Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe hakuna unachajua. Debit minus Credit unapata balance. No wonder you are a primary school dropout.
Sawa tuoneshe hiyo 375ksh kwenye hiyo bank statement ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.
Kumbe ni credit 6000 kati 35mil nakuwa na balance ya 6000 ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ. Shule ya polini kweli
 
Unapoongelea mtaji wa mtu lazima uguse taarifa zake za kihasibu .
Kwa mfano nataka kununua hisa za kampuni flani sikurupuki kwenda kununua kwa kuangalia yaliyoandikwa magazetin.
Unavuta taarifa zake za kihasibu unaangalia Kila kitu mpaka madeni yanapatikan, mpaka thamani ya sset ni majina yake yatasomeka, kama kuna magari yatatajwa kwenye taarifa husika .
Sasa wewe kwa sababu ni mkurupukaji unadhani taarifa ya kampuni inapatikana mtandaoni.
Ingekuwa Azam na Metl wote wametoa taarifa zao za kihasibu sawa tungeweza kubaliana nao, lakini kwa sasa tutaangalia Ile value ya asset au machinery alizowekeza na hapa ni gues work tu
Kaka unaandika porojo tu hapa. Wewe ndiye uliyesema Bakhresa(AZAM) ni kampuni kubwa kuliko MeTL. Tumekuomba ulete ushahidi ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ eti unaniambia niende vingunguti nitaona namna AZAM ilivyo. Kaka hapa unajadiliana na msomi mwenye details nyingi. Ukija na arguments zako za vijiwe vya kahawa utagonga mwamba.

Mpaka sasa hivi ni zaidi ya pages 7 hujaleta uthibitisho wowote kuhusu AZAM kuwa ni kubwa.
 
Huna aibu kupost statement ya mwanaume.
Mbona hutaki kupost yako.
View attachment 3382386
Sio wewe ulipost hii? Ama huitaki tena?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡ ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

1000011051.jpg
 
Sawa tuoneshe hiyo 375ksh kwenye hiyo bank statement ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.
Kumbe ni credit 6000 kati 35mil nakuwa na balance ya 6000 ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ. Shule ya polini kweli
Wewe ni nguruwe. Hapo juu in the white section kuna difference ya Credit and Debit na hiyo ndio balance yake. It's 7,500 Tanzanian money and 375 bob in Kenyan money.Jamaa amejikunia bila kujua๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

1000011051.jpg
 
bilioni 20 aliyoahidi si kuwapa Simba kama cash bali alikuja na plan kwamba hiyo hela ataifungia kwenye bond ya muda mrefu na mahesabu ya wakati ule ni kuwa italeta faida ya 3.5bn kila mwaka kwaajili ya kuendeshea simba na on top of that anaongezea na hela zake juu.
iko wapi hio bond bro no where to be seen hata kiwangwala aliposema kawasiliana na bank zote tanzania hakukua na ushahidi wowote kua pesa hzo zimewekwa

mo ni tapeli bro na ndio maana hata simba inasuasua sana kiundeshaji na ni kawaida ya wahindi mostly ni matapeli sana
 
iko wapi hio bond bro no where to be seen hata kiwangwala aliposema kawasiliana na bank zote tanzania hakukua na ushahidi wowote kua pesa hzo zimewekwa

mo ni tapeli bro na ndio maana hata simba inasuasua sana kiundeshaji na ni kawaida ya wahindi mostly ni matapeli sana
Utopolo utawajua tu. Simba ni Club ya 5 barani Africa. Mwaka huu imecheza finali kombe la shirikisho. Sasa tueleze Simba inasua sua wapi?
 
Kaka unaandika porojo tu hapa. Wewe ndiye uliyesema Bakhresa(AZAM) ni kampuni kubwa kuliko MeTL. Tumekuomba ulete ushahidi ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ eti unaniambia niende vingunguti nitaona namna AZAM ilivyo. Kaka hapa unajadiliana na msomi mwenye details nyingi. Ukija na arguments zako za vijiwe vya kahawa utagonga mwamba.

Mpaka sasa hivi ni zaidi ya pages 7 hujaleta uthibitisho wowote kuhusu AZAM kuwa ni kubwa.
Wewe umebase kwenye turnover tu.
Mimi nilichokuambia ni kuwa tuangalia thaman ya uwekezaji wa mo versus Azam kwa sasa na sababu nyingine nilikuambia Azam inasomeka kama group kuna wamiliki mbali ambao wako chini ya Azam .
Mfano tu azampay founder ni firas Ahmad na imebase sana Mauritius , ila nayo Iko chini ya Azam, Azam media Iko chini ya mtu mwingine kabisa. Ukija kwenye viwanda msimamizi wa viwanda vya ngano letsay moz ni mwingine .sasa kwenye makubaliano hatujui ila hata ukiingia kwa website yao utaona Kila division Iko chini ya mtu mwingine
Metl division zote iwe ngano, mafuta zote ziko chini yake .
 
Post yako tuone mbona unapost ya mwanaume.
Huyo mwanaume mwingine ako na 375 bob kwa account yake ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

No wonder last time ulienda kuokota bank slip, ingine ulijitengenezea ukakata na ruler๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom