President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Kaka acha kuhamisha hamisa mada wewe leta Impact ya Bakhresa kwenye Uchumi wa Tanzania. Mbona unaleta porojo tu. MeTL is also a private Entity wameweka vitu vyao kwenye public. Bhakresa anaficha nini? KwikwikwikwikwiKwa Sheria ipi ambayo napaswa kuyajua mapato yake? Wewe unaweza tuletea financial statement za Metl leo tuzione tuchambue
Yaani tuliite kampuni la Bakhresa kuba kwa hisia tu?
Check wenzake: