Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alikuja na majivuno wenyewe wanaita pride kwa kiswahili chao kibovu asijue mwaka wa kwanza tu SGR Tanzania imepindua meza!

SGR Tanzania itapita 2.5 mln PAX ukizingatia mwezi wa June hata frequencies za trains na flights ziliongezeka kutokana na mahitaji!
Mwaka huu tunafunga na 2.7mil mwakani lazima tuvuke 4mil, ishu mwanzoni hawakuwa wanajua jinsi ya kupata ticket
 
TRC wanachelewa saana!
Yaan wako slow sana, we fikiria hata kuongeza treni sasa hivi wamekausha wakati abiria wamezid mzigo.
Muda mwingi hata logic yao ya mizigo haiji maana dom - dar kukodi behewa ni 2.5mil kwa tan 40 huku kwa abiria ukienda na kurud tayar uko na zaid ya 4mil kwa behewa na kwa sasa ni tren tatu tu ndo zinafanya trip za dodom, mbili zinafanya trip tatu moja inafanya trip mbili
 
VS

ter6.jpg
 
Yaan wako slow sana, we fikiria hata kuongeza treni sasa hivi wamekausha wakati abiria wamezid mzigo.
Muda mwingi hata logic yao ya mizigo haiji maana dom - dar kukodi behewa ni 2.5mil kwa tan 40 huku kwa abiria ukienda na kurud tayar uko na zaid ya 4mil kwa behewa na kwa sasa ni tren tatu tu ndo zinafanya trip za dodom, mbili zinafanya trip tatu moja inafanya trip mbili
Shida Kadogosa alikuwa anawaza Ubunge tu, aliyekuja afanye kazi
 
Pingana na serikali yako wewe fossil.

View attachment 3394801
Sasa bwana govi SGR Tz imeanza operation lini.? 😂😂😂😂😂. Hadi kufikia April this year 2025 SGR report shows that more than 2.3 million passengers walitumia SGR. Reli ya sgr Tz ilianza operation June 25 last year 👇🏾
IMG_9590.png
.,., Mwanzo | TRC. Mnuka nnya unatafuta kujipa faraja,.? Mamamayo. 🤣🤣
 
Alikuja na majivuno wenyewe wanaita pride kwa kiswahili chao kibovu asijue mwaka wa kwanza tu SGR Tanzania imepindua meza!

SGR Tanzania itapita 2.5 mln PAX ukizingatia mwezi wa June hata frequencies za trains na flights ziliongezeka kutokana na mahitaji!
Sema SGR wameimprove sana kwa upande wa ukataji wa ticket. Nimependa jinsi Tanzanians wanavyoelimika haraka kwenye tech. Siku hiz wale wa dirishani hawana kazi kabisa. Watu wanascan kwa simu zao tu kuingia kwenye train.

Siku hiz kupitia mpesa, bank, nk kote huko unakata ticket yako online na hakuna haja ya kuprint.
Zamani ilikuwa kawaida kukuta bonge la foleni watu wakikata ticket kama ilivyo Kenya kwenye kuprint, sasa hakuna kabisa.
Nakumbuka malalamiko ya huyu Liv Kenya. Yote yamefanyiwa kazi. Kazi iliyobaki ni kuongeza treni routes sasa.

View: https://youtu.be/TqryCZcJAO0?si=IkKuPzxXFUlHpU8o



Hata kwenye BRT system ni week tu sasa wamestopisha matumizi ya cash. Watz washaelewa sasa na kila mtu either ana mwendokasi kadi au Anatumia simu yake kuingia kwenye BRT stations. Walete hayo mabasi sasa and problems za BRT systems zitakuwa zimeisha.
 
Back
Top Bottom