Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa Sheria ipi ambayo napaswa kuyajua mapato yake? Wewe unaweza tuletea financial statement za Metl leo tuzione tuchambue
Kaka acha kuhamisha hamisa mada wewe leta Impact ya Bakhresa kwenye Uchumi wa Tanzania. Mbona unaleta porojo tu. MeTL is also a private Entity wameweka vitu vyao kwenye public. Bhakresa anaficha nini? Kwikwikwikwikwi

Yaani tuliite kampuni la Bakhresa kuba kwa hisia tu?

Check wenzake:
 
Ngoja nichangie kidogo hapa. Kiuhalisia Azam group ni kampuni kubwa kuliko Metl. The difference ni kuwa Metl imekuwa ikiendeshwa kwa mfumo wa kisasa wa corporate na ime integrate investment yake internationally kwenye mifumo ya kidunia ila Azam inaendeshwa sana sana kama a family business with minimal interactions na international funders hence mahesabu yao hayawekwi wazi kama ya Metl.

same na Rostam ana hela ndefu lakini ana kampuni gani ya ku justify utajri wake?
Rostam ana mitaji mikubwa sana ya watu wake kutoka nje hasa Yemen.
 
Kaka acha kuhamisha hamisa mada wewe leta Impact ya Bakhresa kwenye Uchumi wa Tanzania. Mbona unaleta porojo tu. MeTL is also a private Entity wameweka vitu vyao kwenye public. Bhakresa anaficha nini? Kwikwikwikwikwi

Yaani tuliite kampuni la Bakhresa kuba kwa hisia tu?

Check wenzake:
Kama umesomea accounting hakuna haja ya kubishana ebu tusaidie kwa kupitia IAS 16 na IAS 13 tuachane na ubishi
 
Kama umesomea accounting hakuna haja ya kubishana ebu tusaidie kwa kupitia IAS 16 na IAS 13 tuachane na ubishi
Mzee achana kuhamisha mada. Tumalize kwanza ile ya kwanza. Maana unarukia rukia kila mada.
Hapa tunaongelea MeTL vs Bakhresa.
Narudia tena tupatie takwimu zinazokubeba kueleza kuwa Bakhresa ni kampuni kubwa kuliko MeTL.
 
Post screenshot ya bank statement yako inayoonesha Total Credit Amount.
Mimi nitapost ya two months wewe post ya mwaka mzima.
Last time we did this challenge ulienda kuokota bank slip kwa muuza maandazi.
 
Mzee achana kuhamisha mada. Tumalize kwanza ile ya kwanza. Maana unarukia rukia kila mada.
Hapa tunaongelea MeTL vs Bakhresa.
Narudia tena tupatie takwimu zinazokubeba kueleza kuwa Bakhresa ni kampuni kubwa kuliko MeTL.
Umesema umesomea accounting nimekuelekeza sehemu ya kutukumbusha wengine ambao tumesahau . Wewe si unaijua accounting kuna guideline au standards za kureport taarifa ya za kihasibu .
Nakuongezea IAS 3 inasemaje kuhusu kureport taarifa za group🤣🤣🤣🤣
 
Hii dalili ya kuishiwa point. Umesaka kila kona kutafuta uwezo wa Bakhresa umekosa. Kwikwikwikwikwi.
Kaka Tanzania huijui na uwezo wako upo chini sana. Tafuta kuijua Tanzania kwanza ndio uweze kujadili mambo makubwa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

We Baki zako kwenye political science tu kwingine kaushaga tu
 
Umesema umesomea accounting nimekuelekeza sehemu ya kutukumbusha wengine ambao tumesahau . Wewe si unaijua accounting kuna guideline au standards za kureport taarifa ya za kihasibu .
Nakuongezea IAS 3 inasemaje kuhusu kureport taarifa za group🤣🤣🤣🤣
Hiyo ya kusoma Accounting siyo topic tunayoongelea kaka. Tunaongelea Bakhresa vs MeTL. Usitafute tundu la kuchomokea.
Wana JF wote wanasubiri uwaelimishe kuhusu ukubwa wa Bakhresa.
 
Back
Top Bottom