NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 17,011
- 19,186
Siku hizi miti sii pori? Si nyinyi ni wasee wa concrete jungle?The Most green city in the region
View attachment 3395164
Siku hizi miti sii pori? Si nyinyi ni wasee wa concrete jungle?The Most green city in the region
View attachment 3395164
Kwa akili yako choko unadhani neno Afande limeanzia vumbistan?UPDF imekuwa trained na JWTZ, mpaka maneno wanayotumi jeshini ni ya Kiswahili kama Afande
Mauzo tu mpaka April yalikuwa ni 66.8bil sawa na ksh 3.34 bil ksh hiyo ni ndani ya miezi 8 na siku 5 maana opareshen rasmi za Dodoma zimeanza 25/7/2024 ambayo ni wastan wa 417mil ksh kwa mwezi sasa ukichukua kwa hiyo miezi miwili iliyobakia unapata total ksh 4.174bil ksh .Faida tena ipo kubwa kumbuka sisi tunatumia umeme tunaozalisha wenyewe hatununui diesel kama nyie kwa kutumia dollar. Lakini tayari tumeliwezesha shirika la Tanesco kupata fedha kwa kuuza umeme.
Wanatuchokonoa kwa maneno, ila sio kwa vitendo. Jiulize kwa nini Idi Amin aliitishia Kenya muda mrefu ile mwishowe aliaattack Vumbistan.Aaah Kenya ni weak bana.
Watu wengi wanawachokonoa sana hata Ethiopia pia ni vivyo hivyo.
Ukija kwa Tanzania it's different.
Kmmke wallah 🤣🤣🤣🤣M7 alizaa kichwa🤣🤣🙌
View: https://x.com/mkainerugaba/status/1941426518967845159?t=SBXcx8Y0TSJg0aQyd_wu7A&s=19
Peaceful annexation of Comoros inawezekana 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DLwTFXiNmt-/?igsh=eWc4OGlkOXdqZjgz
Nini kilimkuta alipovamia Kagera!?Wanatuchokonoa kwa maneno, ila sio kwa vitendo. Jiulize kwa nini Idi Amin aliitishia Kenya muda mrefu ile mwishowe aliaattack Vumbistan.
Hii ni terminal ya East Africa pekee Geuza.
Inspekta Haroun Babuuu 😂
Mlisaidiwa na Marekani na Uingereza kushinda kanchi kadogo ambako kalikuwa kamelemewa kiuchumi juu ya sanctions na dicatorship. Alafu walikuwa wanajeshi wenu 150k vas wao 20k.Nini kilimkuta alipovamia Kagera!?
Hadi leo Uganda hawathubutu kuitisha hata kwa maneno Tanzania.
Wapi Kenya iliwahi kwenda ikashinda vita?Mlisaidiwa na Marekani na Uingereza kushinda kanchi kadogo ambako kalikuwa kamelemewa kiuchumi juu ya sanctions na dicatorship. Alafu walikuwa wanajeshi wenu 150k vas wao 20k.
Comoros wanatutambua kama baba zao kama tunavyowalisha nyie Kundustan.Ile mnakuwanga delusional sana. Yani hadi Rais wenu akitembea nje kwa vitu vya kipuuzi mnasherehekea eti annexation. 🤣 🤣
Aliwaogopa bwana wenu Marekani.Wanatuchokonoa kwa maneno, ila sio kwa vitendo. Jiulize kwa nini Idi Amin aliitishia Kenya muda mrefu ile mwishowe aliaattack Vumbistan.
Uingereza na Marekani kutusaidia, unajisikia?Mlisaidiwa na Marekani na Uingereza kushinda kanchi kadogo ambako kalikuwa kamelemewa kiuchumi juu ya sanctions na dicatorship. Alafu walikuwa wanajeshi wenu 150k vas wao 20k.
Wapi ilienda ikashindwa?Wapi Kenya iliwahi kwenda ikashinda vita?
The same Marekani waliowasaidia kumshinda?Aliwaogopa bwana wenu Marekani.
Wazee wa useless BATUK, Camp Simba na Non NATO ally
Idd Amin hakupendwa na Marekani na Uingereza. Nyerere aliwaomba msaada wakampea.Uingereza na Marekani kutusaidia, unajisikia?
Yaani Uingereza iliyo na Makoloni southern Africa isaidie Tz inayofuga vikundi vya wapigania uhuru kuwaondoa Rhodesia, South Africa etc?
Marekani ipi wakati kipindi hicho ipo Cold War na USSR while Tanzania ipo upande wa USSR.
Elimu yenu ilianzia wapi kweli mbona mpo stupid hivi?
I dare you give me source inasema tulisaidiwa na UK or USA.
I wanted to ask him the same question nikaamua ninyamaze tuSiku hizi miti sii pori? Si nyinyi ni wasee wa concrete jungle?