Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Balance ya Ksh 375 ndio unatupigia nayo kelele? Wewe hata wale ombaomba omba kutoka Tanzania wamekushinda. They are always sure if having at least 400 bob by day's end. Wewe 375 unataka kujifanya tajiri WA kijiji😂😂
Kumbe hata kusoma bank statement hujui Toka lini bank balance ikawa kwenye eneo la transactions.
Ndo ubaya wa kuweka fedha chini uvungu
 
bilioni 20 aliyoahidi si kuwapa Simba kama cash bali alikuja na plan kwamba hiyo hela ataifungia kwenye bond ya muda mrefu na mahesabu ya wakati ule ni kuwa italeta faida ya 3.5bn kila mwaka kwaajili ya kuendeshea simba na on top of that anaongezea na hela zake juu.
Sasa 20b inafanya nini?

Analipa kiasi gani matangazo yake kwenye Jezi?

Mo ni mhuni
 
Kumbe hata kusoma bank statement hujui Toka lini bank balance ikawa kwenye eneo la transactions.
Ndo ubaya wa kuweka fedha chini uvungu
Wewe hakuna unachajua. Difference between Debits and Credit unapata balance. No wonder you are a primary school dropout.
 
Endelea kulazimisha niwe masikini kama wewe.
Mbona hutaki kupost statement yako unapost yangu. 😂😂😂
View attachment 3382384
Hutaki hii tena? Sio wewe ulipost hii?😂😂😂.

You only have 300 bob kwa account. Jaribu ufikishe hata 400bob.

1000011051.jpg
 
Wewe hakuna unachajua. Debit minus Credit unapata balance. No wonder you are a primary school dropout.
Sawa tuoneshe hiyo 375ksh kwenye hiyo bank statement 🤣🤣🤣🤣.
Kumbe ni credit 6000 kati 35mil nakuwa na balance ya 6000 🤣🤣🤣🤣. Shule ya polini kweli
 
Unapoongelea mtaji wa mtu lazima uguse taarifa zake za kihasibu .
Kwa mfano nataka kununua hisa za kampuni flani sikurupuki kwenda kununua kwa kuangalia yaliyoandikwa magazetin.
Unavuta taarifa zake za kihasibu unaangalia Kila kitu mpaka madeni yanapatikan, mpaka thamani ya sset ni majina yake yatasomeka, kama kuna magari yatatajwa kwenye taarifa husika .
Sasa wewe kwa sababu ni mkurupukaji unadhani taarifa ya kampuni inapatikana mtandaoni.
Ingekuwa Azam na Metl wote wametoa taarifa zao za kihasibu sawa tungeweza kubaliana nao, lakini kwa sasa tutaangalia Ile value ya asset au machinery alizowekeza na hapa ni gues work tu
Kaka unaandika porojo tu hapa. Wewe ndiye uliyesema Bakhresa(AZAM) ni kampuni kubwa kuliko MeTL. Tumekuomba ulete ushahidi 🤣 🤣 🤣 🤣 eti unaniambia niende vingunguti nitaona namna AZAM ilivyo. Kaka hapa unajadiliana na msomi mwenye details nyingi. Ukija na arguments zako za vijiwe vya kahawa utagonga mwamba.

Mpaka sasa hivi ni zaidi ya pages 7 hujaleta uthibitisho wowote kuhusu AZAM kuwa ni kubwa.
 
Sawa tuoneshe hiyo 375ksh kwenye hiyo bank statement 🤣🤣🤣🤣.
Kumbe ni credit 6000 kati 35mil nakuwa na balance ya 6000 🤣🤣🤣🤣. Shule ya polini kweli
Wewe ni nguruwe. Hapo juu in the white section kuna difference ya Credit and Debit na hiyo ndio balance yake. It's 7,500 Tanzanian money and 375 bob in Kenyan money.Jamaa amejikunia bila kujua😂😂

1000011051.jpg
 
bilioni 20 aliyoahidi si kuwapa Simba kama cash bali alikuja na plan kwamba hiyo hela ataifungia kwenye bond ya muda mrefu na mahesabu ya wakati ule ni kuwa italeta faida ya 3.5bn kila mwaka kwaajili ya kuendeshea simba na on top of that anaongezea na hela zake juu.
iko wapi hio bond bro no where to be seen hata kiwangwala aliposema kawasiliana na bank zote tanzania hakukua na ushahidi wowote kua pesa hzo zimewekwa

mo ni tapeli bro na ndio maana hata simba inasuasua sana kiundeshaji na ni kawaida ya wahindi mostly ni matapeli sana
 
iko wapi hio bond bro no where to be seen hata kiwangwala aliposema kawasiliana na bank zote tanzania hakukua na ushahidi wowote kua pesa hzo zimewekwa

mo ni tapeli bro na ndio maana hata simba inasuasua sana kiundeshaji na ni kawaida ya wahindi mostly ni matapeli sana
Utopolo utawajua tu. Simba ni Club ya 5 barani Africa. Mwaka huu imecheza finali kombe la shirikisho. Sasa tueleze Simba inasua sua wapi?
 
Back
Top Bottom