Kaka TRC does not own dry ports. Kazi ya kulinda na kujua mizigo kwenye dry ports ni ya TPA. Kwanza unatakiwa ujifunze
Value chain ndio uelewe ninachokiongea. Kazi unazotaka zifanywe na TRC ni za TPA. Tayari TPA wapo wanaendelea na ujenzi wa hizo dry ports. Na kutakuwa na storages hizo unazotaka.
Zingine zitakuwa za watu binafsi watapewa maeneo.
Check hapa kaka:
| Sehemu | Kielezo |
|---|
| Dry port – Dodoma | Ilhumwa – node ya reli SGR, kusaidia kusambaza mzigo ndani |
| Dry port – Mwanza | Fela – kusaidia usafirishaji Ziwa Victoria & Uganda |
| Dry port – Kigoma | Katosho – kuhifadhi & kuagiza/kupeleka kwa Ziwa Tanganyika |
| Dry port – Dar | Kurasini – kuongeza uwezo wa warehousing bandari |
| Transit hub – Shinyanga | Isaka – transit kwa mizigo inayoelekea mikoa ya kati |
| Kigoma Port | Maboresho ya miundombinu kwa mzigo wa reli |
| Karema Port | Port mpya Ziwa Tanganyika – mradi kwa msaada wa binafsi |
| Cold storage | Kurasini/Ubungo – kuhifadhi mazao ya kilimo yenye joto maalum |