Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

And if you know Tanzania is located in Southern Africa and not East Africa geographically, how did you rate it as the poorest in East Africa??
Why don't we apply the same for DRC?

Huoni wewe ni sawa na ng'ombe anaetembea huku akiunyea uke wake mwenyewe??
Hapo kwanza kashajichanganya,kuna nchi masikini na idadi ya watu walio chini ya umasikini katika taifa.
Amechanganya mambo mawili.
Ripoti aliyoleta yeye inaonesha population which is below poverty line or population which faces poverty extremity tena interms of dollar.
 
And if you know Tanzania is located in Southern Africa and not East Africa geographically, how did you rate it as the poorest in East Africa??
Why don't we apply the same for DRC?

Huoni wewe ni sawa na ng'ombe anaetembea huku akiunyea uke wake mwenyewe??
Where I have said that Tanzania is located in southern Africa? Did you read to understand ama Sasa unakufa kifo cha maji?

This is what I said
IMG_20250712_211041.jpg

Show me where I said Tanzania is in southern Africa. Wewe umeishiwa, kojoa ulale
 
Kaka mzigo wa dangote ni wa kawaida sana. SGR ikiwa full operational, kuna mzigo wa madini kutoka West Tanzania, Burundi na DRC.
Huo ni mzigo wa return tu, hatuwez kuacha mzigo kama wadangote sababu una multiple effect hasa pale atakapofanikisha safirisha mzigo mkubwa kwenda njee kwa cost ndo na kwa uharaka.
Mfano dangote akiweza fanikisha kusafirisha 1400 tan na kwa Kila mfuko tukakusanya corporate tax ya 500 kwa mfuko ni sawa na 14mil plus 50mil ya kukodi behewa ni 2.5 ni na kwa mwezi ikapiga trip nane *miezi 12 ni sawa na bil 6.14 kutoka kampuni moja. I.e 2.3mil usd
Kuna mzigo wa copper, Nickel, cobalt. Kuna mizigo kutoka bandari ya Dar. Treni moja inauwezo wa kubeba tani 10,000 kwa mkupuo.
Huo wa copper lazima upate mzigo mwingine wa kutoka dar ambao ndo kina dangote hao ili reli iwe na mzigo wa kwenda na kurudi
 
Mkuu uko sawa...
Hapa tuko sawa
Ila ujue tu wahudumu ni kwa kila coach ... Sasa ni sawa tu na Bus. Kama Bus Lina wahudumu 3 Hadi 4 plus dereva.. hapo ni kwa kila coach Lina mhudumu 1 au 2. Hivyo hakuna cost kivile maana ujazo wa coach moja ya train ni kama Bus tu au zaidi.
Hapa ndo namaanisha lazima upambane hao wahudumu wazalishe kulingana na value yao, sio kuwa na mtumishi unamlipa letsay mil 15 na ni it lakini hakuna innovation anayofanya ili kampuni iende kwa faida.
Inatakiwa Kila mtumishi achangie ili tuweze kuingiza faida na sio tumlipe tu kwa sababu ya kuwa na elimu kubwa
Gharama in terms of operations ni swala nzima la mfumo wa uendeshaji. Hii ni high tech and advanced train. Kuna expertise ambao huwezi kuwalipa tu kwa kukadiria... Na hapa ni mwanzo lazima utulie huku unaendelea kujifunza na kupata uzoefu.

Hapa Huwa tunaibiwa sana Ile treni ukimpa abood kwa siku unaweza Kuta operation cost isifike 5mil na kaingiza mil 300
 
Kaka mzigo wa dangote ni wa kawaida sana. SGR ikiwa full operational, kuna mzigo wa madini kutoka West Tanzania, Burundi na DRC.

Kuna mzigo wa copper, Nickel, cobalt. Kuna mizigo kutoka bandari ya Dar. Treni moja inauwezo wa kubeba tani 10,000 kwa mkupuo.
Ukitaka jua trc operation cost ni kubwa fuatilia posho tu ya watumishi unaweza kuta mkurugenzi wa trc Kila siku anavuta 1mil Tokana posho mbalimbali
 
Operation cost sio kubwa sana ila trc kwa sababu ya ufisadi wanazifanya ziwe kubwa. Mfano tu badala ya kuwa na wahudumu wa mapokezi na wakuelekeza upandaji , wenyewe wameweka wahudumu wa kuuza korosho za 2000 ambazo unakuta mhudumu akishauza korosho mbili za 4000 anatulia zake akisubiria mshahara, kumbuka hao wahudumu Wana posho ambayo hailingani na wamachIngependeza Kila mhudumu alipwe kwa anachoingiza na akabidhiwe behewa kama ilivyo kwa mabasi na nauli ipande kulingana na jinsi abiria wanavyopenda huduma za mhudumu wa behewa husika.
Ebu fikiria tu eti wale wahudumu wa sgr wakitoka dom mfano asubuhi unakuta na vibegi vyao wanasepa kwenda kulala . Yaan kwa siku wale wako below masaa 8 kwa kazi , huku wale wa abood dar tarime wanafanya kazi masaa 24 na posho ya kulala ndani ya gar
 
Mkuu nadhani wewe ndo tunaongelea theories , mpaka sasa hakuna hela inayoelelezwa kwa ajili ya ujenzi wa hivyo vipande ulivyosema kwa sababu hela za ujenzi huo tayar zinashatafutwa kwa kutafuta mikopo.

