Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yap hata hiyo imejaa vizuri pili badala ya kuhangaika iishie Dodoma , wachukue mizigo ya mpaka mwanza na kigoma. Sgr inakuwa inaishia Dom then mizigo inakuwa inahamishiwa kwenye mgr hapa tutaupiga bao , ebu trc watatutafute tuwape ma idea hii reli inatakiwa ituweke busy kuanzia wa malori mpaka madalali , tukiisimamia vizur wa malori watapata kazi na sgr itafanya kazi kwa ufasaha
TRC wamesharuhusu Private Sectors, Just book apoitment ili ufanye uwekezaji kaka.
 
TRC wamesharuhusu Private Sectors, Just book apoitment ili ufanye uwekezaji kaka.
Mimi sina hela🤣🤣🤣🤣, halafu sidhani hiyo ya private sector kama ni njema kwetu ,uwekezaji mzuri ilikuwa trc wauze hisa ila watu waweke mitaji yao hapo . Tukiruhusu private ,mtu atatoka ulaya na pesa zake then faida baadae inaenda ulaya wakati ingekuwa ni hisa faida nyingi ingebaki hapa
 
Do you even know Tanzania joined the middle income countries in 2020?? Do you know it was almost 60 years old by then?? Au unajitoa akili tukuunge group ya milembe hospital
Joining the league of middle income countries has nothing to with poverty rates in a country. Middle income deals with the gross national income of a country per capita.

A country's poverty rates or index, on the other hand, is the percentage of a population who have incomes falling below that specific country's poverty line.

Don't confuse poverty index and MIC.
 
What you write is only in your imagination. It has no truth. You really wish it were so, but unfortunately it is not so. Pole Kunywa maji mengi kabisa utulize moyo wako.
Only in my imagination?

Is Tanzania not 60 years old?
 
View attachment 3403263
We maku acha ufala,onyesha hayo maeneo sio unajiongelesha kama choko
Ndio maana niwaambianga Kila siku hapa kwamba mpo desperate.

Hii rudisha India kijana wa Tandale
IMG_20250712_161804.jpg
 
Mimi sina hela🤣🤣🤣🤣, halafu sidhani hiyo ya private sector kama ni njema kwetu ,uwekezaji mazuri ilikuwa trc wauze hisa ila watu waweke mitaji yao hapo . Tukiruhusu private ,mtu atatoka ulaya na pesa zake then faida baadae inaenda ulaya wakati ingekuwa ni hisa faida nyingi ingebaki hapa
Kaka dunia sasa hivi ni open. Mnyororo wa Reli ni mkubwa sana.Sasa hivi wachina watajenga Meli nne ziwa tanganyika kila moja ina uwezo wa kubeba tani 60,000 kwa mwezi

Private Sctor wanakuwa na sehemu yao. Serikali pekee haitaweza kubeba mizigo yote kutoka DRC. Hata upande wa Storage Private Sctors wanaruhusiwa kujenga. DP World wapo na mpango wa kujenga hizo Storages. Huko Kurasini wanajenga Storage ya Perishable goods. Maua, Nyama, Parachichi nk.

Tupo kwenye positive moves.
 
Only in my imagination?

Is Tanzania not 60 years old?
Tanzania inaenda kwa utaratibu mdogo wangu. From the 1950s to the 2000s, Tanzania was involved in the African liberation war. Ukombozi total wa Angola ulikuwa 4 April 2002. Ni kama miaka 15 tu Tanzania imeacha kuzisaidia nchi za kiafrika.

Sasa hivi tupo kwenye Phase II Economic liberation, wakenya hamtajua chochote, maana nyie ni vipofu.
 
Kaka dunia sasa hivi ni open. Mnyororo wa Reli ni mkubwa sana.Sasa hivi wachina watajenga Meli nne ziwa tanganyika kila moja ina uwezo wa kubeba tani 60,000 kwa mwezi

Private Sctor wanakuwa na sehemu yao. Serikali pekee haitaweza kubeba mizigo yote kutoka DRC. Hata upande wa Storage Private Sctors wanaruhusiwa kujenga. DP World wapo na mpango wa kujenga hizo Storages. Huko Kurasini wanajenga Storage ya Perishable goods. Maua, Nyama, Parachichi nk.

Tupo kwenye positive moves.
Kaka sipingi private sector ila trc Inaweza kufanya yote hayo mpaka mkabaki kushangaaa issue ni kuwa watoke kwenye comfort zone tu.
 
Kaka sipingi private sector ila trc Inaweza kufanya yote hayo mpaka mkabaki kushangaaa issue ni kuwa watoke kwenye comfort zone tu.
Kaka Tatizo Capital. Pesa ni nyingi mno zinahitajika. Yaani ujenge, reli, ununue vichwa vya treni, babehewa, Ujenge storages, Ujenge bandari kavu. Kaka hii inahitaji billions of $.
 
Joining the league of middle income countries has nothing to with poverty rates in a country. Middle income deals with the gross national income of a country per capita.

A country's poverty rates or index, on the other hand, is the percentage of a population who have incomes falling below that specific country's poverty line.

Don't confuse poverty index and MIC.



Tanzania has never been poor in the region, and that will never happen bro. Where is South Sudan, Burundi and DRC??
Can't you use your common sense bro? Huu ujinga ndo mnafundishwa huko Nyeri?
 

View attachment 3403183


View: https://x.com/WorldBank/status/1317435268614492160?t=Et3gkwOjOjcN8rWLmH_tJw&s=19

Hizi data ulizoleta zilifanyiwa kazi kuanzia mwaka 2011 mpaka zinakuja kua published mwaka 2020 sasa unakataa nini we kilaza wa Kericho?
 
Huku mimi ni Member.

1752329360337.png


🤩🎼 The Russian House in Dar es Salaam invites adults and chilren to the Gala Concert of the 8th International Festival of Russian Children Song "CHIRIKU"!

🎤👩‍🎤👨‍🎤You will hear popular Soviet and Russian children's songs performed by our participants (different Musical Schools, Tanzanian Philarmonic Society, Art associations, music lovers, Tanzanian children and adults who are learning Russian language and others).

✅On Saturday, 12th of July at 4 pm
✅At the Russian House in Dar es Salaam

🤩 Welcome!

❗️Free entrance

For more information: Tel:+255222136578
Email: rtcctanzania@gmail.com
Our address: Sea View Road, House No. 1
 
Tanzania inaenda kwa utaratibu mdogo wangu. From the 1950s to the 2000s, Tanzania was involved in the African liberation war. Ukombozi total wa Angola ulikuwa 4 April 2002. Ni kama miaka 15 tu Tanzania imeacha kuzisaidia nchi za kiafrika.

Sasa hivi tupo kwenye Phase II Economic liberation, wakenya hamtajua chochote, maana nyie ni vipofu.
Bla bla bla blah....
Eti ukombozi! Ukombozi kitu gani wakati hata nyinyi wenyewe mlishindwa kujikomboa kutokana na umasikini!
 
Back
Top Bottom