Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,758
Wafunge CCTV reli nzima. Mtu akikamatwa afungiwe maisha na kuwa shamed in public
Kwa comments za baadhi ya watu kuhusu hii SGR hawashindwi kuisabotage.
Operation cost sio kubwa sana ila trc kwa sababu ya ufisadi wanazifanya ziwe kubwa. Mfano tu badala ya kuwa na wahudumu wa mapokezi na wakuelekeza upandaji , wenyewe wameweka wahudumu wa kuuza korosho za 2000 ambazo unakuta mhudumu akishauza korosho mbili za 4000 anatulia zake akisubiria mshahara, kumbuka hao wahudumu Wana posho ambayo hailingani na wamachozalisha. Ingependeza Kila mhudumu alipwe kwa anachoingiza na akabidhiwe behewa kama ilivyo kwa mabasi na nauli ipande kulingana na jinsi abiria wanavyopenda huduma za mhudumu wa behewa husika.
Mkuu nadhani wewe ndo tunaongelea theories , mpaka sasa hakuna hela inayoelelezwa kwa ajili ya ujenzi wa hivyo vipande ulivyosema kwa sababu hela za ujenzi huo tayar zinashatafutwa kwa kutafuta mikopo.Brother unaongea theories, unless upo na ajenda tofauti. Kwahiyo operation cost ya SGR ni zero?
Mkuu hakunaga kuanza serikalini , lazima tujiulize hizo hela zote zinaenda wapi sababu bado tuko kwenye grace period( hatujaanza lipa mkopo wa sgr) kwa hiyo gharama tunayolipa ni kwa ajili ya uendeshaji na opareshen tuu, sidhan kama kuna hata hela inavyoenda serikali kuuTreni ndiyo zimeanza kufanya kazi tu, kutoka Dar kwenda Dodoma.
Sijajua inachomaanisha ila chukua mfano tu una kampuni ya mabasi na inafanya usafirishaji wa vifurushi mpaka Dom ila Huna sehemu ya kuhifadhi pale wateja wanapochelewa ila unataka wawekezaji wengine wa kujengee, lazima upotee tuInvestment ya reli siyo kama investment ya uuzaji wa nyanya. Storages zitajengwa na watu wengine. Wacha TRC ifanye jukumu lake mama la usafirishaji.
Mfano hapo Kwala, Rwanda na Burundi wamejenga maeneo yao.
Tusifagilie private sana , maana hata hao wawekezaji wengi wao ni wageni tuuze hisa ili tupate hata wawekezaji wadogo kutoka ndani ya nchiHata huko kwingine watajenga private sectors.
Unachosema ni theory huwa wanaformula kwa ajili ya pesa ya mfuko mkuu, maendeleo na uendeshaji. Mimi nipo kwenye pesa ya maendeleo kwa sasa, wangekuwa wanatenga hata 800mil kwa mwezi inayotokana na pesa ya maendeleo kwa ajili ya miundombinu sawa. Leo hii wameshindwa hata kuingiza reli ya pili pale Dodoma terminal kwa kisingizio Cha operation cost.Pesa za mapato ya SGR gawio litaingizwa kwenye mfuko mkuu wa serikali kwaajili ya kufanikisha ujenzi wa SGR matawi mengine kama Kutoka Tanga - Arusha - Musoma.
Unaendelezaje hivyo vipande huku watu wanasubiria mwezi mzima kupata behewa la mgr kusafirisha mzigo huku kina mabehewa maelfu yamejazana pale puguDar - Korogwe. Mtwara - Mbamba bay.
Hakunaga pesa ndogo ila nia , tukisema ufanyike ukaguzi ambao hauhusishi ofisi ya cag letsay wawe kpmg utakimbia kwa wizi uliopo trcNa treni zingine za kwenye majiji makubwa.
Yaani vipesa vidogo hivyo vya nauli za abiria zitumike kufanya investment kubwa? SGR watajiendesha na nini? TRC ni shirika linatakiwa wafanyakazi wake walipwe mshahara TRC siyo serikali kuu
Tunashindwa kuendelea kwa mentality kama zako kwa kuamini kuwa haiwezekaniHizo mentality zako hizo ndizo zimetufanya tukashindwa kuendelea.
