pia ni sahihi mgr Ina uwezo wa kuvuta mzigo mkubwa kama ikaunganishwa engine zaidi ya moja kupata kusapotiana hilo lipo na linawezekana japo mwendo hautakuwa WA haraka kiasi hicho.
Maelezo yako yameeleweka sana Wala hata sio kidogo.
Kama hapa mnaongea nadharia tu na si uhalisia. Hebu ngoja nikuchanganulie mambo kitaalamu ili uweze kuelewa.

1. Kuhusu treni za Abiria​

Ni kweli kwamba treni za abiria zinaweza kuwa na faida, hasa kwa mifumo yenye idadi kubwa ya abiria (high ridership) kama China, India, au Japan.

KipengeleMaelezo
Demand ya abiriaIdadi ya wasafiri ni ndogo ukilinganisha na nchi kama China – mizigo huleta kipato kikubwa zaidi.
Operating costTreni za abiria zinahitaji huduma zaidi (vyakula, wafanyakazi, usafi, ratiba nyingi) na mara nyingi hazijitoshelezi kipesa bila ruzuku ya serikali.
China vs TanzaniaChina ina idadi ya watu 1.4B+, viwanda vingi, na urbanization kubwa – Tanzania bado ni nchi ya kati kwa kipato na idadi ya watu.
Mizigo hulipa zaidiTreni moja ya mizigo inaweza kubeba tani 1,000–7,000 kwa safari moja – ikilinganishwa na treni ya abiria yenye watu 500–1000.

2. Uwezo wa MGR Kuvuta Mizigo Mikubwa kwa Kuongeza Injini​

kiufundi inawezekana kuongeza injini zaidi ya moja kwenye MGR (“multiple locomotives”) ili kuvuta mzigo mkubwa zaidi.
KipengeleMaelezo
Axle Load ndogoMGR ya Tanzania ina axle load ya takriban 16 tons/axle tu. Hii ina maana uwezo wa kubeba mizigo mikubwa ni mdogo ukilinganisha na SGR yenye 35 tons/axle.
Urefu wa loops na sidingsStesheni nyingi za MGR zina urefu wa kupishana (loops) mdogo – haziwezi kushughulikia treni ndefu (ya wagons 100+).
Nguvu ya reli yenyeweMiundombinu ya reli (ballast, sleepers, curves, gradients) ya MGR haijabuniwa kwa treni ndefu na nzito – husababisha hatari ya derailment au uchakavu wa mapema.
Muda wa kuunganisha injiniKuendesha injini nyingi inahitaji mfumo wa mawasiliano, udhibiti wa nguvu (traction control) na injini kufanana – changamoto kwa mabehewa ya zamani ya MGR.

1. MGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro na Tabora) – treni ndefu hupata matatizo ya braking, coupling stress, na kusababisha derailment.

2. Hakuna mfumo wa kisasa wa DPU (Distributed Power Units) wa kuratibu injini mbele, katikati na nyuma kama SGR au reli za Marekani.

3. Treni ndefu zinahitaji braking system yenye akili – MGR ya Tanzania ina mfumo wa zamani (pneumatic brakes) ambao huchelewa kuhimili treni ndefu.


KAMA HAUTAELEWA NA HAPA BASI MNALETA UBISHANI USIO NA MAANA

 
Broo unazingua unajifanya unajua mzee kumbe huna unachojua.
Kitu kutokufanyika haimaanishi haiwezekani mzee acha ubishi wa kipumbavu.
Mie nimesoma chuo Cha reli kitengo Cha usafirishaji na hilo lipo.
Una uwezo wa kuunganisha engine zikawa hadi nne na zikavuta mzigo mkubwa kama unaousemea ama kuisaidia treni ipande mlima.
Haimaanishi kisa hilo halijafanyika basi haliwezekani.
Bro usijifanye unajua aisee kubali kupanua kichwa hiko.
Braza umesoma nadharia. Tunaongelea MGR ya Tanzania siyo any MGR
MGR ya Tanzania katika hali yake ya sasa haiwezi kufanya hilo kwa ufanisi, usalama, na kwa mnyororo wa operesheni wa kila siku.

Mawazo yako yapo kwenye nadharia zaidi, Je, Miundombinu ya MGR Tanzania Iko Tayari? jibu ni HAPANA

KipengeleHali halisi ya MGR Tanzania
Axle LoadNi ndogo (16–18 tons/axle), ukilinganisha na reli za uwezo mkubwa (SGR 35 t/axle)
Urefu wa vituo (loops)Passing loops nyingi ni fupi – haziwezi kupokea treni ya wagons 100
Braking SystemNi ya zamani (pneumatic) – haifanyi kazi salama kwa treni ndefu sana
Mteremko na curvesMGR ina kona nyingi na milima (hasa kati ya Morogoro–Tabora) – inahitaji traction control ya kisasa
Haijasanifiwa kwa DPUDistributed Power Unit (injini mbele, katikati, nyuma) haipo kwenye MGR yetu – hii ni teknolojia muhimu kwa treni ndefu.

Kwa hivyo, hata kama ki teknolojia inawezekana lakini miundombinu yetu ya sasa haiiungi mkono hilo.

Ndiyo, unaweza kuongeza injini hadi nne. Lakini hilo linafanyika kwa mazingira maalum ya miundombinu iliyosanifiwa kufanya hivyo. MGR ya Tanzania kwa sasa haijajengwa wala kujiandaa kuvuta mabehewa 100 kwa usalama na ufanisi wa kiuchumi.
 
Back
Top Bottom