Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bongolala, this is one of the sources I shared here. This is World Bank X account.

View: https://x.com/WorldBank/status/1317435268614492160?t=SXKmxHAjqFIfgFSDLvq6Rw&s=19

The other source I shared here is this one

Zote ni World Bank

Hiyo Global Finance umetoa wapi wewe? Mnapenda ubishi za kijinga sana mkishabanwa kwenye hoja

Nimegundua kitu kwako.
Wakenya mnakariri hamuelewi.
Kuna utofauti wa poor country na extreme poverty within a country.
Hiyo ripoti uliyoleta wewe inaonesha idadi ya watu wanaoishi below poverty line interms of dollar.
Ila haioneshi poverty extremities kwa nchi nzima.
Tofautisha nchi masikini na idadi ya watu wanaoishi kwenye umasikini katika nchi .
Wakenya hivi elimu zenu mnasomaga shule gani?
 
Kujenga Storage na Dry Ports Isaka, Mwanza, Uvinza/Kigoma, Tabora, Ihumwa Dodoma si chini ya Tsh 600b. Kaka hiyo pesa TRC kuipata kwa kudunduliza nauli za abiria itachukua zaidi ya miaka 15.

Naomba upige hesabu vizuri. Tangu SGR waanze kubeba abiria hawajafikia hata Tsh 35b. Labda serikali kuu iwakopeshe hizo pesa. Lakini kama wao pekee hawawezi. Shirika litakufa
TPA ndio wamiliki wa bandari, siyo TRC.

Labda TRC awe mbia.

TPA wameshasema DP WORLD wamewasaudia kuokoa Billion 100 kwa mwezi, watumie pesa hizo kujenga hizo bandari kavu.
 
Kaka Tatizo Capital. Pesa ni nyingi mno zinahitajika. Yaani ujenge, reli, ununue vichwa vya treni, babehewa, Ujenge storages, Ujenge bandari kavu. Kaka hii inahitaji billions of $.
Ndo maana kasema TRC SGR iwekwe stock exchange, watu wanunue hisa huko. Wenye shares waamue jinsi ya kumake profits
Serikali isimamie uwajibikaji na kuchukua Kodi zake.

Same with UDART, Air Tanzania, TTCL nk
 
Operation cost za TRC zitatoka wapi? Huo utakuwa mwanzo wa kuiua TRC. TRC tangu ianze kubeba abiria imekusanya TSH not more than 40b. Sasa unataka utoe kiasi gani hapo ili ujenge hayo magodown?
Trc Toka ianze imekusanya zaid ya 66bil wastani wa 6.6 bil kwa mwezi , godown la tan 2000 lenye mnzani halifikii 3bil ambayo ni mauzo ya mwezi mmoja , kwa sasa mishahara ya watumishi wa trc bado inatoka serikali kuu ( haihusiani ) na opareshen cost za sasa.
Magodown kwa sasa ni muhimu kwa ajili ya kukuza mzigo wa trc
 
Kujenga Storage na Dry Ports Isaka, Mwanza, Uvinza/Kigoma, Tabora, Ihumwa Dodoma si chini ya Tsh 600b. Kaka hiyo pesa TRC kuipata kwa kudunduliza nauli za abiria itachukua zaidi ya miaka 15.

Naomba upige hesabu vizuri. Tangu SGR waanze kubeba abiria hawajafikia hata Tsh 35b. Labda serikali kuu iwakopeshe hizo pesa. Lakini kama wao pekee hawawezi. Shirika litakufa
Kaka hiyo storage ya bil 600 ni yako , kiukweli ujenzi wa godown la tan 2000 haiwezi zid bil 3 , fuatilia magodown yaliyojengwa na nfra chini ya usimamizi wa halmashauri. Wizara ya kilimo walitoa bil 3 kwa magodown ya tan 2000 na total bajet haikufika hata bili 100 kwa nchi nzima , sasa iweje tufike bil 600 kwa sehu tatu ( kumbuka haya magodown yalikuwa chini ya halmashauri) .
Shule itayojengwa na halmashauri kwa mil 700 ilijengwa na wizara ya elimu itakuwa bil 5 Fanya investigation
 
Operations na running cost ya SGR DSM to DOM ni kubwa sana. Na bado kuna some final touches zinaendelea kufanyika. Ndio maana kila siku ubora wa safari una ongezeka.
Na Sasa hivi wana mpango wa kwenda full auto electric. Loco zitakuwa controlled kutoka main stations... Mifumo ya signalling Sasa Iko vizuri.
Ila bado kuna wahuni wanaiba nyaya za copper Hadi sasa. Ni changamoto kwa kweli...
Wafunge CCTV reli nzima. Mtu akikamatwa afungiwe maisha na kuwa shamed in public

Kwa comments za baadhi ya watu kuhusu hii SGR hawashindwi kuisabotage.
 
Ndo maana kasema TRC SGR iwekwe stock exchange, watu wanunue hisa huko. Wenye shares waamue jinsi ya kumake profits
Serikali isimamie uwajibikaji na kuchukua Kodi zake.