Wewe umedandia kwa mbele. Fuatalia Uzi ujue huu mjadala imetoka wapi na inaelekea wapi. Stop being a busybody!We co-founded SADC, but you are shouting as if SADC is all about location.
You can't understand SADC more than we co-founders do.
Hapo kwanza kashajichanganya,kuna nchi masikini na idadi ya watu walio chini ya umasikini katika taifa.And if you know Tanzania is located in Southern Africa and not East Africa geographically, how did you rate it as the poorest in East Africa??
Why don't we apply the same for DRC?
Huoni wewe ni sawa na ng'ombe anaetembea huku akiunyea uke wake mwenyewe??
Najaribu kusema kwamba watanzania wote ni wachawi.Hapa uliongea nini?
Where I have said that Tanzania is located in southern Africa? Did you read to understand ama Sasa unakufa kifo cha maji?And if you know Tanzania is located in Southern Africa and not East Africa geographically, how did you rate it as the poorest in East Africa??
Why don't we apply the same for DRC?
Huoni wewe ni sawa na ng'ombe anaetembea huku akiunyea uke wake mwenyewe??
Huo ni mzigo wa return tu, hatuwez kuacha mzigo kama wadangote sababu una multiple effect hasa pale atakapofanikisha safirisha mzigo mkubwa kwenda njee kwa cost ndo na kwa uharaka.Kaka mzigo wa dangote ni wa kawaida sana. SGR ikiwa full operational, kuna mzigo wa madini kutoka West Tanzania, Burundi na DRC.
Huo wa copper lazima upate mzigo mwingine wa kutoka dar ambao ndo kina dangote hao ili reli iwe na mzigo wa kwenda na kurudiKuna mzigo wa copper, Nickel, cobalt. Kuna mizigo kutoka bandari ya Dar. Treni moja inauwezo wa kubeba tani 10,000 kwa mkupuo.
Hapa tuko sawaMkuu uko sawa...
Hapa ndo namaanisha lazima upambane hao wahudumu wazalishe kulingana na value yao, sio kuwa na mtumishi unamlipa letsay mil 15 na ni it lakini hakuna innovation anayofanya ili kampuni iende kwa faida.Ila ujue tu wahudumu ni kwa kila coach ... Sasa ni sawa tu na Bus. Kama Bus Lina wahudumu 3 Hadi 4 plus dereva.. hapo ni kwa kila coach Lina mhudumu 1 au 2. Hivyo hakuna cost kivile maana ujazo wa coach moja ya train ni kama Bus tu au zaidi.
Gharama in terms of operations ni swala nzima la mfumo wa uendeshaji. Hii ni high tech and advanced train. Kuna expertise ambao huwezi kuwalipa tu kwa kukadiria... Na hapa ni mwanzo lazima utulie huku unaendelea kujifunza na kupata uzoefu.
Ukitaka jua trc operation cost ni kubwa fuatilia posho tu ya watumishi unaweza kuta mkurugenzi wa trc Kila siku anavuta 1mil Tokana posho mbalimbaliKaka mzigo wa dangote ni wa kawaida sana. SGR ikiwa full operational, kuna mzigo wa madini kutoka West Tanzania, Burundi na DRC.
Kuna mzigo wa copper, Nickel, cobalt. Kuna mizigo kutoka bandari ya Dar. Treni moja inauwezo wa kubeba tani 10,000 kwa mkupuo.
Ebu fikiria tu eti wale wahudumu wa sgr wakitoka dom mfano asubuhi unakuta na vibegi vyao wanasepa kwenda kulala . Yaan kwa siku wale wako below masaa 8 kwa kazi , huku wale wa abood dar tarime wanafanya kazi masaa 24 na posho ya kulala ndani ya garOperation cost sio kubwa sana ila trc kwa sababu ya ufisadi wanazifanya ziwe kubwa. Mfano tu badala ya kuwa na wahudumu wa mapokezi na wakuelekeza upandaji , wenyewe wameweka wahudumu wa kuuza korosho za 2000 ambazo unakuta mhudumu akishauza korosho mbili za 4000 anatulia zake akisubiria mshahara, kumbuka hao wahudumu Wana posho ambayo hailingani na wamachIngependeza Kila mhudumu alipwe kwa anachoingiza na akabidhiwe behewa kama ilivyo kwa mabasi na nauli ipande kulingana na jinsi abiria wanavyopenda huduma za mhudumu wa behewa husika.
