Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pingana na serikali yako wewe fossil.

View attachment 3394801
Sasa bwana govi SGR Tz imeanza operation lini.? 😂😂😂😂😂. Hadi kufikia April this year 2025 SGR report shows that more than 2.3 million passengers walitumia SGR. Reli ya sgr Tz ilianza operation June 25 last year 👇🏾
IMG_9590.png
.,., Mwanzo | TRC. Mnuka nnya unatafuta kujipa faraja,.? Mamamayo. 🤣🤣
 
Alikuja na majivuno wenyewe wanaita pride kwa kiswahili chao kibovu asijue mwaka wa kwanza tu SGR Tanzania imepindua meza!

SGR Tanzania itapita 2.5 mln PAX ukizingatia mwezi wa June hata frequencies za trains na flights ziliongezeka kutokana na mahitaji!
Sema SGR wameimprove sana kwa upande wa ukataji wa ticket. Nimependa jinsi Tanzanians wanavyoelimika haraka kwenye tech. Siku hiz wale wa dirishani hawana kazi kabisa. Watu wanascan kwa simu zao tu kuingia kwenye train.

Siku hiz kupitia mpesa, bank, nk kote huko unakata ticket yako online na hakuna haja ya kuprint.
Zamani ilikuwa kawaida kukuta bonge la foleni watu wakikata ticket kama ilivyo Kenya kwenye kuprint, sasa hakuna kabisa.
Nakumbuka malalamiko ya huyu Liv Kenya. Yote yamefanyiwa kazi. Kazi iliyobaki ni kuongeza treni routes sasa.

View: https://youtu.be/TqryCZcJAO0?si=IkKuPzxXFUlHpU8o



Hata kwenye BRT system ni week tu sasa wamestopisha matumizi ya cash. Watz washaelewa sasa na kila mtu either ana mwendokasi kadi au Anatumia simu yake kuingia kwenye BRT stations. Walete hayo mabasi sasa and problems za BRT systems zitakuwa zimeisha.
 
Sema SGR wameimprove sana kwa upande wa ukataji wa ticket. Nimependa jinsi Tanzanians wanavyoelimika haraka kwenye tech. Siku hiz wale wa dirishani hawana kazi kabisa. Watu wanascan kwa simu zao tu kuingia kwenye train.
Yaan hili la ticket inabid tu wapunguze tu wale watu wa madirishani kampeni ihamie kwenye selfservice
Siku hiz kupitia mpesa, bank, nk kote huko unakata ticket yako online na hakuna haja ya kuprint.
Hili limeongeza sana upatikanaji abiria sasa hivi unakuta mtu yuko huko Dom ndani anajipatia ticket yake bila hata dalali.
Mimi naona kwenye vile vituo vya treni wangesogeza hata vituo vya daladala na stendi za kwenda vijijin ili kurahisisha usafiri, bado Kuna uwezekano wa kutoa mpaka treni 8 kutoka Dodoma kwenda dar na bado mabasi yakafanya kazi vizuri sana zaid ya sasa
Zamani ilikuwa kawaida kukuta bonge la foleni watu wakikata ticket kama ilivyo Kenya kwenye kuprint, sasa hakuna kabisa.
Nakumbuka malalamiko ya huyu Liv Kenya. Yote yamefanyiwa kazi. Kazi iliyobaki ni kuongeza treni routes sasa.

View: https://youtu.be/TqryCZcJAO0?si=IkKuPzxXFUlHpU8o



Hata kwenye BRT system ni week tu sasa wamestopisha matumizi ya cash. Watz washaelewa sasa na kila mtu either ana mwendokasi kadi au Anatumia simu yake kuingia kwenye BRT stations. Walete hayo mabasi sasa and problems za BRT systems zitakuwa zimeisha.
 