Mkuu hakunaga kuanza serikalini , lazima tujiulize hizo hela zote zinaenda wapi sababu bado tuko kwenye grace period( hatujaanza lipa mkopo wa sgr) kwa hiyo gharama tunayolipa ni kwa ajili ya uendeshaji na opareshen tuu, sidhan kama kuna hata hela inavyoenda serikali kuu

Sijajua inachomaanisha ila chukua mfano tu una kampuni ya mabasi na inafanya usafirishaji wa vifurushi mpaka Dom ila Huna sehemu ya kuhifadhi pale wateja wanapochelewa ila unataka wawekezaji wengine wa kujengee, lazima upotee tu

Tusifagilie private sana , maana hata hao wawekezaji wengi wao ni wageni tuuze hisa ili tupate hata wawekezaji wadogo kutoka ndani ya nchi

Unachosema ni theory huwa wanaformula kwa ajili ya pesa ya mfuko mkuu, maendeleo na uendeshaji. Mimi nipo kwenye pesa ya maendeleo kwa sasa, wangekuwa wanatenga hata 800mil kwa mwezi inayotokana na pesa ya maendeleo kwa ajili ya miundombinu sawa. Leo hii wameshindwa hata kuingiza reli ya pili pale Dodoma terminal kwa kisingizio Cha operation cost.
Tusiwatetee trc ni wazembe tuu

Unaendelezaje hivyo vipande huku watu wanasubiria mwezi mzima kupata behewa la mgr kusafirisha mzigo huku kina mabehewa maelfu yamejazana pale pugu

Hakunaga pesa ndogo ila nia , tukisema ufanyike ukaguzi ambao hauhusishi ofisi ya cag letsay wawe kpmg utakimbia kwa wizi uliopo trc

Tunashindwa kuendelea kwa mentality kama zako kwa kuamini kuwa haiwezekani
Brother sielewi hasa unani quote kwa lipi. Sasa unataka pesa za nauli za TRC zijenge dry ports? Unajia cost ya dry port moja?
 
Huo ni mzigo wa return tu, hatuwez kuacha mzigo kama wadangote sababu una multiple effect hasa pale atakapofanikisha safirisha mzigo mkubwa kwenda njee kwa cost ndo na kwa uharaka.
Mfano dangote akiweza fanikisha kusafirisha 1400 tan na kwa Kila mfuko tukakusanya corporate tax ya 500 kwa mfuko ni sawa na 14mil plus 50mil ya kukodi behewa ni 2.5 ni na kwa mwezi ikapiga trip nane *miezi 12 ni sawa na bil 6.14 kutoka kampuni moja. I.e 2.3mil usd

Huo wa copper lazima upate mzigo mwingine wa kutoka dar ambao ndo kina dangote hao ili reli iwe na mzigo wa kwenda na kurudi
Tueleze dangote anazalisha tani ngapi kwa mwezi?
 
Brother sielewi hasa unani quote kwa lipi. Sasa unataka pesa za nauli za TRC zijenge dry ports? Unajia cost ya dry port moja?
Hiyo pesa unaiona ndogo?
Mbona hizo wizara zenu Kama elimu ilikuwa inatola bil 3 kwa ujenzi wa shule zenye maje go zaid ya 10 , zikiwa na vitu vyote ndani? Unataka godown yenye kuwa na fence na open space yenye pellets tu ya tan 5000 Inaweza fikia bil 5 tsh.
Karibu mtwara nikuoneshe godown la 400mil na lile la serikali lenye dhaman ya 2bil lisilo na mzani wa magari🤣🤣🤣🤣
 
Hiyo pesa unaiona ndogo?
Mbona hizo wizara zenu Kama elimu ilikuwa inatola bil 3 kwa ujenzi wa shule zenye maje go zaid ya 10 , zikiwa na vitu vyote ndani? Unataka godown yenye kuwa na fence na open space yenye pellets tu ya tan 5000 Inaweza fikia bil 5 tsh.
Karibu mtwara nikuoneshe godown la 400mil na lile la serikali lenye dhaman ya 2bil lisilo na mzani wa magari🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo godown unayafananisha na madarasa. Hii kali sasa. Hebu tuambie godown la kutunza ngano isiharibike linahitaji vitu gani?
 
Hiyo pesa unaiona ndogo?
Mbona hizo wizara zenu Kama elimu ilikuwa inatola bil 3 kwa ujenzi wa shule zenye maje go zaid ya 10 , zikiwa na vitu vyote ndani? Unataka godown yenye kuwa na fence na open space yenye pellets tu ya tan 5000 Inaweza fikia bil 5 tsh.
Karibu mtwara nikuoneshe godown la 400mil na lile la serikali lenye dhaman ya 2bil lisilo na mzani wa magari🤣🤣🤣🤣
Unawaza ki masikini sana brother
 
Kwahiyo godown unayafananisha na madarasa. Hii kali sasa. Hebu tuambie godown la kutunza ngano isiharibike linahitaji vitu gani?
Godown linahitaji pellets tu kwa ajili ya mazao yasiguse chini na haya ya mazao yanahitaji mzani wa magari ambao si chini ya million 50 .
Ila magodown kwa ajili ya sgr hayahitaji vyote hivyo sanasana kinachohitajika ni hall tu maana mzigo unapimwa kwa behewa pale ihumwa na kwala( kuna mzani unaopima Kila behewa)
 
Capacity ya dangote per day n tan 2000 kwa siku kwa mwezi ni zaid ya tan 40,000 sawa na mifuko 800,000
Mimi nimezungumzia kama ataweza safirisha mifuko 224,000 kat ya mifuko 800,000
Sasa TRC wategemee mzigo wa dangote tu wakati Uzalishaji wa Twiga Cement 5,479 tonnes per day. Yeye alete mzigo wake utabebwa lakini siyo mwenye mzigo mkubwa.
 
Back
Top Bottom