Brother sielewi hasa unani quote kwa lipi. Sasa unataka pesa za nauli za TRC zijenge dry ports? Unajia cost ya dry port moja?Mkuu nadhani wewe ndo tunaongelea theories , mpaka sasa hakuna hela inayoelelezwa kwa ajili ya ujenzi wa hivyo vipande ulivyosema kwa sababu hela za ujenzi huo tayar zinashatafutwa kwa kutafuta mikopo.
Mkuu hakunaga kuanza serikalini , lazima tujiulize hizo hela zote zinaenda wapi sababu bado tuko kwenye grace period( hatujaanza lipa mkopo wa sgr) kwa hiyo gharama tunayolipa ni kwa ajili ya uendeshaji na opareshen tuu, sidhan kama kuna hata hela inavyoenda serikali kuu
Sijajua inachomaanisha ila chukua mfano tu una kampuni ya mabasi na inafanya usafirishaji wa vifurushi mpaka Dom ila Huna sehemu ya kuhifadhi pale wateja wanapochelewa ila unataka wawekezaji wengine wa kujengee, lazima upotee tu
Tusifagilie private sana , maana hata hao wawekezaji wengi wao ni wageni tuuze hisa ili tupate hata wawekezaji wadogo kutoka ndani ya nchi
Unachosema ni theory huwa wanaformula kwa ajili ya pesa ya mfuko mkuu, maendeleo na uendeshaji. Mimi nipo kwenye pesa ya maendeleo kwa sasa, wangekuwa wanatenga hata 800mil kwa mwezi inayotokana na pesa ya maendeleo kwa ajili ya miundombinu sawa. Leo hii wameshindwa hata kuingiza reli ya pili pale Dodoma terminal kwa kisingizio Cha operation cost.
Tusiwatetee trc ni wazembe tuu
Unaendelezaje hivyo vipande huku watu wanasubiria mwezi mzima kupata behewa la mgr kusafirisha mzigo huku kina mabehewa maelfu yamejazana pale pugu
Hakunaga pesa ndogo ila nia , tukisema ufanyike ukaguzi ambao hauhusishi ofisi ya cag letsay wawe kpmg utakimbia kwa wizi uliopo trc
Tunashindwa kuendelea kwa mentality kama zako kwa kuamini kuwa haiwezekani
Labda utatajie cost ya dry port unaamini godown itakuwa na gharama usd 1bil?Brother sielewi hasa unani quote kwa lipi. Sasa unataka pesa za nauli za TRC zijenge dry ports? Unajia cost ya dry port moja?
Tueleze dangote anazalisha tani ngapi kwa mwezi?Huo ni mzigo wa return tu, hatuwez kuacha mzigo kama wadangote sababu una multiple effect hasa pale atakapofanikisha safirisha mzigo mkubwa kwenda njee kwa cost ndo na kwa uharaka.
Mfano dangote akiweza fanikisha kusafirisha 1400 tan na kwa Kila mfuko tukakusanya corporate tax ya 500 kwa mfuko ni sawa na 14mil plus 50mil ya kukodi behewa ni 2.5 ni na kwa mwezi ikapiga trip nane *miezi 12 ni sawa na bil 6.14 kutoka kampuni moja. I.e 2.3mil usd
Huo wa copper lazima upate mzigo mwingine wa kutoka dar ambao ndo kina dangote hao ili reli iwe na mzigo wa kwenda na kurudi
Tueleze godown la kuhifadhi zaidi ya 10,000 tonnage limekaaje?Labda utatajie cost ya dry port unaamini godown itakuwa na gharama usd 1bil?
Hiyo pesa unaiona ndogo?Brother sielewi hasa unani quote kwa lipi. Sasa unataka pesa za nauli za TRC zijenge dry ports? Unajia cost ya dry port moja?