ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Itakapoanza za Mwanza, kigoma jirani si atajiny..a😁😁Hiyo ni kwenda Moro ila kwenda Dodoma ilikuwa 25/7/2024 tuseme mpaka sasa sgr imefanya kazi kwa miezi 11 tu
Ndo watajua kwamba kigoma Ina abiria kuliko Mombasa - Nairobi🤣🤣🤣🤣.Itakapoanza za Mwanza, kigoma jirani si atajiny..a😁😁
Qatar Doha sio? kuna mmoja niliweka wallet yangu kwenye scanner ilikuwa na kama 2000€ akaanza kuniuliza nikamwambia afanye kazi yake fedha yangu haimuhusu akanywea! Mpumbavu sana!Duh, Kuna Uwanja wa ndege nimepita manamba ni wakundustan watupu😂. Nikakumbuka Remittance😎😂
View attachment 3395128
Waswahili husema funika kombe mwana haramu apite 🤣Mbona mmefunika running tracks na carpet?
😂😂😂 Em nioneshe ilipouziwa?Hata unaelewa hii article kweli? This bond was purely subscribed by Kenyans. No foreigners is involved with the Talanta Stadium bond.
By the way, hule Wimbi wenu wa Talanta kuwa Stadium wa Mchina uliishia wapi?😂😂😂
Hilo litreni ndio analojisifia nalo kila siku Lewis254😎View attachment 3395206View attachment 3395207
Hata nusu ya treni bado kujaza eti mapato yazid Ile treni inayokuwa full Kila siku
Jenerali hataki Amani kabisa 🤣🤣
View: https://x.com/mkainerugaba/status/1941440025998262487?t=NwfKfvtGFA25fZreNRZ4Ww&s=19
Jenerali hataki Amani kabisa 🤣🤣
View: https://x.com/mkainerugaba/status/1941440025998262487?t=NwfKfvtGFA25fZreNRZ4Ww&s=19
UPDF imekuwa trained na JWTZ, mpaka maneno wanayotumi jeshini ni ya Kiswahili kama AfandeSema hili lijamaa😂😂😂😂😂 kwanini anaidharau sana Kenya!?
SIJAWAHI kumsikia akiidharau TZ hata siku moja.