🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Digging something from the ground.
Brother upo serious kweli 🤣🤣🤣
Ushawahi chimba madini?
Ili uweze jichimbia Africa as 100%
Unatakiwa uwe unatengeza all mining machinery 100% na uwe na viwanda vya kuconsume like 50% to 60%.
Otherwise ni kazi bure wakiona yanakupa kiburi wanakukatalia kukuuzia spares za machine (Refer tulichofanyiwa Williamson Diamond Mine baada ya kuunationalize, plus Socialism)
Kingine post independence Tanzania sisal production ilikua inachangia 60% ya GDP na export ilikua boom ila Baada ya foreign policy, na Socialism ambayo ilituweka Communism Block, capitalist block ilifanya namna Zao likapoteza soko, I think umejifunza hata kwa China inavyofanyiwa.
Africa sanctions moja, or one trade tariff madini yote hasara tupu.
So ukitaka 100% uwe unayatumia 80% na unatumia tech yako. Kuanzia Machinery, manpower, chemical, etc