Same with UDART, Air Tanzania, TTCL nk
Ndio nachomaanisha trc iuze hisa ili kupata mtaji na pia mtendaji mkuu awe anateuliwa na wanahisa tu na sio ategemee uteuzi kama crdb na nmb
 
Mkundu wako, hujui how airlines operate, ni kwasababu hujawahi kupanda ndege. Ndege yeyote ikitoka popote lazima itue nyumbani then inawa disperse abiria sehemu tofauti tofauti. Kwa mfano kama abiria atatumia air Tanzania (TC) from Mumbai to DRC, lazima aje Dar kwanza then ndiyo apelekwe Congo. Hujawahi kupanda ndege that's why uko layman.
Kuwa watchman kwa airport haimaanishi umepanda ndege.
 
Operations na running cost ya SGR DSM to DOM ni kubwa sana. Na bado kuna some final touches zinaendelea kufanyika. Ndio maana kila siku ubora wa safari una ongezeka.
Na Sasa hivi wana mpango wa kwenda full auto electric. Loco zitakuwa controlled kutoka main stations... Mifumo ya signalling Sasa Iko vizuri.
Ila bado kuna wahuni wanaiba nyaya za copper Hadi sasa. Ni changamoto kwa kweli...
Operation cost sio kubwa sana ila trc kwa sababu ya ufisadi wanazifanya ziwe kubwa. Mfano tu badala ya kuwa na wahudumu wa mapokezi na wakuelekeza upandaji , wenyewe wameweka wahudumu wa kuuza korosho za 2000 ambazo unakuta mhudumu akishauza korosho mbili za 4000 anatulia zake akisubiria mshahara, kumbuka hao wahudumu Wana posho ambayo hailingani na wamachozalisha. Ingependeza Kila mhudumu alipwe kwa anachoingiza na akabidhiwe behewa kama ilivyo kwa mabasi na nauli ipande kulingana na jinsi abiria wanavyopenda huduma za mhudumu wa behewa husika.
 
Hakuna gharama ya uendeshaji wa trc bali wanalazimisha uonekane ni gharama , fikiria kukodi behewa la tan 40 mpaka dom ni 2.5mil kwa mizigo ila haya mabehewa hurud empty ila ukienda kwenye abiria hasa economy ni walau 2.7 na huwa haliridi empty , na tukisema basi limejaza kwa 70% go and return ni 3,822,000 . Hapo kuna dereva 1, mhudumu 1, mkata ticket 4 na nyongeza ya wahudumu wa ziada 10 kwa Kila behewa kwa kadirio la juu sana , gharama ya umeme ni nusu ya diesel .
Kama ishawahi Fanya kazi kwenye taasisi ya serikali gharama huwa zinaongezwa
 
Bongolala, I don't work at World Bank neither do I know anyone who works there. World Bank produced this data for public consumption. If it pains you so much, waandikie barua uwaambie kwamba taarifa yao siyo sahihi. Hii kelele unapiga hapa will not change anything about WB mentioning Tanzania in that report of shame!
Screenshot_20250602-085020.png

Ww kunyalazy bado nasubiri picha ulizosema
 
Hakuna gharama ya uendeshaji wa trc bali wanalazimisha uonekane ni gharama , fikiria kukodi behewa la tan 40 mpaka dom ni 2.5mil kwa mizigo ila haya mabehewa hurud empty ila ukienda kwenye abiria hasa economy ni walau 2.7 na huwa haliridi empty , na tukisema basi limejaza kwa 70% go and return ni 3,822,000 . Hapo kuna dereva 1, mhudumu 1, mkata ticket 4 na nyongeza ya wahudumu wa ziada 10 kwa Kila behewa kwa kadirio la juu sana , gharama ya umeme ni nusu ya diesel .
Kama ishawahi Fanya kazi kwenye taasisi ya serikali gharama huwa zinaongezwa
Brother unaongea theories, unless upo na ajenda tofauti. Kwahiyo operation cost ya SGR ni zero?

Treni ndiyo zimeanza kufanya kazi tu, kutoka Dar kwenda Dodoma.

Investment ya reli siyo kama investment ya uuzaji wa nyanya. Storages zitajengwa na watu wengine. Wacha TRC ifanye jukumu lake mama la usafirishaji.


Mfano hapo Kwala, Rwanda na Burundi wamejenga maeneo yao.

Hata huko kwingine watajenga private sectors.

Pesa za mapato ya SGR gawio litaingizwa kwenye mfuko mkuu wa serikali kwaajili ya kufanikisha ujenzi wa SGR matawi mengine kama Kutoka Tanga - Arusha - Musoma.

Dar - Korogwe. Mtwara - Mbamba bay.

Na treni zingine za kwenye majiji makubwa.

Yaani vipesa vidogo hivyo vya nauli za abiria zitumike kufanya investment kubwa? SGR watajiendesha na nini? TRC ni shirika linatakiwa wafanyakazi wake walipwe mshahara TRC siyo serikali kuu

Hizo mentality zako hizo ndizo zimetufanya tukashindwa kuendelea.
 
Why are you always bitter over Kenya?
Tukiwaambia Wasauzi hawampendi kisa mmepeleka tabia zenu mbovu huko mnatuita wabaya.
Hao Wasouth upendo wao kwetu unatuongezea or kutupunguzia nini hasa?
And again, unless you are irredeemably stupid, their hate has nothing to do na hizo tabia mbovu, no one is perfect.
 
Back
Top Bottom