Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

SGR Ukunduni was all success till SGR Dar-Dom started! In short SGR Ukunduni is a complete failure! How can a one year SGR Tanzania beat up an 8 years old SGR in Kundustan n in the year of inauguration?

Teargass anajua ila ana troll!
Unafirisha tani 5mil halafu unapata mapato ya 862,133 kweli si Bora tuwaachie wa malori yaan usafirishe lorry Toka Mombasa to Nairobi kwa ksh 779🤣🤣🤣🤣🤣
 
SGR Ukunduni was all success till SGR Dar-Dom started! In short SGR Ukunduni is a complete failure! How can a one year SGR Tanzania beat up an 8 years old SGR in Kundustan n in the year of inauguration? Damn SGR Tanzania carried around 2.5 mln PAX!

Teargass anajua ila ana troll!
Ukichukua abiria wa 2017 na 2018 kwa Kenya bado hawafikii idadi ya abiria waliosafirisha na trc kuanzia 1/6/2024 mpaka 30/03/2025 yaani miezi tisa kwa miaka miwili.
 
Ukichukua abiria wa 2017 na 2018 kwa Kenya bado hawafikii idadi ya abiria waliosafirisha na trc kuanzia 1/6/2024 mpaka 30/03/2025 yaani miezi tisa kwa miaka miwili.
Alikuja na majivuno wenyewe wanaita pride kwa kiswahili chao kibovu asijue mwaka wa kwanza tu SGR Tanzania imepindua meza!

SGR Tanzania itapita 2.5 mln PAX ukizingatia mwezi wa June hata frequencies za trains na flights ziliongezeka kutokana na mahitaji!
 
1751716506262.png


1751716532163.png


1751716604635.png
 
Alikuja na majivuno wenyewe wanaita pride kwa kiswahili chao kibovu asijue mwaka wa kwanza tu SGR Tanzania imepindua meza!

SGR Tanzania itapita 2.5 mln PAX ukizingatia mwezi wa June hata frequencies za trains na flights ziliongezeka kutokana na mahitaji!
Mpaka April tulikuwa kwenye 2.3mil bado ukiangalia kuanzia mwishoni mwa mwez wa Tano hali imekuwa mbaya sana kupata ticket, sasa treni za mpaka 7/7/2025 zimejaa zote hata Ile ibiwa ibiwa ambayo wengine tulikuwa tunafanya kukata ticket letsay mpaka Moro the unatafuta bus imekuwa nadra .
Leo nilikuwa natafuta basi kutoka Dom asubuhi kwenda dar shabiby naambiwa mpaka kesho kutwa.
 
Alikuja na majivuno wenyewe wanaita pride kwa kiswahili chao kibovu asijue mwaka wa kwanza tu SGR Tanzania imepindua meza!

SGR Tanzania itapita 2.5 mln PAX ukizingatia mwezi wa June hata frequencies za trains na flights ziliongezeka kutokana na mahitaji!
Mwaka huu tunafunga na 2.7mil mwakani lazima tuvuke 4mil, ishu mwanzoni hawakuwa wanajua jinsi ya kupata ticket
 
TRC wanachelewa saana!
Yaan wako slow sana, we fikiria hata kuongeza treni sasa hivi wamekausha wakati abiria wamezid mzigo.
Muda mwingi hata logic yao ya mizigo haiji maana dom - dar kukodi behewa ni 2.5mil kwa tan 40 huku kwa abiria ukienda na kurud tayar uko na zaid ya 4mil kwa behewa na kwa sasa ni tren tatu tu ndo zinafanya trip za dodom, mbili zinafanya trip tatu moja inafanya trip mbili
 
Yaan wako slow sana, we fikiria hata kuongeza treni sasa hivi wamekausha wakati abiria wamezid mzigo.
Muda mwingi hata logic yao ya mizigo haiji maana dom - dar kukodi behewa ni 2.5mil kwa tan 40 huku kwa abiria ukienda na kurud tayar uko na zaid ya 4mil kwa behewa na kwa sasa ni tren tatu tu ndo zinafanya trip za dodom, mbili zinafanya trip tatu moja inafanya trip mbili
Shida Kadogosa alikuwa anawaza Ubunge tu, aliyekuja afanye kazi
 
Back
Top Bottom