Sasa bwana govi SGR Tz imeanza operation lini.? 😂😂😂😂😂. Hadi kufikia April this year 2025 SGR report shows that more than 2.3 million passengers walitumia SGR. Reli ya sgr Tz ilianza operation June 25 last year 👇🏾View attachment 3394974.,., Mwanzo | TRC. Mnuka nnya unatafuta kujipa faraja,.? Mamamayo. 🤣🤣
Kama tulianza 14/06/2024 dar Moro na 25/07/2025 na bado tuko na 2.3mil mpaka April kufikia 30/06/2025 tunaweza kuwa na 2.76mil kwa wastan wa abiria 230,000 kwa mwezi🤣🤣🤣🤣
 
Not even 50%, it should be 100%. Waafrika tuna shida, why do we need foreigners to mine minerals for us? Like, mining is simply digging something from the ground, how complicated is that?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Digging something from the ground.

Brother upo serious kweli 🤣🤣🤣

Ushawahi chimba madini?

Ili uweze jichimbia Africa as 100%

Unatakiwa uwe unatengeza all mining machinery 100% na uwe na viwanda vya kuconsume like 50% to 60%.

Otherwise ni kazi bure wakiona yanakupa kiburi wanakukatalia kukuuzia spares za machine (Refer tulichofanyiwa Williamson Diamond Mine baada ya kuunationalize, plus Socialism)

Kingine post independence Tanzania sisal production ilikua inachangia 60% ya GDP na export ilikua boom ila Baada ya foreign policy, na Socialism ambayo ilituweka Communism Block, capitalist block ilifanya namna Zao likapoteza soko, I think umejifunza hata kwa China inavyofanyiwa.

Africa sanctions moja, or one trade tariff madini yote hasara tupu.

So ukitaka 100% uwe unayatumia 80% na unatumia tech yako. Kuanzia Machinery, manpower, chemical, etc
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Digging something from the ground.

Brother upo serious kweli 🤣🤣🤣

Ushawahi chimba madini?

Ili uweze jichimbia Africa as 100%

Unatakiwa uwe unatengeza all mining machinery 100% na uwe na viwanda vya kuconsume like 50% to 60%.

Otherwise ni kazi bure wakiona yanakupa kiburi wanakukatalia kukuuzia spares za machine (Refer tulichofanyiwa Williamson Diamond Mine baada ya kuunationalize, plus Socialism)

Kingine post independence Tanzania sisal production ilikua inachangia 60% ya GDP na export ilikua boom ila Baada ya foreign policy, na Socialism ambayo ilituweka Communism Block, capitalist block ilifanya namna Zao likapoteza soko, I think umejifunza hata kwa China inavyofanyiwa.

Africa sanctions moja, or one trade tariff madini yote hasara tupu.

So ukitaka 100% uwe unayatumia 80% na unatumia tech yako. Kuanzia Machinery, manpower, chemical, etc
Ukitaka efficiency ni kuhusisha private sectors hata huko china walivutia sana foreigners baadae wamebaki na technology wanazid kusonga mbele
 
Reli ya bandarini ujenzi wake unaenda polepole sana!
Au kwa sababu zinajengwa njia tatu mgr, tazara na sgr ?
chrome_screenshot_Jul 5, 2025 4_54_32 PM GMT+03_00.png

Kuna mtu nilimsikia akiropoka eti central collidor ya Kenya Ina abiria wengi ila kwa mwaka 2024 mgr yao imesafirisha 165,784 versus 440,000 ya trc pamoja na kuwa trc ilikuwa na changamoto ya kilosa na haikuwa na njia ya kuingia bandarini 🤣🤣🤣🤣
 
Au kwa sababu zinajengwa njia tatu mgr, tazara na sgr ?
Hapana TAZARA haipitii upande ule! TAZARA inaingila Bandarini kutokea upande wa Kurasini interchange na haijsimama kwa ajili ya ujenzi ule! Pale ni uzembe tu unachelewesha kile kipande na hata sidhani kama upana wa tunnel ile iliyojengwa unaweza kumudu MGR na SGR PAMOJA! Nadhani MGR itanrelea kuingia bandarini kupitia upande wa NSSF Waterfront!
 
Back
Top Bottom